Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Mimi ni mkkkt, lkn mwamposa anauzahe maji? Mnifafanulie! Sababu anachukua yaani ananunua kwenye makampuni ya wenye maji akishayaombea, wanaoohitaji wananunua Kwa bei ya kwaida tu km anavyonunua maji mengine!na ndo maana sio lzm unaweza enda na maji yako.. Ss hapo ye biashara ipi kafanya? Maana Hana kiwanda kwamba anazalisha mwenyewe
Kwani mimi nikifungua banda la kuuza maji, bia nk sitakiwi kulipa kodi eti kwa vile nimenunua kiwandani? Kwahiyo ulitaka ayatoe wapi hayo maji ili atozwe kodi.
 
Ulicho kiandika ni upupu hukufanya utafiti au huna uelewa wa Kodi. Mwamposa ana kiwanda chake Cha maji na mafuta ambacho kimesajiliwa na kinalipa Kodi. Ni sawa na wew kutengeneza kiwanda chako Cha mbolea Kisha kuamua Ile mbolea kuipeleka ktk mashamba yako. Serikali haiwez kuja kukudai Kodi tena kwa kuwa mbolea Ile uliyo lipia Kodi umeitumia shambani na mavuno yamestawi vizuri.

Kodi yao wataipata kiwandani ktk uzalishaji Ile Mwamposa anatoa ni huduma ya kiimani pia ujue mashirika ya Dini zote hpa nchini yamepewa msamaha wa Kodi kwa vitu mbalimbali kisheria Wanavyo viagiza nje ya nchi.

Mbona tukipita Misikitini huwa tunaona kanzu, kofia, madawa mbalimbali ya kienyeji amabyo waislamu wanauziwa na hakuna anaye lalamika kwa nini wawauzie hivyo vitu Misikitini na Wala huwa hatuoni mashine za EFD?

Tuache mihemko na wivu wa kimasikini.
Pamoja na hayo sijawahi kusikia kuwa hii kofia au kanzu ukiivaa itakuponya matatizo yako.
 
Kafungue na wewe uuze na utoe kodi kama ni rahisi. Kuwa weka watu na kuwa na furaha ya moyon ni zaid ya kodi
Mkuu kama ni hivyo basi wauzaji wa pombe nao wasilipe kodi maana nazo huwafanya watu kuwa na furaha moyoni
 
Sadaka na Kikumi ni tofauti na kuuza maji na mafuta ya upako. Hizo ni biashara ambazo zinafanyika kanisani kwa mitume. Hivyo zipo liable for taxation. Mambo ya kusema toeni sadaka niawape mafuta hiyo sio sadaka ni uyapeli. Sadaka unaitoa kwa hiari na hupewi chochote in return.
Uongo ukitoa sadaka unapewa baraka sio kuwa hupewi chochote
 
Kwani sisi tunaolipa kodi kila mwaka unadhani tunakiwanda cha maji, akate leseni kama sisi sio kutaka utajiri wa kiujanja ujanja.
Kwa hiyo mavuno kanisani yanayoopigwa mnada makanisani siku ya mavunonwakate leseni za biashara makanisa?
 
Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment

Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)

Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.

Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.

SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
Kwani ni nini kinauzwa then sandakan ndio ipatikane? Mwamposa yeye anafanya biashara ya kuuza maji na mafuta kanisani. Hii sio sadaka
 
Rais SAMIA alisema msidai mkokotoo audit & examination za miaka zaidi ya miwili nyuma.
TRA mpaka leo wanafanya miaka mitano. Kisa haipo kwenye sheria.
Ruto mlokole ni kweli, ametamka ni sawa, sasa Kodi inahitaji Sheria na ndicho kinachosubiriwa ili Tanzania nayo iige.
IGUMU NI MODALITIES YA HIYO SHERIA ili isigeuke Sheria hewa.
Mfano:
Mwamposa akisema nagawa maji bure ila njoo na sadaka ya kuanzia 5,000
Nagawa komunyoo bure ila njoo na sadaka
Sasa hapo utatofautishaje sadaka sadaka na sadaka biashara kisheria?
Hiyo itakuwa sio sadaka, sadaka haipangiwi kiwango. Kanisani kuna watu wanatoa mpaka 20 na wengine hata milioni na wote hawapangiwi. Sasa ukisema njoo na afu tano hiyo ni biashara tayari
 
Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na yule anataka kuuza mbegu asajiliwe wizara ya kilimo. Watambulike kama wafanyabiashara, na serikali ijue wanauza ngapi kwa siku na walipe kodi [emoji23]
 
Kwa hiyo mavuno kanisani yanayoopigwa mnada makanisani siku ya mavunonwakate leseni za biashara makanisa?
Wewe ulishasikia hayo makanisa yanayofanya hivyo mchungaji au padre kajenga hotel ya nyota tatu au ana walinzi binafsi hao unaowatetea wanafanya kwa manufaa yao wala sio jamii iliyowazunguka.
 
Hiyo transaction haina business value, it is not a transaction of business nature. MAJI YA 1000 kwenye jua la Kawe unayanunua 10,000 is it a business arrangements? Kwa nin nisinunue kibanda jiran kwa buku.
Kikodi hiyo transaction haina mashiko, the same to mtu ananihubiria Kisha natoa sadaka ya 1000,5000 au laki .

Kwa kutumia Kodi huwezi kuwazuia mwampsa and co, labda upige marufuku kama rwanda
We jamaa ni nunda sana
 
Wewe ulishasikia hayo makanisa yanayofanya hivyo mchungaji au padre kajenga hotel ya nyota tatu au ana walinzi binafsi hao unaowatetea wanafanya kwa manufaa yao wala sio jamii iliyowazunguka.
Mapadre wana miradi yao binafsi wengi mbona tu
 
Back
Top Bottom