Hapa dar es salaam hakuna hata kipande cha kilometa moja cha barabara mpya inayojengwa toka samia kuchukua nchi ....kama kipo nitajiwe ni kipiHuoni impacts au una shida mahala? Kipi huoni kama impacts?
Bajeti ya Serikali inapopangwa huo inaonyesha makusanyo na wapi zitatumika,kwa hiyo ni wajibu wako kufuatilia kama fedha zilitumika kama ilivyokusudiwa..
Kwangu mimi ni sahihi kwa sababu Kwa mujibu wa Bunge, serikali uliganikiwa kutekeleza bajeti yake kwa 95%..
Huyu CHAWA ajengewe haraka sanamu lake la UNAFKI kwenye kiburi la Mwamba JPM kule Chato.Hauna taarifa sahihi. Rais Samia hakukuta fedha yeyote. Yake mambwembwe ya TASK FORCE na fedha za Plea bargain kutoka kwa walioitwa "mafusadi" zilikuwa zinawanufaisha Magufuli na watu wake. Miradi yote mikubwa alikuwa anajenga kwa kukopa toka mabenki. ya ndani na nje, huku akiwadanganya wananchi kuwa ni fedha za ndani.
Alichofanya Samia ni ku restructure miradi mikubwa ili imalizike kwa muda wa mbali bila kuleta stress kwenye makusanyo na matumizi. Ndiyo maana tunaona anaweza kuongeza mshahara wa watumishi wa umma na kutoa ajira kwa wahitimu wa vyuo.
Kwa mujibu wa bunge lipi?. Bunge la ndiyo mzee ndilo kwa mujibu wa bunge?.Huoni impacts au una shida mahala? Kipi huoni kama impacts?
Bajeti ya Serikali inapopangwa huo inaonyesha makusanyo na wapi zitatumika,kwa hiyo ni wajibu wako kufuatilia kama fedha zilitumika kama ilivyokusudiwa..
Kwangu mimi ni sahihi kwa sababu Kwa mujibu wa Bunge, serikali uliganikiwa kutekeleza bajeti yake kwa 95%..
TRA ieleze pia kati ya hayo makusanyo serikali imelipia kiasi gani kupitia wakandarasi walioingiza malighafi za ujenzi wa reli,bwawa la Mwalimu Nyerere,kodi kutokana na manunuzi ya wakandarasi kutokana na fedha ya mkopo wa COVID 19 ambao ulijenga madarasa na vituo vya afya nchi nzima...tunaweza kutoa sifa kama hizi halafu wananchi wasione impact ya makusanyo kwa sababu sehemu kubwa ya fedha imetokana na fedha za serikali yenyewe.
Hayo ni makusanyo kidogo sana kutokana na kodi walizoanzisha za kuwakamua wa tanzania ambazo ni kandamizi .pamoja na hivyo,kwa nini hatuoni mwendelezo wa miradi mikubwa kama sgr na bwawa la umeme (nyerere).kwa makusanyo hayo angalau yangeonesha matumaini ya hii miradi ya kimikakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
point kubwa kabisa hii! huwezi kujisifu unakusanya kodi huku miradi mingi imesinzia hizo pesa zinaenda wapi. tujue tuanze kusifia serikali
nyie ni watu wakusifia makusanyo wengine tunataka kujua makusanyo hayo yamefanya nini
Wewe ulitaka Bunge lipi? Pinga Pinga au?Kwa mujibu wa bunge lipi?. Bunge la ndiyo mzee ndilo kwa mujibu wa bunge?.
Huwezi ona sababu ya kilema cha chuki ulichonacho..Ndio hayo makusanyo ndo yanaenda kugharamikia ma v8 na kuwalipa mapdeiem ila kwenye miradi sijaona impact yake
Serikali haigawi pesa kwa watu, maendeleo ni nini kwa tafsiri yako?Kama watanzania watakuwa hawana maendeleo na kuishi kimaskini makusanyo hayo ni ujinga tu. Hakuna tofauti na kushangilia goli la kujifunga mwenyewe
Hakuna kitu hapo , BAJETI 2022/2023 41 TRL , Makisanyo ya kodi TRIL 22 , Ifike mahali Serilikali ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji wa kodi , kwanini makampuni makubwa baadhi yao hayalipi cooperate taxes ?????Misamaha ya kodi ipunguzwe , ifike ,mahali nchi hii lazima ijetegemee maana hao wahisani wanakuja na masharti magumu kiasi kwamba huwezi kufanya naye fair negotiations ,(win win situation situation )naye akataka kuwekeza nchini .Wake up Tanzania tuna feli wapi?????????????/TRA ieleze pia kati ya hayo makusanyo serikali imelipia kiasi gani kupitia wakandarasi walioingiza malighafi za ujenzi wa reli,bwawa la Mwalimu Nyerere,kodi kutokana na manunuzi ya wakandarasi kutokana na fedha ya mkopo wa COVID 19 ambao ulijenga madarasa na vituo vya afya nchi nzima...tunaweza kutoa sifa kama hizi halafu wananchi wasione impact ya makusanyo kwa sababu sehemu kubwa ya fedha imetokana na fedha za serikali yenyewe.
Afrika bado Sana serikali kufanya maendeleo kwa mtu mmoja mmojaKama watanzania watakuwa hawana maendeleo na kuishi kimaskini makusanyo hayo ni ujinga tu. Hakuna tofauti na kushangilia goli la kujifunga mwenyewe
1. Ajira na mishahara ya watumishiSerikali haigawi pesa kwa watu, maendeleo ni nini kwa tafsiri yako?