Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana


I concur!
Haya ndio maisha yetu ya kizandiki, fitna na kutokuheshimu kile mtu ameamua namna ya kuishi! Waswahili tunapenda kupangia watu maisha na kuingilia yasiyotuhusu!
 

Hao vijana wakajifunze kwa wazazi wao.
Mtu ashindwe kuishi uhuru wake kwa ajili ya vijana asiowajua?
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.


Mngemhukumu alipokuwa hai, sasa hivi hukumu zetu hazisaidii kitu, tumwache yeye na Muunba wake, amuweke popote anapostahiki.

Tufateni yetu tukiwa hai, tujitahidi kufanya yetu kwa wema na uadilifu.

Tuamrishane mema na tukatazane mabaya bila kuzisahau nafsi zetu.
 
Kumbe na wewe hukosea kuandika?
 
Sawa Shangazi tumekusikia,
 
❤️❤️❤️😍
 
So unampangia aishi vipi?kama wewe ama?

We live once..ukipata nafasi ya ku-enjoy aisee kula bata usivunge maisha ni mafupi.

Ukianza kujali wanadam wajaalana watasema nini hutoboi,hata utende mema wataku nan'ga tu...Yesu tu akauachwa iweje wewe....

Maisha yangu sipangwingwi.

Mind your own business, huyo lemetuz hata akujui acha porojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…