Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Meshack Maganga RIP
Phares Kashemeza Kabuye RIP
Jenerali Twaha Ulimwengu
Sebastian Rukiza Kinyondo RIP

Enzi hizo bunge linafanyikia pale Karimjee Hall, wabunge karibu wote wanavaa kaunda suti, halafu kwenye kurasa za magazeti ya siku inayofuata, kuna picha za wabunge wakiwa wamekaa kwenye yale mabenchi nje ya ule ukumbi.

Those are good gone days, we can't bring them back.
 
Juma jamaldini akukweti,ramadhani mwinshehe ukiwaona ditopile wamzuzuri.
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
Peter Kyulule
 
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
 
ni ningependa sana kupata wale miamba wakuu yaani G48 kama sijakosea, wale wapinzani ndani ya Bunge enzi za mwalimu.
nafikiri kiongozi wao alikuwa Njeru Kisaka, si na uhakika kama sitta alikuwapo ndani, mwenye data - ni kujikumbisha tu sina jingine.
Haikua enzi ya Mwalimu ilikuwa 1994 kama sijakosea, ilikuwa ni G55' Ambao kwa uchache ni Njelu Mulugala Kasaka, William Mpiluka RIP, Jenerali Ulimwengu, Tuntemeke Sanga, na wengineo ilikuwa ni baab kubwa
 
Haikua enzi ya Mwalimu ilikuwa 1994 kama sijakosea, ilikuwa ni G55' Ambao kwa uchache ni Njelu Mulugala Kasaka, William Mpiluka RIP, Jenerali Ulimwengu, Tuntemeke Sanga, na wengineo ilikuwa ni baab kubwa
Mateo Qares,Philip Marmo
 
Semindu pawa,Sukwa Said Sukwa,Hashim Sagaarf,Festo Makune,
Kuna baadhi ya wabunge wa zamani (wengine washatangulia mbele ya haki) ambao kusikia au kutamka majina yao kulileta burudani ya aina yake miaka hiyo. Majina machache niliyoweza kukumbuka ni:

Kuwayawaya S. Kuwayawaya
Tuntemeke Sanga
Njelu Kasaka
Stephen Salum Nandonde
Semindu Pawa
Lepilal ole Moloimet
Benito Malangalila
Frederick Nteminyanda Fumbuka
Felix Tadeo Mwanambilimbi
Said Ngwanangwalu
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Omar Kwaangw
 
Said Maswanya(Urambp-Tabora)
Mzee Misigalo(Tabora mjini)
Wote Wametangulia mbele ya haki(Marehemu)
 
Kamaliza
Chief Humbi Ziota(Igunga)
Wote wametangulia mbele ya haki(Marehemu)
 
Back
Top Bottom