Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wataihujumu kama kawaKwa nauli ya Tsh 13,000/= kwa kichwa, watu 600 inamaanisha wamepata Tsh Mil 7.8 kwa kwenda tu.
Kadogosa: Tumetumia umeme wa 336,000 kwenda na kurudi Dar - Morogoro
Kwa kusikiliza hii kauli, walitumia umeme wa Tsh Laki 3.5 kwenda na kurudi Dar to Moro. Tuweke factors zote, tu-assume watumie wa Laki 4 kwenda tu, inamaana Mil 7.4 faida.
Toa gharama zote za service, sijui itazidi Tsh ngapi ila najua kwakua chuma mpya haina matumizi makubwa kwenye service, na toa posho ya wafanyakazi.
Inamaana chuma inaingiza zaidi ya Mil 5 kwa safari.
Tusubiri waseme wanaendesha kwa hasara.
Rail yetu sio high speed railway mkuu.Hakuna cha kuwapongeza, tuliwaajili wafanye hayo. chawa mkubwa we π π π π
Pili, masaa mawili km 192 km ni muda mwingi sana. Ulaya ni 300km/hr. Ilibidi iwe less tha an hour. Bado waliiba hela wakaleta mikweche.,
Wathubutu tu kuropoka hivyo, Tuwakate masikio. Pumbavu.Kwa nauli ya Tsh 13,000/= kwa kichwa, watu 600 inamaanisha wamepata Tsh Mil 7.8 kwa kwenda tu.
Kadogosa: Tumetumia umeme wa 336,000 kwenda na kurudi Dar - Morogoro
Kwa kusikiliza hii kauli, walitumia umeme wa Tsh Laki 3.5 kwenda na kurudi Dar to Moro. Tuweke factors zote, tu-assume watumie wa Laki 4 kwenda tu, inamaana Mil 7.4 faida.
Toa gharama zote za service, sijui itazidi Tsh ngapi ila najua kwakua chuma mpya haina matumizi makubwa kwenye service, na toa posho ya wafanyakazi.
Inamaana chuma inaingiza zaidi ya Mil 5 kwa safari.
Tusubiri waseme wanaendesha kwa hasara.
Wenye mabasi na maroli bado.Wataihujumu kama kawa
Zitaanza pancha kama mwendokasi mkuuWenye mabasi na maroli bado.
Kaka hawajui , hawaangalii high speed railway za China ni madaraja tuu.Hizo za 300km/hr hazipiti maporini kwenye mbunga. Zinapita kwenye mega cities kuunganisha hubs, na zina miundombinu ya bei mbaya. Kwanza ni ama ziwe kwa ndani au zijengewe reli ya daraja. Sasa imagine ujenge reli ya juu kuanzia City Center mpaka Dodoma. Kwa bajeti ipi
Eeee tusipokuwa makini utaleta hasara tuuLisu : mradi wa SGR ni wa hovyo ni wa Magufuli na familia yake , hauna faida kwa taifa.
Lile shambulio lilimuathili jamaa, ila yupo fresh tuuHapa alizingua jamaa yetu Lissu ila nna uhakika lissu anatakiwa kuangaliwa kiwango chake cha Akili kama bado kiko sawa baada ya lile shambulio la Risasi.
Mimi niliambiwa moro basi ni 14k sasa sijajua kuwa ni kweli au laBas 13,000.
Hakuna bas la 10,000 sasa hivi kwenda Morogoro hakuna.
π€£π€£π€£π€£ Sio chawa Mimi nimetania tuUnapakatwa ww
Tena diesel za wachina, yani sasahivi wangijaa wachina tuu kwenye reli zetu kama kenya , dada zetu wangifundishwa hata kugawa juice ndani ya treni kama kenya.Pongezi ziende Kwa magufuli.hao wengine ni wahuni tu.wao walitaka ya diesel lakini mzalendo Magufuli akawakatalia na kuwaambia anataka iwe ya umeme.
π€£π€£π€£π€£ Utani huo mzee hujanielewa tuWeee unainamishwa sio bure! Unajua JPM pressure na vikwazo vya ndani na nje alivyopambana navyo katika miradi mikuu mitatu? SGR, Nyerere Hydro, na kuhamisha serikali Dodoma? Mama anachofanya ni kupiga hela tu hawa wakandarasi wanabadilisha terms of reference na kusema mradi ulikuwa wa kiasi cha juu mara 2 ya kile cha JPM alafu Mama anaidhinisha na Abdul mwanae kuweka kibindoni 10%
Tusubiri shabiby dodoma naeKina abood na mabasi yao ya mchina soon wataanza kuipigisha short tren
Utasikia leo umeme hakuna haiendi
Utasikia kichwa cha tren kimevunjika
AaaaMradi ni mzuri ila wananchi tumepigwa. Huo ni mwendo wa kinyonga, kwani zile treni za China hawazioni? Dude linaenda kilomita 301 kwa saa.
220km/hMiundombinu yetu inaruhusu speed mwisho ya 220km/hr.
Zaidi ya hapo ni ajali mkuu.
Pia kwa mahitaji yetu hii inafaa sana mkuu.
Halafu wameepekwa kama mzigo toka Dar moja kwa moja hadi Moro. Wakati wa kufanya route za safari haitakuwa hivyo. Kutakuwa na kusimama kushusha na kupakia abiria. Kwahiyo itakuwa ni masaa 3 toka Dar hadi Moro, nauli 25kHakuna cha kuwapongeza, tuliwaajili wafanye hayo. chawa mkubwa we π π π π
Pili, masaa mawili km 192 km ni muda mwingi sana. Ulaya ni 300km/hr. Ilibidi iwe less tha an hour. Bado waliiba hela wakaleta mikweche.,
Chadema watapinga ππππ
View: https://www.instagram.com/p/C8MMBeigtuu/?igsh=MXh5bTVvZ2w2c2k2eA==