TRA yakusanya Trilioni 22 mwaka wa fedha 2021/22, Nauliza tena Nani kama Samia?

Hapa dar es salaam hakuna hata kipande cha kilometa moja cha barabara mpya inayojengwa toka samia kuchukua nchi ....kama kipo nitajiwe ni kipi
 
Huyu CHAWA ajengewe haraka sanamu lake la UNAFKI kwenye kiburi la Mwamba JPM kule Chato.

Rais Samia hakukuta fedha yoyote [emoji736] wala si fedha yeyote [emoji777].

Je alitoa wapi pesa za kusafiria kwenda nchi za nnje kutafuta wawekezaji, kulipa mishahara na posho wafanyakazi/aliendeshaje nchi?
 
Kwa mujibu wa bunge lipi?. Bunge la ndiyo mzee ndilo kwa mujibu wa bunge?.
 

Wewe hujaona impact?
 

Huoni umeenda site?
 
point kubwa kabisa hii! huwezi kujisifu unakusanya kodi huku miradi mingi imesinzia hizo pesa zinaenda wapi. tujue tuanze kusifia serikali

Taja mradi uliosinzia. Badili mindset yako kupinga kila kitu sio akili
 
nyie ni watu wakusifia makusanyo wengine tunataka kujua makusanyo hayo yamefanya nini

Kuna websites na kurasa za mitandao ya kijamii. Kuna report ya bajeti ya mwaka wa fedha ulioisha kasome huko.
 
Jambo muhimu kwa raia ni ajira, mfumuko wa bei na ukuaji uchumi sio ongezeko la kodi.
 
Ndio hayo makusanyo ndo yanaenda kugharamikia ma v8 na kuwalipa mapdeiem ila kwenye miradi sijaona impact yake
Huwezi ona sababu ya kilema cha chuki ulichonacho..

Baki hivyo hivyo usione kitu ndio vizuri.. Mpumbavu unamuacha na upumbavu wake.
 
Kama watanzania watakuwa hawana maendeleo na kuishi kimaskini makusanyo hayo ni ujinga tu. Hakuna tofauti na kushangilia goli la kujifunga mwenyewe
 
Hakuna kitu hapo , BAJETI 2022/2023 41 TRL , Makisanyo ya kodi TRIL 22 , Ifike mahali Serilikali ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji wa kodi , kwanini makampuni makubwa baadhi yao hayalipi cooperate taxes ?????Misamaha ya kodi ipunguzwe , ifike ,mahali nchi hii lazima ijetegemee maana hao wahisani wanakuja na masharti magumu kiasi kwamba huwezi kufanya naye fair negotiations ,(win win situation situation )naye akataka kuwekeza nchini .Wake up Tanzania tuna feli wapi?????????????/
 
Na jee deni la TRA kama VAT returns kwa VAT registered company's ni kiasi gani?
Maana usikute madeni yao nao ni ya kutisha kwa vile hawana desturi ya kurudisha fedha hizo
 
Kama watanzania watakuwa hawana maendeleo na kuishi kimaskini makusanyo hayo ni ujinga tu. Hakuna tofauti na kushangilia goli la kujifunga mwenyewe
Afrika bado Sana serikali kufanya maendeleo kwa mtu mmoja mmoja
 
Serikali haigawi pesa kwa watu, maendeleo ni nini kwa tafsiri yako?
1. Ajira na mishahara ya watumishi
2. Maji
3. Afya na Madawa
4. Barabara na miundo mbinu yake
5. Umeme
6. Elimu
7. Mikopo kwa vijana
8. Kusaidia kilimo na fursa zake za masoko
9. Scholarship za kitafiti na kielimu
10. Kusaidia wafanya biashara na wajasiriamali kujenga masoko na kutoa fursa kwao za kufanya biashara
11. Kujenga uwezo wa ndani kiviwanda,kibajeti na kuepuka mikopo tegemezi ya wahisani na taasisi zao nk.

Siwezi na sijasema tunataka fedha mifukoni ila huduma hizo serikali iziboreshe sana na iepukane na matamko yasiyo na tija kwa wananchi ikiwemo matumizi makubwa ya fedha kwa viongozi.
 
Nchi ngumu hii, tupunguze pambio, maana walamba asali walisema Magufuli aliua Uchumi na Biashara.Kwaiyo kwa makusanyo aya tuseme Mama kaimarisha Uchumi ulioharibiwa ndani ya miaka 5 kwa mwaka mmoja.
Huyu Kidata si ndiyo alivuliwa adhi ya ubalozi na leo ndiyo kapandidha makusanyo!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…