True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Itaishaje wakati jamaa kila siku anaandika mistari 4 hadi 7 anapumzika?
Ashukuru story za Analyse na leadermoe zimefikia tamati/break ndio maana anatuona hapa.
Halafu mbaya zaidi kila siku anasimulia tangu kuamka,kupasha kiporo cha uji,kuchota maji na kusikiliza redio yake ya solar,Khaa!
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Itaishaje wakati jamaa kila siku anaandika mistari 4 hadi 7 anapumzika?
Ashukuru story za Analyse na leadermoe zimefikia tamati/break ndio maana anatuona hapa.
Halafu mbaya zaidi kila siku anasimulia tangu kuamka,kupasha kiporo cha uji,kuchota maji na kusikiliza redio yake ya solar,Khaa!
Nitag huo uzi wa @readermo ,nshachoshwa na hizi story zisizoisha
 
Wakuu, kukaa kimya kwangu sio ki makusudi ama kuwakomesha kama baadhi wanavyodai,
Ieleweke kuna kutaitika vikali kama mimi ambavyo inanitokea kwa sasa,
Hii haihitaji kubembelezana ila mambo yakinikaa vizuri nitaendelea ila si leo wala kesho.
 
Wakuu, kukaa kimya kwangu sio ki makusudi ama kuwakomesha kama baadhi wanavyodai,
Ieleweke kuna kutaitika vikali kama mimi ambavyo inanitokea kwa sasa,
Hii haihitaji kubembelezana ila mambo yakinikaa vizuri nitaendelea ila si leo wala kesho.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom