Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ORYX ni mwisho wa yote ndugu,labda kama muuzaji alikushikishaDuuuuuh Oryx sio poa sana.Niliwahi kuitumia kipindi fulani.
Asante kwa maoni mkuu.
Manji naye ana gas?, inaitwaje?.Hii sijawahi kujaribu,na hivi mimi ni Mwanajangwani nitajisikia fahari sana kama gesi ya Manji ikinifaa.
Hakika sitobadili tena.
Hii sijawahi kujaribu,na hivi mimi ni Mwanajangwani nitajisikia fahari sana kama gesi ya Manji ikinifaa.
Hakika sitobadili tena.
Poa mkuu.Hooo! Nipo sana tu!
Nitajaribu kuitumia nayo mkuu.Oryx naona ndo bora kuliko zote japo unapinga
Kaka mimi pia huwa siondoki,hadi nipime nihakikishe.Mi nikinunia GAS mtungi wa 15 Kg lazima, niuweke ktk mzani kujiridhisha!
HaaaaaaaHapa home tunatumia gesi lakini sijawahi hata kufanya uchunguzi
Itabidi nianze kuchunguzaHaaaaaaa
Basi ndio anza kufanya uchunguzi.
Kama utapenda lakini...
Huwa napima dear,siwezi nunua gesi bila kuhakiki.manjis mitungi yao inajaa vizuri
ila nikushauri kitu ukinunua mtungi waupime kabisa mingine haijai kg iliyoandikwa
Mhhhhhhhh!ORYX ni mwisho wa yote ndugu,labda kama muuzaji alikushikisha
Manji'sManji naye ana gas?, inaitwaje?.
Sina matumizi makubwa na niko makini sana.Gas zote ni sawa. Kuisha mapema ni mambo mawili.matumizi yasio sawa kama kuwasha na kujisahau maji yanachemka tu au baadhi ya wauzaji wasio waaminifu..wanajaza kwa kupunja.
Labda kama mizani zinadanganya mkuu...Jibu ni sahihi kabisa.Ndo maana hao wauzaji wanatakiwa wawe na MIZANI.. Uhuni upo hapo .