Tujikumbushe Walimu wa sekondari waliokuwa wakali sana kiasi cha kuwa maarufu hadi shule zingine

K
Kuna ndugu yangu alisoma hiyo shule na yeye walimla kichwa kisa mapenzi. .Gunda alikuwa na mtoto wa kike mkali kinyama ila wenge.
 
Hakuna ukweli hapa, sidhani kama umefanya Research juu ya hili.
 
Kuna Dudu Tosamaganga
 
Galanos msocha alikuwa michosho sana
Mikwara tupo. Nipo form Six mwaka 2001 nilitoroka kwenye majani mapana. Jamaa akaniona usiku huo na kuniambia wewe ni mwanafunzi. Nikamkatalia. Hahaaaa kesho asubuhi kaja Assemble mi sikwenda akanikosa. Akaanza nitafuta madarasani namkwepa. Baada ya wiki akanikuta Assembly pale. Akaniita mbele nikamkatalia. Akaapa kama sio mimi aliyenikuta Majani Mapana usiku alafu namkatalia siku akinikuta tena atanivunja. Nikacheka. Hahaaaa akanipeleka kwa Headmaster kuwa nimemdharau na kumkataa kuwa sio mimi alinikuta majani mapana wakati ana uhakika kuwa ni mimi.
 
Kaka kaka...1962????????
 
Looh inatakiwa isomeke father father, dingi dingi, mshua mshua .Kaka teeena wakati keshastafu utumishi wa uma.
Mm namuita kaka..kwa sbb huo umri anaosema humu ni wa uongo...
 
Ngoja kwanza utuweke sawa shule zote hizo ulizotaja ulisoma?
Umeambiwa au unatupanga ili na sisi tupite humo humo😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…