Usingetanguliza kuona maisha ya watu kama show off ningekuelezea... ila since unaona wanafanya show off, baki na msimamo wakoTupe status za hao uliowataja wakoje kwa sasa tofaut na zile show off za inspirational speakers
Tupe status za hao uliowataja wakoje kwa sasa tofaut na zile show off za inspirational speakersJamaa is smart and very aggressive akitaka jambo lake,
Ila kuna namna maisha yake binafsi he so empty, he is way too toxic...
Mtu mwenye maisha ya amani na furaha at a personal level hawezi kuna na toxicity kama zake especially ukiwa na pesa....
Wenzie aliotengana nao kiukweli wapo vizuri sana, lifestyle zao scream "we are content and happy"... Clinton, Janeth na Elikana
Punguza hasira Mkuu, jenga hoja. Inspirstional lazima aoneshe vzr pekee kuhamasisha watu wzke. Sasa unajaa gesi nikusaidiejeUsingetanguliza kuona maisha ya watu kama show off ningekuelezea... ila since unaona wanafanya show off, baki na msimamo wako
Kikubwa show off zao hazikuzuii wewe kuishi maisha yako
Nonsense
Huyo huyo, juzi juzi alitoka kujiliza kwenye space ya X.Sir Jeff si yule mwembamba kama hali???
Niliwashangaa sana walipomuweka jokateForbes africa huwa wanakurupuka ndiyo maana huwa kuna madai kiwa wanalipwa. Hata jokate walishamweka kuwa atakuwa coming milionaire
Unaweza kukuta waliopigwa LBL ndio wale wale waliopigwa na DECI, Kalynda etc. Historia ikikupenda ina tabia ya kujirudiaLBL & TMT mbona kama somehow related π€π€
Nipe magnesium nijambe iisheTupe status za hao uliowataja wakoje kwa sasa tofaut na zile show off za inspirational speakers
Punguza hasira Mkuu, jenga hoja. Inspirstional lazima aoneshe vzr pekee kuhamasisha watu wzke. Sasa unajaa gesi nikusaidieje
Jokate kipindi wanamuweka kweli alikua kwenye mkondo wa hela... alipoingia siasani tu na ramani ya biashara ikafaNiliwashangaa sana walipomuweka jokate
Aise ni kweliUnaweza kukuta waliopigwa LBL ndio wale wale waliopigwa na DECI, Kalynda etc. Historia ikikupenda ina tabia ya kujirudia
ππ Kabisa aliiniwa dem etiHuyo huyo, juzi juzi alitoka kujiliza kwenye space ya X.
Kuna namna his mental health is in shamblesHuyo huyo, juzi juzi alitoka kujiliza kwenye space ya X.
Saivi anakuja na sera gani? Kaacha kuprint helaHuyo huyo, juzi juzi alitoka kujiliza kwenye space ya X.
Hahahaha,aliomba au alimpa Kwa kuvutiwa ?Kuna muungwana amemuomba 100k akamtumia
Bado anawapiga mafala,Saivi anakuja na sera gani? Kaacha kuprint hela
UlimuombaAlisemaje?
Na hapo hata hamna problem yeyote aliyosolve kwenye jamii π π π πHuyu hapaa ππ
View attachment 3245693