Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Mpaka uchi ulitaka ku binafsishiwa kweli duniani kuna mitihani mingi.
 
Kuna Dadaa alikuwa rafiki yangu ,wa kawaida Baadae akaolewa kwa hasira kwa Sababu alimfumania mshikaji wake, yeye Hasira akaolewa na ustadhi mmoja hivi Dada anajuta sana kuolewa anasema akiliwa na Mme wake hapati Raha yoyote Katika tendo nikasema Mimi sitokuja kuoa..,,
 
Ni kweli nimeshaona mengi, mengine nikiandika humu hakuna mtu atakayeamini.
Nakua interested kushare ili pia nisikie ya wengine nao wameona nini kwenye maisha.
Why nitunge story, inanisaidia nini sasa?
Tuandikie basi ambayo hatutaamini mamy😅😅😅 sisi wanahabari tuna msemo wetu unaosema “Stori ni ile ya mtu kumng’ata mbwa na sio mbwa kumng’ata mtu”
 
Una uhakika walikuwa wanaume zake au ni hisia zako tu?

Maana watu wa uswazi wasikuone Mwananume uko na Mwanamke tu wanawaza kudinyana tu.
 
Tuandikie basi ambayo hatutaamini mamy😅😅😅 sisi wanahabari tuna msemo wetu unaosema “Stori ni ile ya mtu kumng’ata mbwa na sio mbwa kumng’ata mtu”
Njoo huku mamy, nilikereka nikaifungulia hii ishu uzi wake 😵
 
Kuna mwanamke mmoja alinipa kitumbua kitamu sana, sikujua Kama alikuwa ni mke wa mtu, Tena alinipa mautundu mengi sana. Baadae naomba Tena ndo ananiambia mme wake amarudi kutoka safari.
 
Kuna mwanamke mmoja alinipa kitumbua kitamu sana, sikujua Kama alikuwa ni mke wa mtu, Tena alinipa mautundu mengi sana. Baadae naomba Tena ndo ananiambia mme wake amarudi kutoka safari.
Daah hawa wake za watu wanaowapa mbususu bila kuwaambia kua wana ndoa ni jau sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…