Watu mnajua kufukua makaburi😂😂😂Halafu wewe eti mwaka 2015 ulihoji kipaumbele cha Elimu Elimu Elimu kwa madai kuwa wewe umeelimika na huoni mantiki yake.
ELIMU ELIMU ELIMU! kwani kiwango cha elimu kwa watanzania kikoje kwa sasa?
Siasa ni mchezo mchafu na msafi. Hivi kiwango cha elimu kwa watanzania kwa sasa kikoje? Wenye elimu walioko makazini ni wangapi? Wenye elimu walioko mtaani ni wangapi? Wenye elimu ya sekondari, chuo ufundi au ujuzi flani wako wangapi? Wenye elimu wametufikisha wapi au wamekwama wapi...www.jamiiforums.com
Jibu mwanana ,Yani mtoa mada anamanisha, tz haijawai kua na ndege ya rais?Hujui tofauti ya ndege ya Rais na za Atcl? Akitumia hizo za Atcl ni kwa mapenzi yake mwenyewe.
Kama huujui Uislamu basi ungeusoma kwanza ili kuondoa upotoshaji kwenye mambo ya kiimani.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ile foka si ilipelekwa shirikani. Kwamba ikaongeze mapatoUpo dunina ya wapi nani kakwambia serikali ya tanzania ishakosa ndege ya rais tangu tupate uhuru
Nikupe tarifa tulishambiwa tule nyasi ili ndege ya rais inunuliwe na ikanunuliwa ndege ya rais
Ila.maisha yanaenda kasi sijui yupo wapi mzee mramba eti tule nyasi rais apate ndege
Ina wezekana ndege ya rais ikawa na matatizo ya kiufundi, ama serikali imekodi ndege ya ATCL ili kupunguza gharama za matumizi ya ndege ya rais, upo pia uwezekano wa rais kusafiri kwa ndege ya abiria kupunguza gharama.Nyie mnaosema Tanzania ina ndege ya Rais mbona mama amekwenda na ndege ya ATCL ?
Ndege ya Rais ipo, na ilinunuliwa wakati wa Mkapa, na tuliambiwa na Basil Pesambili Mramba kwamba hata ikibidi tutakula nyasi ndege ya Rais lazima inunuliwe. Sijui ulikuwa wapi wakati huo.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ndege zinamilikiwa na Serikali, ATCL ndio huwa "inakodi"serikali imekodi ndege ya ATCL
Ndege ya Rais sio ndege ya ATCL.Tofautisha ndege ya rais,ambayo ipo hata kabla ya jpm na ndege za kufanyia biashara ya kubeba abiria, yaani atcl. Zinazoleta maneno ni hizo za biashara,umeelewa?!!
Watu wengi hawaijui mantik ni nini,kwa hiyo sio ajabu kwa mleta mada kuja na mada hio.
Ndege ya rais ilinunuliwa enzi za mkapa na basil mramba nadhaniKatika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Nashukuru umemjibu kwa hekima, yaani tunajitia wajuaji halafu mambo mengi hatujuiHujui tofauti ya ndege ya Rais na za Atcl? Akitumia hizo za Atcl ni kwa mapenzi yake mwenyewe.
Dah ni vyema kumuelewesha kwanza. Ingawa na humu wanajifanyaga wajuaji hawataki kuelimishwaMleta uzi ni zaidi ya zooba au zombie
Uda bora upotezee tu, hapo uliingia chaka kidogo na si kosa kabisa. kubali tu kuelimishwaWalikuwa wanatumia ndege za mkopo?
Alizoea kumuona mzee wa show akiwa anatumia Dreamliner kwenda Chattle.Aaahh kumbe hoja yako ni ndege ya kukopa au ya kununua???
Hujui kuwa Rais huwa ana ndege yake maalumu, tofauti na hizi za ATCL???.
DahAnachokojolea ndio anatumia kufikiri maana ubongo wake haupo kichwani tena
Na anaendelea kuonyesha kwamba anajua kama hajui.Kuna mtu hapa hajui kama hajui
GFA (Government Flight Agency), ndege za serikali ikiwemo ya Rais.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari