Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
mFuKuZa nDoTo nkuu sehemu inayofuata tunaomba useme ulichoambiwa kwenye simu kuhusu zawadi kutoka kijijini ulizogoma na mipango yake na mama wa hiyari.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuyaandika kwa kirefu hayo kwanza Kufupisha storimFuKuZa nDoTo nkuu sehemu inayofuata tunaomba useme ulichoambiwa kwenye simu kuhusu zawadi kutoka kijijini ulizogoma na mipango yake na mama wa hiyari.....
mkuu tuna la kujifunza kupitia wewe ninaomba uweke japo kwa ufupi....sio mara 1 nimeona mambo kama hayo ndio maana vijana tabia ya kulakupa kwa wapenzi tupunguze....Sikuyaandika kwa kirefu hayo kwanza Kufupisha stori
Pili Ingeonekana najitetea kwa uzembe wangu, nimeacha mawazo huru tu kwa wanangu humu atakayeona nilipenda kizembe hayo ni maoni yake
Lakini tatu masuala ya kiimani ni vitu vya kufikirika sana mimi mwenyewe naviamini nusunusu, nikaona nikiviingiza sasa stori itakuwa kama ya kubumba hivi
Kwa kweli hata mimi....imebidi niwe narukarukanapenda kusoma ila hapa mtu mzima nimefeli......
Yalishapita labda kama unawashauri wengineKaka samahani kwa kukwambia hivi ila umetia aibu wanaume wenzako na umewadhalilisha sana.
Mimi ni mwanamke ila najua mipaka yangu kwa mwanaume. Sasa wewe mwanamke anaekukosea adabu hivyo na bado unalazimisha kumfuatilia unakuwa unategemea nini kaka?!
Ungekuwa ndugu yangu ningewambia bi mkubwa tudeal na wewe. Umetia fora kwa aibu. Huo ni upuuzi unafanya. Ukiona mwanamke haeleweki na hana msimamo na wewe, fanya jambo moja tu, ACHANA NAYE. Pambana na maisha yako tafuta mwanamke mwingine.
Kuna wanawake wanasumbuliwa na maroho ya ajabu na mapepo ya uzinifu.
Nakwambia wewe sasa namshauri nani mwingine ambae ameandika hapa?!Yalishapita labda kama unawashauri wengine
[emoji1][emoji1]
Yalishapita, sina cha kufanya na ushauri wowoteNakwambia wewe sasa namshauri nani mwingine ambae ameandika hapa?!
Naitwa Analyse, Na hii ni story ya maisha yangu[emoji1][emoji1][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Wajinga hatuishi mkuuIla wewe utakuwa haupo sawa kichwani kubembelezana na mwanamke hivyo anakupa nini au umeahidiwa nini kuwa nae?!
Hakika nitajitahidi kujaribu,mkuu tuna la kujifunza kupitia wewe ninaomba uweke japo kwa ufupi....sio mara 1 nimeona mambo kama hayo ndio maana vijana tabia ya kulakupa kwa wapenzi tupunguze....
Aaah usitufanyie hivyo wanaume wenzako, unatufedhehesha mwanaume hautakiwi kuwa intimidated na mwanamke yoyote, ndio maana siku hizi tunadharaulika sana wanawake wanabebesha ujauzito wanabambikia kwako sababu anajua wewe ni dhaifu na hauna maamuzi kwake.Wajinga hatuishi mkuu
Ili ujue hawaishi pamoja na shuhuds hizi kesho utasikia mwingine analiaAaah usitufanyie hivyo wanaume wenzako, unatufedhehesha mwanaume hautakiwi kuwa intimidated na mwanamke yoyote, ndio maana siku hizi tunadharaulika sana wanawake wanabebesha ujauzito wanabambikia kwako sababu anajua wewe ni dhaifu na hauna maamuzi kwake.
Lazima mwanaume uwe na maamuzi magumu na msimamo. Na hii inaanza kabla haujaingia katika mahusiano. We jiwekee kuwa hautalala kitanda kimoja na mwanamke asiye na adabu na utii kwako. Wakikuletea dharau mwambie atambae zake alaaaaah
Baba etu mwitore[emoji23][emoji23][emoji23]Namtaleta Sana story zenu..mzee mwitore kawafungua akili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan tunatikiswa kila pembe kinachofanyika unachungulia kwa khumbu nusu na huku nusu ili milima isiwe mirefu kupanda[emoji23][emoji23][emoji23]Ungetulia kwanza tumalizane na kamanda konda msafi.
Hakika, ingawa watu wananipa ushauri juu ya hiki kisa inatakiwa waelewe sihitaji ushauri maisha yalishaendeleaasante kwa kutuelimisha mkuu....kuna vitu tunajifunza kama binadamu maana maisha yana mambo mengi sana.....ukikaa na watu ndiyo unajifunza
Hatari 🔥🔥🔥Hakika, ingawa watu wananipa ushauri juu ya hiki kisa inatakiwa waelewe sihitaji ushauri maisha yalishaendelea
Lakini kama wana hamu ya kushauri nitawarudia wanishauri juu ya namna nilivyokuja kuwa baada ya kisanga hiki.
Sijui nawaonaje wanawake aisee mpaka nahisi nahitaji msaada kupunguza hii, yaani akicheza kidogo tu biashara inaishia hapo sicheleweshi
Ninayeishi naye anafanya kuvumilia tu, jambo dogo tu namuonyesha njia ya kwao