Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

Kweli mungu mkuu, asubuhi hii nimepita kwa mashaka mtaani kwako lakini sijaona turubai.
 
Hakika imerudi
Hata huku mamtoni..tumeelekezwa vituo vya kupata msaada..dharura....pamoja na kudungwa sindano....
 
Hali hii ipo Dar es Salaam kwa Sasa , Mimi yamenikuta mafia na kikohozi kikali.
 
Itaingilia kati vipi wakati mpaka mama Samia ameuguwa na wameuchuna tu.

Tazama speech yake ya Nyerere day alivyokuwa anakohowa na uchovu asiye mchangamfu.
 
Hali hii ipo Dar es Salaam kwa Sasa , Mimi yamenikuta mafia na kikohozi kikali.
Nunuwa almint weka kwenye tangawizi, huu upepo mbaya sana, kikohozi chake ukikohowa unabanja na unaumia sana, mimi ilibidi niwe nalala na kopo la kutemea makohozi mazito usiku, halafu inakuja na homa kali usiku.
 
Ghafla naanza kuona kila kukicha hali inazidi nikaona Wacha nikacheki Afya Kulikoni ,
Nilicho Ambiwa Nikama Nilivyo tarajia Nimagonjwa yetu yale yale yasikuzote.
Nikachukua Dozi kama kawaida webwana wee kumbe ndio kama Natia Petrol Mtungi wa Gesi
Hahaha nimecheka
 
Mafua na kuharisha tena? 😹😹
Pima na wadudu wale walioanzia kagera
Dactari kijana Sina mambo mengi Tena yanayo husiana na Kagera ndio nipo nayo mbali mbali 😀 Naendelea vyema kabisaa mafua yamepona pia kuhara kumeisha..

☺️😊
 
Mafua na kuharisha tena? 😹😹
Pima na wadudu wale walioanzia kagera
Dactari kijana Sina mambo mengi Tena yanayo husiana na Kagera ndio nipo nayo mbali mbali 😀
Poleni sana...we uliesema unaharisha kama bata unaendeleaje?

Naendelea vyema kabisaa mafua yamepona pia kuhara kumeisha.. Hali ya kuharisha ilinichukua siku mbili nipo powaa currently.

☺️😊
 
...inaendeleaaaa
 
Kvant
Kinyagi
Whisky
Soln

Smartgina at ur ownrisky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…