Treni ya SGR yazimika tena Morogoro!
Sasa jamani leo wa Tanzania tumekuwa tunajali muda, saa moja tumefanya big deal. Mbona kwenye ma bus tunasimama kila sehemu mara kwenye miti kujisaidia, chakula na mifoleni kikubwa tunafika salama. Lakini ukweli lazima tutoe muda unajuwa japo train imeanza rasmi lakini kwangu mimi tuko kwenye pre-commissioning kwa kuwa hatukufanya test muda wa kutosha kama standard kwa hiyo inafanyika lakini pia inahudumu. Hata hapo Airport delays zinatokea nyingi tu lakini safety first.
kwanini wadanganye watu firsthand kwamba umeme ukikatika abiria hatojua. unajua maana ya hiyo statement? hakuna excuse katika hilo. ingekua TZ ndio nchi ya 1 duniani kuja na huu mradi hizo excuses zingekua viable. tatizo tuna watu wapumbavu wapumbavu na wababaishaji.
 
Sisi hatuna ugeni. Vitu vyote vinavyofanywa na kusimamiwa na Serikali hii ya kwetu huwa havina perfection hata siku moja. Hiyo ndiyo kawaida ya miradi yote ya Serikali. Kukiwa na perfection ndiyo itakuwa ajabu.

Tulianzisha viwanda, viliishia wapi? Tulianzisha mashirika ya usafirishaji kwa kila.mkoa, yaliishia wapi? TANESCO utendaji kazi wake upoje? Hospitali zetu za umma, zipoje?

Watu wazoee tu, hiyo SGR itakuwa inakwenda hivyo hivyo, cha kuombea isipate hitilafu ya kuleta maafa. Hiyo kukwamakwama itakuwa ndiyo utendaji wake wa kawaida.
sina cha kuongezea.
umemaliza yote.
lini serikali imeendesha vitu vyake kwa ufanisi? jibu HAKUNA
 
kwanini wadanganye watu firsthand kwamba umeme ukikatika abiria hatojua. unajua maana ya hiyo statement? hakuna excuse katika hilo. ingekua TZ ndio nchi ya 1 duniani kuja na huu mradi hizo excuses zingekua viable. tatizo tuna watu wapumbavu wapumbavu na wababaishaji.
Hata mimi wakati namposa mke wangu niliambiwa msichana hodari sana na mpole lakini baada ya kuchukuwa jumla nimegunduwa kinyume hivi narekebisha....
 
Usikute umoja wa wamiliki wa mabasi wameanza kupenyeza rupia wahujumu, abiria warudi kwenye mabasi maana trip 1 ni abiria wa mabasi 15, trip 4 basi. I mabasi 60,unadhani wao wanafurahi!!!!?

Lakini pia usikute kuna wasenge wanataka waharibu iwe kama mwendokasi kesho na keshokutwa wabinafsishe

Ama uzembe tu wa wabongo makazinj, wabongo tuna kaujinga fulani ka kutokujali, kila kitu kwetu ni poa poa... Nina mashaka hata pale tren zinaposimama na kusubiri zipishane ipo siku utatokea uzembe vyuma vitaingiana uso kwa uso. (mungu aepushe mbali)
 
Ccm haijawahi kusimamia mradi wowote wa maana ukafanikiwa

Ccm ni laana wanachoweza ni kukimbiza mwenge, wizi, rushwa, na ufisadi.

Sgr itaendelea kusuasua kama mwendo kasi na atcl.
 
izimike au iwake, ila tunayo. wachawi mna roho mbaya sana hamtakagi maendeleo. kuna watu wengine hawana hata ndumba ila wanaomba Mungu usiku na mchana mradi ufeli.
 
Back
Top Bottom