KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kwa iyo akukupa kwa kinga utapita!?Mi simuamini yeyote... kinga lazima ihusike.... Mpenzi aliye mbali lazima tupime kwanza kila tunapokutana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo akukupa kwa kinga utapita!?Mi simuamini yeyote... kinga lazima ihusike.... Mpenzi aliye mbali lazima tupime kwanza kila tunapokutana
Siwez kumkaribia... yani ninaowaamini ndo natumia kinga, na kinga sio tu kukukinga dhidi ya ngoma bali pia magonjwa ya ngono ambayo nayo nayaogopa kinomaKwa iyo akukupa kwa kinga utapita!?
Ndiyo hivyo mkuu, nilipigiwa pande nashukuru nilimwagiwa full data kabla sijamega, halafu hana tabia ya uchoyo ungepata no siku hiyo kazi ingeisha.Noted. Nilikua sijui cv yake.
Tatizo wabongo tukiona Star anagawa hovyo kila mtu anataka apate... hongera mkuuNdiyo hivyo mkuu, nilipigiwa pande nashukuru nilimwagiwa full data kabla sijamega, halafu hana tabia ya uchoyo ungepata no siku hiyo kazi ingeisha.
Kumbe hali sio shwari? Huu mji watu wameoza sijui vijana wanapata wapi ujasiri wa kufanya ngono.Effect ya Bongo Movies itaanza kuonekana baada ya Miaka mitatu kuanzia sasa.
Nawahurumia sana hawa vijana wa 25yrs kushuka hadi 20yrs mkuu!Tatizo wabongo tukiona Star anagawa hovyo kila mtu anataka apate... hongera mkuu
Daah mungu atunusuru aingilie KatiAli Choki nae tia maji tia maji ukiongea nae hakuangalii usoni
Wamkoa wakija mjini wanakuaga malimbukeniRayvan naye amevamia jiji kale katoto alichozaa nacho naye wale wale unless kama ametulia baada ya kuwa na Rayvan
Lini iyo mkuuMe nasema ukweli CCM waandae fedha za mazishi ya kada wao Steve nyerere huyu jamaa mwaka huu hamalizi. Kwa hali niliyomkuta na kwa mnyong'onyeo ule hakika haponi.
Achana nae hata kama hamkubali amekufuruLini iyo mkuu
DuhHii story inaukweli...hiyo ni chain ya ngono hapo..kuna mmoja yupo hai bado na nishamhudumia kitengoni...ukimwi unaua na upo....bado bongo muvi na kubadilishana kwao viburudisho
Kama anaumwa,get well soon.steve nyerere nae hoooi
Nyerere naye ubuyu wa jana yupo hoi kuziiii
Me nasema ukweli CCM waandae fedha za mazishi ya kada wao Steve nyerere huyu jamaa mwaka huu hamalizi. Kwa hali niliyomkuta na kwa mnyong'onyeo ule hakika haponi.
Kabula ameshapona na kurudi barabarani??? Si alipata ugonjwa wa akili akawa kalazwa muhimbili???Hapana, yupo na mwenzie anakula mchemsho.
Kuna sponsa pia alikuwepo, asingekuwepo ningechukua namba.
aiseeMbona Steve Nyerere hafi?