nyie ni watu wakusifia makusanyo wengine tunataka kujua makusanyo hayo yamefanya niniHakuna wa kushindana na Samia mkuu,ameshawaacha midomo wazi..
Mwaka ujao tunataka TRA wakusanye Til.25 yaani til.2 kila mwezi ita make sense na I hope itakuwa hivyo nikiangalia trend ya mwezi Juni.
Kwa makusanyo hayo ni wastani WA Til.1.85 kwa mwezi ambapo ni mbali Sana na kufikia Til.2 kwa mwezi.
Hata hivyo ni mafanikia makubwa kwa Mwaka mmja kutoka wastani WA Til.1.5 hadi Til.1.85 ongezeko la Bil.350 kwa mwezi..
Kama hadi leo hii hujui yamefanya nini basi pole Sana..nyie ni watu wakusifia makusanyo wengine tunataka kujua makusanyo hayo yamefanya nini
Yaani ukielewa logic ya Economics huwezi uliza hayo maswali yako kwa sababu matumizi ya pesa za mikopo kwenye purchases ni sehemu ya hayo makusanyo..Ukitulia utanielewa ndugu, TRA waseme kwenye ripoti yao kodi imekusanywa kutoka wapi?ununuzi uliofanywa na serikali katika ujenzi wa SGR na Bwawa la Mwalimu na pia ulipaji wa madeni makubwa ya wakandarasi wa hii miradi ya mikakati baada ya kupata mikopo nafuu na uendelezaji wa awamu nyingine mpya za SGR na ujenzi mkubwa uliofanyikq nchi nzima kutokana na fedha za Covid 19 nk vina impact kwenye kiwango cha kodi kilichokusanywa lakini inawezekana tax base imepungua au hata makusqnyo ya kodi za biashara za ndani.kupanda bei kwa bidhaa mbalimbali pia kumeongeza kiwango cha kodi ikiwemo kupanda kwa bei ya mafuta ya nishati na kula...kodi itakayoleta impact itatokana na uwekezaji kqtikq viwandq,utalii,nk...ndiyo maana kuna kipindi huko nyuma kulikuwa na sheria ya kuzuia manunuzi ya serikali kukatwa kodi. Sijui kama unanielewa.
Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yale mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafisadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.Ashukuru magufuri alijaribu kutengeneza miundo minu ameikuta nchi iko mahali pazuri aliyepokea toka mzee wa msoga aliikuta bot chungu hakina hela
Umemsahau kubwa lao bwege Idugunde the witch?
Mnaanza nongwa za kijinga badala ya kuwa wabunifu katika kutafuta riziki, fursa nyingi zimeshaachiwa.Huyu ni mwajiriwa kodi za wananchi ndio zinamlipa mshara, hela ya matibabu,malazi , usafiri na kiinua mgongo akistaafu iweje iwe siri?
Acha utani basiMbona sioni kazi iliyofanywa na hizo fedha.? Ovyoooo
Kusema mtu aoneshe anachokihubiri kwa mfano kumbe ni nongwa??Mnaanza nongwa za kijinga badala ya kuwa wabunifu katika kutafuta riziki, fursa nyingi zimeshaachiwa.
Wakijibu nitagWatwambie kabisa na makusanyo ya miamala wanazokata kama vile kutukomoa ni shiling ngapi na kazi zake maana wanakamua mpaka damu, maana siku hizi kodi zinakusanywa mpaka kwenye vibaraza vya watu, mtu kuchukua tu pesa kwenye ATM na ni eneo la bank utawaona hao kodi mia kidogo.
Ndio hayo makusanyo ndo yanaenda kugharamikia ma v8 na kuwalipa mapdeiem ila kwenye miradi sijaona impact yakeHuoni impacts au una shida mahala? Kipi huoni kama impacts?
Bajeti ya Serikali inapopangwa huo inaonyesha makusanyo na wapi zitatumika,kwa hiyo ni wajibu wako kufuatilia kama fedha zilitumika kama ilivyokusudiwa..
Kwangu mimi ni sahihi kwa sababu Kwa mujibu wa Bunge, serikali uliganikiwa kutekeleza bajeti yake kwa 95%..
Chuki imekuzidiHayo ni makusanyo kidogo sana kutokana na kodi walizoanzisha za kuwakamua wa tanzania ambazo ni kandamizi .pamoja na hivyo,kwa nini hatuoni mwendelezo wa miradi mikubwa kama sgr na bwawa la umeme (nyerere).kwa makusanyo hayo angalau yangeonesha matumaini ya hii miradi ya kimikakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malaika wako wa Chato angekuwa na chungu kilichojaa hela angeenda kukopa credit suisse bank na kuiingiza nchi kwenye dhahma za kulipa mideni mikubwa kibiashara? Yule ni muharibifu wa nchi ndio maana alikuwa akitegemea kukwapua pesa za watu na na tax force yake.Ashukuru magufuri alijaribu kutengeneza miundo minu ameikuta nchi iko mahali pazuri aliyepokea toka mzee wa msoga aliikuta bot chungu hakina hela
This Lady Samia is too smart. Every sector now is moving and contributing to the national economy. The true meaning of balanced development.Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yake mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafusadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.
Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo.