Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
- Thread starter
-
- #41
Ombopa refa maarufu na alikuwa na busha, jamaa wakawa wanamjambisha akichezesha. Sijui jamaa kapotelea wapi. We utakuwa unanijua kama umemjua David na Denis Izengo.David Izengo alikuwa mtu haswaa, mimi binafsi sijaona hadi leo mtu alikuwa na kipaji kama yule jamaa, sema muda haukuwa rafiki kwake na nafikiri akishatangulia mbele ya haki
Pia ana mdogo wake anaitwa Denis Izengo nae alikuwa moto sanaa, alisomaga Dumila sec
Hawa wote walikuwa na vipaji vikubwa sana aisee, muda ukawakatili
Vp unamkumbuka ombopaa?
Hatari sana hao watu kuna ile White yakina mbamba mwishoni ya miaka ya 90 inachukua ubingwa pale uwanja wa kinondoni shule ya msingi kabla kambangwa haijajengwa ilikua hatari,shule ya kambangwa imesaidia kuleta elimu ila imeua elimu kata ya mwananyamala maana ule uwanja ndio ulikua uwanja mkubwa wa kucheza kwa gozi viwanja vya kule msisiri vyote vidogo na vyakuchezea chandimuNondo, white star mwananyamala.
Ukute Nondo wanacheza lazima ujipange hao wana fujo balaaRefa wa Ndondo maarufu huko Dar KipunjeView attachment 2580511
Wewe ndio age mate wangu humu. Kulikuwa na Msako FC, Mfano FC [hii alicheza Mtwa Kihwelo],Kagera rangers, faru dume, Sinza stars, Linea Messina, afc leopard, nyarugusu, milambo ya Mburahati, Oman,
ZIlikuwa zinapigwa sana na bifu linaendelea hadi mitaani. Kulishapigwa mechi moja kati ya Gehtto na Asec kule kwetu Mvomero refa Liyapiyapi. Hahaaaa, refa aligongwa nikajua amekufa. Limesmen wake wakala mbio kuna mitaani. Wakaingia nyumba za watu kujiokoa wenyw nyumba wanawatoa mbio. Aisee tumetoka mbali sana.Wewe ndio age mate wangu humu. Kulikuwa na Msako FC, Mfano FC [hii alicheza Mtwa Kihwelo],
Ngurumo FC, Yetu Afrika, Manta Line [zote Mburahati/Kigogo/Luhanga/Mabibo]. Kulikuwa na Kiboko Msheli [Magomeni], Kagera Shooting aka Kombo Ulaya. Jahazi ya Ilala, Mogo FC ya Ukonga, Vita FC, Magomeni Mapipa. Sifa United na Faru FC za Manzese.
Enzi hizo ilikuwa ubabe ubabe, baada ya mechi lazima vurugu zitokee.
Vv
Sawa sawa mkuu lile lilikuwa chama, Na zamaani palikuwa na timu ya kuitwa wonder boys kama utaikumbuka.Hatari sana hao watu kuna ile White yakina mbamba mwishoni ya miaka ya 90 inachukua ubingwa pale uwanja wa kinondoni shule ya msingi kabla kambangwa haijajengwa ilikua hatari,shule ya kambangwa imesaidia kuleta elimu ila imeua elimu kata ya mwananyamala maana ule uwanja ndio ulikua uwanja mkubwa wa kucheza kwa gozi viwanja vya kule msisiri vyote vidogo na vyakuchezea chandimu
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Na jamaa yao anaitwa KIWIKU.Ukute Nondo wanacheza lazima ujipange hao wana fujo balaa
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Miaka ya nyuma watu walikuwa wanaupiga mwingi aisee kwenye ndondo basi tu.Mount Rungwe, Katumba stars, Stendi fc, Magereza kibwe nk. Tukuyu mjini uwanja wa ccm kulipigwa mpira mkubwa sana uwanja ule miaka ya 90's na 2000's. Ile ligi ndo iliwatoa watu km Godfrey Bonny'Mwndanje', Shadrack Nsajigwa.
Sikuona ile ya majani Mapana ambayo ilifundoshwa na Abdallah Salehe"Sabebe". Kuna Nyingine ya Nguvumali ilikuwa inafanya mazoezi pale kwenye viwanja vya Galanosi. Jamaa walikuwa wanatumia dawa za "MUKU" Mtiti wake sio Mchezo. Jiwe naifahamu hiyo. Nilikipiga ndondo nikiwa nasoma Galanos nikichezea timu ya majani Mapana tulishacheza nao hao kule Mwahako.Guess the city?
1.Barcelona -Mikanjuni mnarani
2.Duga Rangers- Duga
3.Double target - Mabovu
4.Sinagogi -Mswambweni malunyanga
5.Red stars - Msambweni
6.Manyoka-Duga Tangasisi
7.Lapaz - mikanjuni
8.Chungurira (wachawi fc) - Chungurira.
9.Bad guys - komesho
10.Makorora star - makorora
11.Yeboyebo - Barabara ya 21
12 .Cost 2 cost - Duga cassanova
13.Argentina -Mikanjuni
14.jiwe - Mwahako sijui Mwakilida
15.Boda - Magomeni
16.Maskani one - Magomeni mwisho
list ni ndefu sana
unanikumbusha mbali sana aisee Usagara mabangi ..Hizo ulizotaja palikuwa na watu wanapiga mpira sana enzi izo wakina banda , jamaa mmoja alikuwa chalii anaitwa khalifan kigozi alikuwa anatamba sana .Sikuona ile ya majani Mapana ambayo ilifundoshwa na Abdallah Salehe"Sabebe". Kuna Nyingine ya Nguvumali ilikuwa inafanya mazoezi pale kwenye viwanja vya Galanosi. Jamaa walikuwa wanatumia dawa za "MUKU" Mtiti wake sio Mchezo. Jiwe naifahamu hiyo. Nilikipiga ndondo nikiwa nasoma Galanos nikichezea timu ya majani Mapana tulishacheza nao hao kule Mwahako.
Jiwe hatari mtaa niliokaa ulikuwa na time zaidi ya nne nilikaa Komesho njiapanda ya Pale palikuwa na timu ya Bad guys, machinoo, mishemishe ,Watoto wa mbwa ,Wabishi wote walikuwq na timuSikuona ile ya majani Mapana ambayo ilifundoshwa na Abdallah Salehe"Sabebe". Kuna Nyingine ya Nguvumali ilikuwa inafanya mazoezi pale kwenye viwanja vya Galanosi. Jamaa walikuwa wanatumia dawa za "MUKU" Mtiti wake sio Mchezo. Jiwe naifahamu hiyo. Nilikipiga ndondo nikiwa nasoma Galanos nikichezea timu ya majani Mapana tulishacheza nao hao kule Mwahako.
Hahaaaaa, zamani palonoga sana bro. Ndondo ilikuwa ndondo kweli.Jiwe hatari mtaa niliokaa ulikuwa na time zaidi ya nne nilikaa Komesho njiapanda ya Pale palikuwa na timu ya Bad guys, machinoo, mishemishe ,Watoto wa mbwa ,Wabishi wote walikuwq na timu
NomaHahaaaaa, zamani palonoga sana bro. Ndondo ilikuwa ndondo kweli.
Ila Tanga walikuwa wanaogopa kupigana tokana na matumizi ya MUKU. Tulishacheza game moja kule Mwakizalo. Hahaaaa, jamaa wana vibe ya ukweli.Noma
Oscar Fussi alikuwa na kipaji sana lakini ligi kuu hakucheza kipindi yupo kwenye fomu nilikuwa namuona kwenye mechi uwanja wa Tandale na pale StendiMount Rungwe, Katumba stars, Stendi fc, Magereza kibwe nk. Tukuyu mjini uwanja wa ccm kulipigwa mpira mkubwa sana uwanja ule miaka ya 90's na 2000's. Ile ligi ndo iliwatoa watu km Godfrey Bonny'Mwndanje', Shadrack Nsajigwa.
Palikuwa na lig Red stars kuna jamaa alikuwa na Muku alimpiga jamaa ngumi mpaka akazima..Ila Tanga walikuwa wanaogopa kupigana tokana na matumizi ya MUKU. Tulishacheza game moja kule Mwakizalo. Hahaaaa, jamaa wana vibe ya ukweli.