Treni ya Umeme yatumia dakika 114 Dar hadi Morogoro, Wananchi 600 wasafiri

Njia ya Treni na bus ni tofauti. Kwa Barabara toka Dar hadi Morogoro (Msamvu) ni Km 200(194). Kwa njia ya Treni Dar hadi Morogoro ni Km 300. Treni hukwepa sana miinuko ndio maana njia yake ni ni fupi.
YAANI WEWE HUNA HABARI HII NJIA YA SGR IMEPASUA MIINUKO???
 
Wewe punguani kweli na hii ni matokea ya ushamba na kutosafiri.

Yaani kujenga Sgr sijui madaraja ndio visio? Unajua maana ya vision kweli wewe msukule wa Mwendazake?
We chawa wa mama Jiwe alikufanyaje mbona huwa hutaki kumsikia kabisa? Ni cheti fake au ulikuwa unakula salary ya serikali wakati umehamia CWT akakufunga!
 
Shida muendelezo.
 
Saa 1 ingependeza zaidi!
 
Mkuu - Ni lazima ichangie mishahara ya wafanyakazi wa TRL (Operating cost), ichangie pia ununuzi wa mabehewa, vichwa (fixed cost) na pia ichangie kwenye gharama za hiyo reli ambazo ziko kwenye deni la taifa (fixed cost). Bila kusahau - Mama anataka Gawio la uwekezaji kila Mwaka.....
 
Bora kupanda Abood, masaa 2:30 nimefika Msamvu na nauli 10k
Mmmmmh masaa 2:30 kwa basi dar moro hapana.

Mimi mara nyingi nasafiri zaidi ya masaa 3, tena
Magari yalivyomengi siku hizi na sheria za latra zilivyokuwa kali ni mpka masaa 4 unatumia tena na Dakita zake.
Hio masaa 2:30 hilo basi limetembea speed sana.
Na kwa barabara ya moro ni risk sana.
 
Safari ilianza Saa 12:01 na kufika Morogoro Saa 1:55
??
Ilikuwa safari ya dakika 114..... ikiongozwa na nahodha, Ahazi Mfupa. iliondoka Dar es Salaam saa 12:01 asubuhi na kuwasili Morogoro saa 1:55 asubuhi.
?? 12.01-1.55
"Tumekuja na abiria kama 600 hadi 700,
Hakuna anayejua abiria wangapi walisafiri!
Tofauti na wakati wa safari ya majaribio Februari 27, 2024 iliyotumia saa 2.20, leo ikiwa ni safari ya kwanza ya abiria treni hiyo imetumia saa 1:55 kufika Morogoro.
Hapo juu 114
 
Vyuma vya usiku
 
Pongezi kwa mama tu.
Katoa Hela yake Mfukoni ? Mbona mnakuwa wajinga sana. Pongezi kwa wananchi ambao wanahaingaika kukatwa kodi. Anapewa pongezi mtu ambae probably hata kodi halipi.

Kwanza ni mapema kutoa pongezi zozote.

Ndani ya huo mradi pesa zimepigwa sana . Gharama zilizotumika ni kubwa as compared na ununuzi wa treni, hizo gharama tungepata train za kichwa cha ndege. Hizo train ni old version na zinatumia voltage kubwa.

Nauli sio realistic . Nauli za train huku tulipo ni dola 2 , huko , ni mambo yale Yale ya mwendokasi. WTZ wangekuwa wako smart kuna mengi ya kuhoji, mngefanya pia study kujua gjarama za nauli zina realistic gani

Unamsifia kiongozi ambae anakula takriban 400M kwa mwezi plus na wizi juu
Mambo ya hovyo
 
Hii uzuri sio kama kilimo cha matikiti.
 

Bro bila kafoto, wengine tunachelewa sana kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…