True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaambiwa kitanda hakizai haramu .... Bm anasema usimsumbue [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na yeye bado tu Yupo na Huyo mtu duuhh hii Ni level ya mwisho kabisa ya uzwazwa
kuna watu wanafurahisha sana yaani yote haya anajidanganya eti ni hasira za mimba hahahahahaha
 
Hakika, ingawa watu wananipa ushauri juu ya hiki kisa inatakiwa waelewe sihitaji ushauri maisha yalishaendelea
Lakini kama wana hamu ya kushauri nitawarudia wanishauri juu ya namna nilivyokuja kuwa baada ya kisanga hiki.

Sijui nawaonaje wanawake aisee mpaka nahisi nahitaji msaada kupunguza hii, yaani akicheza kidogo tu biashara inaishia hapo sicheleweshi

Ninayeishi naye anafanya kuvumilia tu, jambo dogo tu namuonyesha njia ya kwao
Hii ndo inavyokuwa kaka yaan ukiumizwa kwenye mapenzi moyo unakua wa jiwe , hupendi tena bali unawaheshimu tuu wanawake
 
Kuna kitu hakiko sawa na Maisha yako ya Mahusiano ya Kimapenzi, Inabidi Ubadilike haraka sana.

  1. Umekwisha jua kuwa mtoto sio wako.
  2. Mwanamke alikuwa na Mwanaume mwingine.

Na baso una entertain mahusiano naye. Ama kweli una stahili maumivu yote uliyo yapata.
View attachment 1700793
Naweza sema Jamaa Ni FALA SANA

Anampenda drama
 
Daaah kumbe hujamaliza mkuu, malizia basi mida ya saa kumi hii bed ndo mida ya kusoma viporo
 
Kaka samahani kwa kukwambia hivi ila umetia aibu wanaume wenzako na umewadhalilisha sana.

Mimi ni mwanamke ila najua mipaka yangu kwa mwanaume. Sasa wewe mwanamke anaekukosea adabu hivyo na bado unalazimisha kumfuatilia unakuwa unategemea nini kaka?!

Ungekuwa ndugu yangu ningewambia bi mkubwa tudeal na wewe. Umetia fora kwa aibu. Huo ni upuuzi unafanya. Ukiona mwanamke haeleweki na hana msimamo na wewe, fanya jambo moja tu, ACHANA NAYE. Pambana na maisha yako tafuta mwanamke mwingine.

Kuna wanawake wanasumbuliwa na maroho ya ajabu na mapepo ya uzinifu.
Si kuna sehem alisema kua anahisi yawezekana mwanzo alifanyiwa mambo kidogo
 
Wanawake bwana[emoji1][emoji1] hivi vitu havifurahishi
Unafikiri tunafurahia sasa?
Tunaielewa vyema hali unayoipitia kwa sasa. Tatizo huwa munapofushwa. Hata mukishauriwa hamusikiagi munaona kama tuna wivu. Yaan umekatiliqa sana aisee. Mno mno. Hafai huyo mwanamke. Yaan amekufanya bingwa wa dead balls. Wewe ndo wa kubutua dead balls? Mkomeshe haswaa...

Nialike kwenye hii harusi yako...
All the bests, kwa huyu bibie hakuna mke na hakuna mtoto hapo.
 
Unafikiri tunafurahia sasa?
Tunaielewa vyema hali unayoipitia kwa sasa. Tatizo huwa munapofushwa. Hata mukishauriwa hamusikiagi munaona kama tuna wivu. Yaan umekatiliqa sana aisee. Mno mno. Hafai huyo mwanamke. Yaan amekufanya bingwa wa dead balls. Wewe ndo wa kubutua dead balls? Mkomeshe haswaa...

Nialike kwenye hii harusi yako...
All the bests, kwa huyu bibie hakuna mke na hakuna mtoto hapo.
Sio sasa ni miaka kadhaa nyuma imeshapita, haya nimekuwa na jeuri ya kuyasema kwa uhuru na amani sasa hivi.
Kwa Kipindi kile sikuwa na uwezo huo, maumivu niliyokuwa nayasikia sio ya kawaida, sasa ndio mfano nikueleze kama hivi halafu uniambie hakuna mwanamke hapo nilikuwa naumia sanaaa ndio sababu sikuwa nasema kwa mtu ilikuwa vita ya mimi na nafsi yangu tu
Yaani nilichokuwa nataka kusikia ni kupendwa (ambako nako sikuwa nikipendwa) nilichokua nataka kusikia kwa watu ni angalau kuitwa mume wa BM nikisikia chochote hata mtu aniulize nasikia mmeachana basi naumia kweli kweli

[emoji1][emoji1][emoji1]Kile kipindi kimeniimarisha sana
 
Back
Top Bottom