Tukiacha ushabiki wa kivyama na Unafiki, Hoja ya Spika haijajibiwa

Issue sio hoja issue ni credibility ya mleta hoja! Ndugai alikua radhi kuibaka katiba kufanya kila awezalo kumuwezesha Mwendazake kufanya analojisikia. Leo all over suddenly awe na uchungu na nchi kisa mikopo, we sio kweli!
 
Msikilize vizuri ndugai jinsi vitu vya ajabu vinavyopitishwa bungeni, ndio utaelewa
Kama vitu vinapita tofauti na matakwa yake na akaamua kutoa maoni yake binafsi nje ya bunge, kwanini aombe msamaha kwa kitu anachoamini yuko sahihi?
 
Nadhani wewe ndio umeandika ukweli na bila ushabiki, nami kwa kuongezea naona mama amepanic pasipo sababu.
 
Soon ndugai atahamia kwenu chadema na mtamsimamisha kuwa mgombea urais
 
Kama ni kweli kutokubaliana na mikopo ilikua ndio hoja yake, kwanini aombe radhi kwamba alieleweka vibaya?
Mimi naamini alikosea kuomba msamaha, lakini kwa uoande wake alitaka kutuliza upepo hasa ukizingatia mifumo yetu ya kumdhibiti mtu ilivyotengenexwa, lakini naamini pia alijua anekwushaamsha mjadala ambao utakuwa mwanzo wa kuangalia suala zima la mikopo.
 
Hoja hii ingelikuwepo toka enzi za magufuli leo ingekuwa na nguvu,lakini Yeriko tuambie uhalali wa hoja ya ndugai unaanzia wakati wa samia, wakati magufuli alifanya mambo ya hovyo mengi tu ambayo yalitakiwa yaanzie na aidha kupitishwa na bunge?

Yeriko kama unakubaliana na ndugai mwambue atoke hadharani akiri maovu yote aliyotutendea watanzania wakati wa magufuli.
Wananchi tumfikirie kumsamehe au hapana. Tofauti na hivyo astahili kuwa kiongozi wabunge letu.
 
Kabla serikali haijakopa mkopo wowote lazima ipewe kibali na bunge. Hivyo ndivyo imekuwa ikifanyika?
Hapana, Bunge likipitisha Bajeti kinachofuata ni UTEKELEZAJI tu. Serikali ndiyo ina wataalamu wanaojua watakopa wapi? Kiasi gani? Na watalipaje principal na interests?

Kazi ya Bunge inakuja wanapopitia kama UTEKELEZAJI ulikwenda kadri ya Bajeti iliyopitishwa mwaka uliotanguliwa
 
kwa hiyo wewe ni bendera fuata upepo
 
Kwa akili yako ndogo na pumba ulizozoea kupost unadhani Ndugai hajui nakisi ya bajeti inapatikana vipi? Hoja ilukuwa kama kuna tozo zinazojenga madarasa kwa nini tukope? Tumia akili acha kujibu ishu kwa chuki.
Kama hujanielewa nilichojibu kwenye ile post yangu jihesabu kuwa wewe ni MLEMAVU wa akili. Sina namna ya kukusaidia
 
Mpaka sasa Mshindi ni Ndugai. Hakukanusha hoja yake Bali alisema amenukuliwa vibaya na aliomba radhi kwa sintofahamu iliyojitokeza. Alitumia busara tu yakawaida pale unapoomba msamaha ili mtu fulani alidhike wakati mwenye kosa ni mwombwaji msamaha.
 
Hatumpendi tena hatumtaki.
Ameshafanya mambo ya hovyo sana.
Mbona hakumkosoa magufuli,ununuzi wa midege ilipitishwa na bunge, hata kama ni pesa ya ndani?
 
Kuomba msamaha kwake hakuondoi hoja aliyoiweka mezani
Ndungai ametukosea sana sisi wananchi sidhani kama amemkosea mama, akiwa kiongozi wa kutuwakilisha anabariki na kuisifia na kuipitisha mikopo ofisi kwake, halafu anatoka kulalamika mtaani.
Bado najaribu kumuelewa Job lakini nashindwa aliemuelewa anieleweshe.
 
Haya yote unayosema Lisu kakanusha juzi na kuwashangaa mnaosema huwa yanapita na kujadiliwa bungeni!
 
Kwa hiyo hapo umejibu hoja ya Ndugai?

Acheni porojo na kumshambulia mtu badala ya kuja na majibu ya hoja
Yeye mwenyewe kaikana hoja yake. Sasa tumjibu hoja ipi?
 
Wacha inyeshe tuone panapovuja mkuu.
 
Eti mtaani wanasema mama kamchamba. [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…