Trump anataka Marekani, China na Urusi zipunguze nusu ya bajeti zao za ulinzi. Pia anapenda Urusi irudishwe kwenye G7

Nenda kwanza kajifunze kuhusu sweatshops, hujui mengi.
Habari za kuokoteza kwenye mitandao na kuanzisha thread za ubishi inawaponza sana vijana wengi wa kitanzania. Wengi wanakuwa hawana deep understanding ya mambo ya dunia kwa sababu watanzania hatuna utamaduni wa kusoma na pia elimu yetu ni ya kukariri majibu lakini wanakimbilia kubishana vitu wasivyovijua.
 
Mna ufinyu wa fikra sana,
Putin ni mtawala wa Russia kwa miaka 25 sasa ambapo Marekani imeshabadilisha Marais Watano kuanziw Bill Clinton, Bush, Obama, Biden mpaka Trump, Marekani kuna vyama viwili vinavyopokezana madaraka kila mara. Masuala ya Marekani lazima yawe na mabadiliko mara nyingi tofauti na Russia au China ambao sera zinakuwa zimeganda kwa mtawala mmoja wa muda mrefu au chama kimoja.
 
Unaposema Japan imepoteana unamaanisha ni wakati Japan ni taifa la uchumi namba tatu kwa ukubwa duniani ikiwa ni ukubwa wa eneo theluthi ya Tanzania tu?
 
Unaposema Japan imepoteana unamaanisha ni wakati Japan ni taifa la uchumi namba tatu kwa ukubwa duniani ikiwa ni ukubwa wa eneo theluthi ya Tanzania tu?
Kasome vizuri Plaza Accord na -ve effefts zake kwa Japan tangu wakati huo kufika sasa.

Unajua ambacho Marekani aliifanyia Japan?

 
Kwa kifupi Trump ni rafiki wa Putin sana, na haoni sababu ya nchi zao kuingia vitani ndio mana anaomna poo kwenye bajeti zao.
Si unaona anasema Russia irudishwe G7? Kama nawaona nchi za West walivyonuna kama wamekula ndimu
 
Misaada ya Marekani ni 1% tu ya bajeti yao na chini ya 1% ya GDP yao. Hizo kelele za Musk na Trump kuhusu misaada ni siasa tu. Bajeti kubwa ya Marekani ni kwenye Medicaid na social security.
 
HSR ya California imekamilka ?

Mimi sio CCP wala MAGA
 
Chekecha akili trump siyo zuzu kiasi hicho unachofikilia wewe.
 
Misaada ya Marekani ni 1% tu ya bajeti yao na chini ya 1% ya GDP yao. Hizo kelele za Musk na Trump kuhusu misaada ni siasa tu. Bajeti kubwa ya Marekani ni kwenye Medicaid na social security.
Hawezi kukuelewa
 
Inabidi upambane kweli ili uendene na hilo jina lako la XI...hahahaa
 
Misaada ya Marekani ni 1% tu ya bajeti yao na chini ya 1% ya GDP yao. Hizo kelele za Musk na Trump kuhusu misaada ni siasa tu. Bajeti kubwa ya Marekani ni kwenye Medicaid na social security.
Hata kama ingekuwa asilimia 0 wanatoa ya nini kwani nyinyi hamna akili na mikono ya kuendeleza nchi zenu?
 
Hata kama ingekuwa asilimia 0 wanatoa ya nini kwani nyinyi hamna akili na mikono ya kuendeleza nchi zenu?
Ili ukipata Ebola, Marburg, Zika, Kaswende n.k usipande ndege kuwapelekea kwao.
 
Misaada ya Marekani ni 1% tu ya bajeti yao na chini ya 1% ya GDP yao. Hizo kelele za Musk na Trump kuhusu misaada ni siasa tu. Bajeti kubwa ya Marekani ni kwenye Medicaid na social security.
Mapato ya Marekani ni madogo kuliko matumizi yake. Ndio maana inalazimika kukopa ili ifikie malengo ya bajeti

Mara ya mwisho Marekani kuwa na surplus budget ni 2001, kuanzia 2002 mpaka sasa ni mwendo wa deficit budget na kukopa
 
Mapato ya Marekani ni madogo kuliko matumizi yake. Ndio maana inalazimika kukopa ili ifikie malengo ya bajeti

Mara ya mwisho Marekani kuwa na surplus budget ni 2001, kuanzia 2002 ni mwendo wa deficit budget na kukopa
Nani kakuambia kuwa na surplus budget ni jambo la maana sana kwenye kila uchumi?? Surplus budget inayotokana na utozaji kodi au kubana matumizi muhimu sio kitu cha maana sana kwenye uchumi.
 
Nani kakuambia kuwa na surplus budget ni jambo la maana sana kwenye kila uchumi??
Unaelewa maana ya kiuchumi kuwa na deficit budget? Taifa lazima likope kutoka vyanzo vingine

Hiyo inaongeza deni la taifa ndio maana kila mwaka deni la Marekani linakua kwa kasi sana

Kwa hiyo kuwa na deni kubwa la taifa ni jambo la maana kwenye uchumi sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…