Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Haya sio maono. Hizi ni roho mbaya za kichawi na tunaonekana waafrika bado hatujavuka stage ya kuwa nyaniMkuu uko deep. Nimependa maono yako ambayo yamefanyiwa kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sio maono. Hizi ni roho mbaya za kichawi na tunaonekana waafrika bado hatujavuka stage ya kuwa nyaniMkuu uko deep. Nimependa maono yako ambayo yamefanyiwa kazi
Hahaa...wamepewa thank youu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waliopongezaa wotee nao Wamepongezwa na Mama Samiaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama hana mzahaa kabisaa.. tarehe mbayaa hizii akicheka na nyanii mwakani urais uleee🤣🤣🤣Hahaa...wamepewa thank youu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado watakaojichanganya wawapongeze waliotenguliwa leo 🏃🏃🏃Waliopongezaa wotee nao Wamepongezwa na Mama Samiaaa🤣🤣🤣🤣
Hii ndio ukisikia gari la msiba limepinduka na kuua watu😔😔Bumunda Limeondoka Na Wengi Sana
Naona unatumia fikra zako wapi nimesema sikubaliani na utenguzi?Naona kama kichwa cha habari kinapingana na mtazamo wa maelezo yako ndani. Unakubali kuwa walichokifanya ni utonvu wa nidham, kisha hukubaliani na utenguzi wa waziri kufuatia wizara ilichokifanya. Anyway, wote hao niserikali, rais na waziri wote ni serikali,acha wawajibishane
Kwenye utenguzi wao na pdpc wamechomokaTcra wamo
Si wangempigia simu tu inatosha unatoa tangazo kwa faida ya nani?Ni kosa kumshukuru mtu katika kuwa nae katika utumishi?, kumtakia mema pia ni kosa?. Roho mbaya na ujuha wa Wtz ni hatari.
Kwahiyo mla kungu ana nongwa ?Wanaukumbi.
Huu siyo utaratibu wa Serikali Rais anamtengua Waziri kisa Bodi inatoa Tangazo.
Hata mimi bado sijaelewa. Kama kosa ni kumuaga kwa tan
Wote hao wamekwenda na "manshe ga nyancha".TCRA na PDP wamechomokaje?
Nenda Zanzibar tuone kama utaweza hata kununua ardhi au kuwa VEOWazanzibar ni Watanzania tu kama watanzania wengine, mama ni msikivu.