Tuchambue Wazungu wa nchi mbalimbali kwa sifa na tabia zao.

Tuchambue Wazungu wa nchi mbalimbali kwa sifa na tabia zao.

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Kama mada inavyosema ni kwamba wazungu hawafanani kitabia, nadhani

diaspora ndio watatupa uzoefu zaidi. Tuchambue tabia za Waingereza, Wajerumani
Wafaransa, Waitaliano, Warusi na kadhalika. Je ni sifa, tabia na hulka zipi walizo nazo?

Kwa mfano Waingereza wanasifika kwa ubahili, Wafaransa starehe nyingi, Waitaliano
wanajulikana kwa hasira za haraka mfano mchezaji Gatuso enzi zile na Ujerumani huwa
wanajiona ni bora sana na Warusi ni Wabaguzi mno.


Nawasilisha.
 
Kama mada inavyosema ni kwamba wazungu hawafanani kitabia, nadhani

diaspora ndio watatupa uzoefu zaidi. Tuchambue tabia za Waingereza, Wajerumani
Wafaransa, Waitaliano, Warusi na kadhalika. Je ni sifa, tabia na hulka zipi walizo nazo?

Kwa mfano Waingereza wanasifika kwa ubahili, Wafaransa starehe nyingi, Waitaliano
wanajulikana kwa hasira za haraka mfano mchezaji Gatuso enzi zile na Ujerumani huwa
wanajiona ni bora sana na Warusi ni Wabaguzi mno.


Nawasilisha.
Hakuna tabia za jumla katika kabila wala utaifa. Tabia ni individual aspect ya mtu mmoja mmoja kulingana na genetics makeup pamoja na mazingira aliyokulia.
 
Hakuna tabia za jumla katika kabila wala utaifa. Tabia ni individual aspect ya mtu mmoja mmoja kulingana na genetics makeup pamoja na mazingira aliyokulia.
Kuna zile zinazokuwa miongoni mwa wengi mfano tukisema Watanzania wengi wana tabia
ya ukarimu kwa wageni tofauti labda na nchi nyingine jirani.
 
Wazungu wapumbavu sana. Waliona wanawake wao ni wembamba na hawana makalio wakanzisha kampeni za kuchukia watu wanene ambapo wanawake wetu wenye miili ya kiafrika na misambwanda ya kwenda wakangukia humo.
Hadi mashindano ya Miss world, watu wembamba ndio wanapewa nafasi. Kwenye umodel hivyo hivyo na kwenye movie pia.
Matokeo yake wameharibu sana wanawake weusi psychologically yaani mtu akinenepa kidogo TU anajichukia.
 
Wazungu wapumbavu sana. Waliona wanawake wao ni wembamba na hawana makalio wakanzisha kampeni za kuchukia watu wanene ambapo wanawake wetu wenye miwili ya kiafrika na misambwanda ya kwenda wakangukia humo.
Hadi mashindano ya Miss world, watu wembamba ndio wanapewa nafasi. Kwenye umodel hivyo hivyo na kwenye movie pia.
Matokeo yake wameharibu sana wanawake weusi psychologically yaani mtu akinenepa kidogo TU anahichukia.
Unapenda mwanamke mnene sana?
 
Back
Top Bottom