Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Niliwahi kupanga nyumba moja maeneo ya magomeni miaka kadhaa nyuma......yule Baba mwenye nyumba sikujua shughuli zake lakini alikuwa adimu sana......nadhani alikuwa mtu wa safari sana.....ni mbaba tu wa makamo kwa wakati ule.......

Yule alikuwa kila mume wake akitoka kisafari alikuwa anaingiza wanaume tofauti tofauti nyumbani kwake.....na hao wanaume walikuwa huru utasema wao ndio wenye nyumba....

Kilichokuwa kinanishangaza mpaka watoto walikuwa wanaona lakini hawakuonekana kukerwa wala kushtushwa na hali ile.....dah! Lile jambo lilishangaza sana
Jose chameleon tubongeeee
 
Kiukweli ni tukio la kuchepuka ila kauli ya mwanandoa mmoja ndio ilinishangaza. Kuna m mama mmoja umri kama miaka 40 hv anamume lakini alikuwa na michepuko ya kutosha mtaani na mumewe Kila alipokuwa anaambiwa akawa ni kama zoba hv achukui maamuzi, sasa siku moja tuko sehemu tunakunywa na Kwa chobingo yule mother yupo na mchepuko wake wanakunywa bia. Siku hiyo mumewe sijui ndio akawa kama kazinduka baada ya kutonywa na watu akaibuka eneo la tukio. Alipofika eneo la tukio hakuleta varangati ila alimuita mke wake then akaanza kumletea ugomvi. Kauli iliyomtoka yule mama ndio iliyonishangaza. Mother kamwambia mumewe kama kukuzalia nimekuzalia watoto wanne, kama kunitomb...umeshanitomb... Sana, sasa baba imetosha hii iliyobakia hapo( yaan K yake) ni yake ya kunywea pombe na kula atakacho
 
Mjomba alifia gesti Dodoma akiwa na mchepuko ambaye ni mwanafunzi wa chuo. Huyu baba alikua mtu maarufu kwenye siasa na alivyofariki, ilitangazwa kwamba alifia njiani wakati akikimbizwa hospitali kwa mshtuko wa moyo. Ukweli ni kwamba alifia lodge, msichana aliyekua naye akampigia simu uncle wetu mkubwa wakaja wakamtoa lodge haraka kwa kisingizio amezimia na wanamuwahisha hospitali. Uncle alikua ametoka kuoa miezi kadhaa tu kabla hili tukio lililosababisha umauti wake kutokea.

Kushuhudia hilo jambo ndani ya familia na namna lilivyotokea hasa hasa fact ya kwamba baadhi ya ndugu ambao nao wako kwenye ndoa walikua wanajua uncle ana mchepuko, iliniwia ugumu sana kuamini kwamba uaminifu ndani ya taasisi ya ndoa bado upo.

Mliopo single, timu kataa ndoa au wenye mahusiano, njooni mtushirikishe na nyie mliyojionea.

View attachment 3237184
cc: Natafuta Ajira To yeye Nomadix
Anko wako ni Kapuya?
 
Mkuu visa ni vingi Sana hiki kimoja kiko kabisa kwenye familia yangu, hii NI kama karma fulani hivi! Baba yangu mkubwa alichepuka na mke wa jirani Yake kabisa na mwisho wa siku Yule mwanamke akashika mimba na akazaa mtoto ila ndo hivyo mumewe alimbakiwa na maisha yaliendelea. Sasa Yule mtoto ambae for now ni Kaka yangu kadri alivyokuwa anakua akazidi kufanana na mshua mpaka ikaja kujulikana kwamba huyo mtoto ni wa Fulani na mshua alipoulizwa na baba Yake ( babu yangu) akakiri kwamba ni kweli ila hajui cha kufanya maana atavuruga NDOA Yake na ya jirani Yake ila bahati mbaya kabla sekeseke halijapamba Moto mshua akafariki ghafla hivyo ni kama Ile ishu ikapoa. Badae mume wa Yule mama akashtuka na akambana mkewe mpaka akasema ukweli hivyo Jambo likawa lizo wazi kabisa kwa watu wote. Babu yangu akawaita Baba zangu waliobaki akiwemo Baba yangu akawambia inabidi wafanye utaratibu wamnunue Yule mtoto ( hapo alikuwa tayari mkubwa kama miaka 15 hivi) ila kabla hawajaliweka Sawa babu yangu nae akafariki hivyo mchakato ukakwama tena mpaka badae mtoto alipofikisha miaka 18 ndo alichukuliwa rasmi akaja kwenye familia yetu kama Kaka yetu and yes tunafanana maana sisi kwetu wengi wetu tunafanana. Mama Yake mzazi aliendelea kuishi na mumewe pamoja na yote alisamehewa ila sasa😆😆😆😆karma is a bitch Kaka yangu huyuhuyu baada ya kufika umri wa kuoa alijilipua alioa mwanamke ambae ni single mama japo alionywa Sana maana huyu binti alikuwa anajulikana ila alishupaza shingo akaoa hivyohivyo ( HISIA ZILIZIDI AKILI) na alimuoa Yule dada mtoto wake akiwa mdogo Sana jamaa akalea mpaka Dogo akakua basi wakapata na wao mtoto wao wa Kwanza ila kabla hajakua vizuri wakapata mtoto mwingine tena (walibebanisha watoto) ajabu huyu mtoto alipokua akawa anafanana Sana na first born wa yule dada aliyetoka nae kwao. Baadhi ya ndugu walianza minong'ono ila Mzee wangu alikemea vikali na akasema asije kusikia mtu anaongea chochote. Akazaliwa mtoto mwingine wa 3 sasa 😃😃😃😃nyie watoto wa kuiba wanafanana na wezi balaa nae akaja kufanana copyright na wale wengine wawili kwahiyo mtoto pekee aliyekuwa tofauti ni Yule waliyempata wa Kwanza kwenye ndoa yao. Sasa sekeseke likaja hivi juzi shangazi Yake na huyu shemeji yangu walikosana walipokuwa kwenye sherehe huko kwao na walitoleana maneno machafu Sana(familia ya huyu shemeji yangu Wana uswahili Fulani hivyo kutoleana maneno machafu kwao ni kawaida) si shangazi mtu akaropoka kwamba huyu shemeji ashukuru kapata mume asiye na makuu kwa umalaya wake kamzalia watoto wote wawili nje ya ndoa ila mume haelewi analea tu na huyu akiendelea kujifanya mjuaji atamsema baba halisi wa wale watoto mbele ya hadhara maana anamjua😆😆😆shemeji akawa mpole bwana na akamuomba aunt Yake asiendelee kuongea ila sasa tayari Wana familia na watu wengine waliokuwepo pale walishasikia, aunt alikasirika kupita kiasi mpaka akaropoka baba halisi wa wale watoto🥺🥺🥺ni ndugu kabisa wa yule shemeji (uncle wake)aisee ikawa balaa na maneno yakafika kwetu. Bro hakumuuliza chochote zaidi alimchukua Yule mtoto wake halisi akamhamisha shule akampeleka kwa shangazi yetu (PWANI) na yeye akasepa na nguo zake tu akamwacha mwanamke pale walipokuwa wanaishi mpaka Leo, hajawahi kuongea na yeyote kuhusu hili sakata ila alimwambia tu Mzee kwamba huenda dhambi ya mama yangu na Baba yangu inanitafuna hivyo nahitaji utulivu niweze kutubu . Mpaka Leo yupo huko kanda ya ziwa na ni bachelor mpaka sasa
 
Mkuu visa ni vingi Sana hiki kimoja kiko kabisa kwenye familia yangu, hii NI kama karma fulani hivi! Baba yangu mkubwa alichepuka na mke wa jirani Yake kabisa na mwisho wa siku Yule mwanamke akashika mimba na akazaa mtoto ila ndo hivyo mumewe alimbakiwa na maisha yaliendelea. Sasa Yule mtoto ambae for now ni Kaka yangu kadri alivyokuwa anakua akazidi kufanana na mshua mpaka ikaja kujulikana kwamba huyo mtoto ni wa Fulani na mshua alipoulizwa na baba Yake ( babu yangu) akakiri kwamba ni kweli ila hajui cha kufanya maana atavuruga NDOA Yake na ya jirani Yake ila bahati mbaya kabla sekeseke halijapamba Moto mshua akafariki ghafla hivyo ni kama Ile ishu ikapoa. Badae mume wa Yule mama akashtuka na akambana mkewe mpaka akasema ukweli hivyo Jambo likawa lizo wazi kabisa kwa watu wote. Babu yangu akawaita Baba zangu waliobaki akiwemo Baba yangu akawambia inabidi wafanye utaratibu wamnunue Yule mtoto ( hapo alikuwa tayari mkubwa kama miaka 15 hivi) ila kabla hawajaliweka Sawa babu yangu nae akafariki hivyo mchakato ukakwama tena mpaka badae mtoto alipofikisha miaka 18 ndo alichukuliwa rasmi akaja kwenye familia yetu kama Kaka yetu and yes tunafanana maana sisi kwetu wengi wetu tunafanana. Mama Yake mzazi aliendelea kuishi na mumewe pamoja na yote alisamehewa ila sasa😆😆😆😆karma is a bitch Kaka yangu huyuhuyu baada ya kufika umri wa kuoa alijilipua alioa mwanamke ambae ni single mama japo alionywa Sana maana huyu binti alikuwa anajulikana ila alishupaza shingo akaoa hivyohivyo ( HISIA ZILIZIDI AKILI) na alimuoa Yule dada mtoto wake akiwa mdogo Sana jamaa akalea mpaka Dogo akakua basi wakapata na wao mtoto wao wa Kwanza ila kabla hajakua vizuri wakapata mtoto mwingine tena (walibebanisha watoto) ajabu huyu mtoto alipokua akawa anafanana Sana na first born wa yule dada aliyetoka nae kwao. Baadhi ya ndugu walianza minong'ono ila Mzee wangu alikemea vikali na akasema asije kusikia mtu anaongea chochote. Akazaliwa mtoto mwingine wa 3 sasa 😃😃😃😃nyie watoto wa kuiba wanafanana na wezi balaa nae akaja kufanana copyright na wale wengine wawili kwahiyo mtoto pekee aliyekuwa tofauti ni Yule waliyempata wa Kwanza kwenye ndoa yao. Sasa sekeseke likaja hivi juzi shangazi Yake na huyu shemeji yangu walikosana walipokuwa kwenye sherehe huko kwao na walitoleana maneno machafu Sana(familia ya huyu shemeji yangu Wana uswahili Fulani hivyo kutoleana maneno machafu kwao ni kawaida) si shangazi mtu akaropoka kwamba huyu shemeji ashukuru kapata mume asiye na makuu kwa umalaya wake kamzalia watoto wote wawili nje ya ndoa ila mume haelewi analea tu na huyu akiendelea kujifanya mjuaji atamsema baba halisi wa wale watoto mbele ya hadhara maana anamjua😆😆😆shemeji akawa mpole bwana na akamuomba aunt Yake asiendelee kuongea ila sasa tayari Wana familia na watu wengine waliokuwepo pale walishasikia, aunt alikasirika kupita kiasi mpaka akaropoka baba halisi wa wale watoto🥺🥺🥺ni ndugu kabisa wa yule shemeji (uncle wake)aisee ikawa balaa na maneno yakafika kwetu. Bro hakumuuliza chochote zaidi alimchukua Yule mtoto wake halisi akamhamisha shule akampeleka kwa shangazi yetu (PWANI) na yeye akasepa na nguo zake tu akamwacha mwanamke pale walipokuwa wanaishi mpaka Leo, hajawahi kuongea na yeyote kuhusu hili sakata ila alimwambia tu Mzee kwamba huenda dhambi ya mama yangu na Baba yangu inanitafuna hivyo nahitaji utulivu niweze kutubu . Mpaka Leo yupo huko kanda ya ziwa na ni bachelor mpaka sasa
Daaah, watu wanapitia misukosuko jamani 💔❤️‍🩹
 
Mkuu visa ni vingi Sana hiki kimoja kiko kabisa kwenye familia yangu, hii NI kama karma fulani hivi! Baba yangu mkubwa alichepuka na mke wa jirani Yake kabisa na mwisho wa siku Yule mwanamke akashika mimba na akazaa mtoto ila ndo hivyo mumewe alimbakiwa na maisha yaliendelea. Sasa Yule mtoto ambae for now ni Kaka yangu kadri alivyokuwa anakua akazidi kufanana na mshua mpaka ikaja kujulikana kwamba huyo mtoto ni wa Fulani na mshua alipoulizwa na baba Yake ( babu yangu) akakiri kwamba ni kweli ila hajui cha kufanya maana atavuruga NDOA Yake na ya jirani Yake ila bahati mbaya kabla sekeseke halijapamba Moto mshua akafariki ghafla hivyo ni kama Ile ishu ikapoa. Badae mume wa Yule mama akashtuka na akambana mkewe mpaka akasema ukweli hivyo Jambo likawa lizo wazi kabisa kwa watu wote. Babu yangu akawaita Baba zangu waliobaki akiwemo Baba yangu akawambia inabidi wafanye utaratibu wamnunue Yule mtoto ( hapo alikuwa tayari mkubwa kama miaka 15 hivi) ila kabla hawajaliweka Sawa babu yangu nae akafariki hivyo mchakato ukakwama tena mpaka badae mtoto alipofikisha miaka 18 ndo alichukuliwa rasmi akaja kwenye familia yetu kama Kaka yetu and yes tunafanana maana sisi kwetu wengi wetu tunafanana. Mama Yake mzazi aliendelea kuishi na mumewe pamoja na yote alisamehewa ila sasa😆😆😆😆karma is a bitch Kaka yangu huyuhuyu baada ya kufika umri wa kuoa alijilipua alioa mwanamke ambae ni single mama japo alionywa Sana maana huyu binti alikuwa anajulikana ila alishupaza shingo akaoa hivyohivyo ( HISIA ZILIZIDI AKILI) na alimuoa Yule dada mtoto wake akiwa mdogo Sana jamaa akalea mpaka Dogo akakua basi wakapata na wao mtoto wao wa Kwanza ila kabla hajakua vizuri wakapata mtoto mwingine tena (walibebanisha watoto) ajabu huyu mtoto alipokua akawa anafanana Sana na first born wa yule dada aliyetoka nae kwao. Baadhi ya ndugu walianza minong'ono ila Mzee wangu alikemea vikali na akasema asije kusikia mtu anaongea chochote. Akazaliwa mtoto mwingine wa 3 sasa 😃😃😃😃nyie watoto wa kuiba wanafanana na wezi balaa nae akaja kufanana copyright na wale wengine wawili kwahiyo mtoto pekee aliyekuwa tofauti ni Yule waliyempata wa Kwanza kwenye ndoa yao. Sasa sekeseke likaja hivi juzi shangazi Yake na huyu shemeji yangu walikosana walipokuwa kwenye sherehe huko kwao na walitoleana maneno machafu Sana(familia ya huyu shemeji yangu Wana uswahili Fulani hivyo kutoleana maneno machafu kwao ni kawaida) si shangazi mtu akaropoka kwamba huyu shemeji ashukuru kapata mume asiye na makuu kwa umalaya wake kamzalia watoto wote wawili nje ya ndoa ila mume haelewi analea tu na huyu akiendelea kujifanya mjuaji atamsema baba halisi wa wale watoto mbele ya hadhara maana anamjua😆😆😆shemeji akawa mpole bwana na akamuomba aunt Yake asiendelee kuongea ila sasa tayari Wana familia na watu wengine waliokuwepo pale walishasikia, aunt alikasirika kupita kiasi mpaka akaropoka baba halisi wa wale watoto🥺🥺🥺ni ndugu kabisa wa yule shemeji (uncle wake)aisee ikawa balaa na maneno yakafika kwetu. Bro hakumuuliza chochote zaidi alimchukua Yule mtoto wake halisi akamhamisha shule akampeleka kwa shangazi yetu (PWANI) na yeye akasepa na nguo zake tu akamwacha mwanamke pale walipokuwa wanaishi mpaka Leo, hajawahi kuongea na yeyote kuhusu hili sakata ila alimwambia tu Mzee kwamba huenda dhambi ya mama yangu na Baba yangu inanitafuna hivyo nahitaji utulivu niweze kutubu . Mpaka Leo yupo huko kanda ya ziwa na ni bachelor mpaka sasa
Duh hii noma mkuu.
 
Kiukweli ni tukio la kuchepuka ila kauli ya mwanandoa mmoja ndio ilinishangaza. Kuna m mama mmoja umri kama miaka 40 hv anamume lakini alikuwa na michepuko ya kutosha mtaani na mumewe Kila alipokuwa anaambiwa akawa ni kama zoba hv achukui maamuzi, sasa siku moja tuko sehemu tunakunywa na Kwa chobingo yule mother yupo na mchepuko wake wanakunywa bia. Siku hiyo mumewe sijui ndio akawa kama kazinduka baada ya kutonywa na watu akaibuka eneo la tukio. Alipofika eneo la tukio hakuleta varangati ila alimuita mke wake then akaanza kumletea ugomvi. Kauli iliyomtoka yule mama ndio iliyonishangaza. Mother kamwambia mumewe kama kukuzalia nimekuzalia watoto wanne, kama kunitomb...umeshanitomb... Sana, sasa baba imetosha hii iliyobakia hapo( yaan K yake) ni yake ya kunywea pombe na kula atakacho
 
Kiukweli ni tukio la kuchepuka ila kauli ya mwanandoa mmoja ndio ilinishangaza. Kuna m mama mmoja umri kama miaka 40 hv anamume lakini alikuwa na michepuko ya kutosha mtaani na mumewe Kila alipokuwa anaambiwa akawa ni kama zoba hv achukui maamuzi, sasa siku moja tuko sehemu tunakunywa na Kwa chobingo yule mother yupo na mchepuko wake wanakunywa bia. Siku hiyo mumewe sijui ndio akawa kama kazinduka baada ya kutonywa na watu akaibuka eneo la tukio. Alipofika eneo la tukio hakuleta varangati ila alimuita mke wake then akaanza kumletea ugomvi. Kauli iliyomtoka yule mama ndio iliyonishangaza. Mother kamwambia mumewe kama kukuzalia nimekuzalia watoto wanne, kama kunitomb...umeshanitomb... Sana, sasa baba imetosha hii iliyobakia hapo( yaan K yake) ni yake ya kunywea pombe na kula atakacho
Hahaha
 
Siamini kama kweli binadamu waliumbwa ili kuja kuoana bali kuzaana tu. Ukweli ni kwamba mwanaume akishalala na mwanamke ile hamu ya kumtaka tena huyo mwanamke inapungua kwa asilimia 80 au hata 90, na ndiyo maana wanaume hatutulii, si kosa letu ndivyo tulivyo umbwa. Kwenu wanaume ebu jiulizeni hii kitu, hivi baada ya kutomba mwanamke uliyekuwa unamfukuzia, ni nini tena unataka kutoka kwake au huyo mwanamke ana faida gani tena kwako? Mwanamke hana thamani tena baada ya kutombwa na ndiyo maana nashindwa kuelewa wanaume wenzangu unakwenda kumuhonga mwanamke hela ya kazi gani wakati hana thamani yeyote kwako?
 
Mkuu visa ni vingi Sana hiki kimoja kiko kabisa kwenye familia yangu, hii NI kama karma fulani hivi! Baba yangu mkubwa alichepuka na mke wa jirani Yake kabisa na mwisho wa siku Yule mwanamke akashika mimba na akazaa mtoto ila ndo hivyo mumewe alimbakiwa na maisha yaliendelea. Sasa Yule mtoto ambae for now ni Kaka yangu kadri alivyokuwa anakua akazidi kufanana na mshua mpaka ikaja kujulikana kwamba huyo mtoto ni wa Fulani na mshua alipoulizwa na baba Yake ( babu yangu) akakiri kwamba ni kweli ila hajui cha kufanya maana atavuruga NDOA Yake na ya jirani Yake ila bahati mbaya kabla sekeseke halijapamba Moto mshua akafariki ghafla hivyo ni kama Ile ishu ikapoa. Badae mume wa Yule mama akashtuka na akambana mkewe mpaka akasema ukweli hivyo Jambo likawa lizo wazi kabisa kwa watu wote. Babu yangu akawaita Baba zangu waliobaki akiwemo Baba yangu akawambia inabidi wafanye utaratibu wamnunue Yule mtoto ( hapo alikuwa tayari mkubwa kama miaka 15 hivi) ila kabla hawajaliweka Sawa babu yangu nae akafariki hivyo mchakato ukakwama tena mpaka badae mtoto alipofikisha miaka 18 ndo alichukuliwa rasmi akaja kwenye familia yetu kama Kaka yetu and yes tunafanana maana sisi kwetu wengi wetu tunafanana. Mama Yake mzazi aliendelea kuishi na mumewe pamoja na yote alisamehewa ila sasa😆😆😆😆karma is a bitch Kaka yangu huyuhuyu baada ya kufika umri wa kuoa alijilipua alioa mwanamke ambae ni single mama japo alionywa Sana maana huyu binti alikuwa anajulikana ila alishupaza shingo akaoa hivyohivyo ( HISIA ZILIZIDI AKILI) na alimuoa Yule dada mtoto wake akiwa mdogo Sana jamaa akalea mpaka Dogo akakua basi wakapata na wao mtoto wao wa Kwanza ila kabla hajakua vizuri wakapata mtoto mwingine tena (walibebanisha watoto) ajabu huyu mtoto alipokua akawa anafanana Sana na first born wa yule dada aliyetoka nae kwao. Baadhi ya ndugu walianza minong'ono ila Mzee wangu alikemea vikali na akasema asije kusikia mtu anaongea chochote. Akazaliwa mtoto mwingine wa 3 sasa 😃😃😃😃nyie watoto wa kuiba wanafanana na wezi balaa nae akaja kufanana copyright na wale wengine wawili kwahiyo mtoto pekee aliyekuwa tofauti ni Yule waliyempata wa Kwanza kwenye ndoa yao. Sasa sekeseke likaja hivi juzi shangazi Yake na huyu shemeji yangu walikosana walipokuwa kwenye sherehe huko kwao na walitoleana maneno machafu Sana(familia ya huyu shemeji yangu Wana uswahili Fulani hivyo kutoleana maneno machafu kwao ni kawaida) si shangazi mtu akaropoka kwamba huyu shemeji ashukuru kapata mume asiye na makuu kwa umalaya wake kamzalia watoto wote wawili nje ya ndoa ila mume haelewi analea tu na huyu akiendelea kujifanya mjuaji atamsema baba halisi wa wale watoto mbele ya hadhara maana anamjua😆😆😆shemeji akawa mpole bwana na akamuomba aunt Yake asiendelee kuongea ila sasa tayari Wana familia na watu wengine waliokuwepo pale walishasikia, aunt alikasirika kupita kiasi mpaka akaropoka baba halisi wa wale watoto🥺🥺🥺ni ndugu kabisa wa yule shemeji (uncle wake)aisee ikawa balaa na maneno yakafika kwetu. Bro hakumuuliza chochote zaidi alimchukua Yule mtoto wake halisi akamhamisha shule akampeleka kwa shangazi yetu (PWANI) na yeye akasepa na nguo zake tu akamwacha mwanamke pale walipokuwa wanaishi mpaka Leo, hajawahi kuongea na yeyote kuhusu hili sakata ila alimwambia tu Mzee kwamba huenda dhambi ya mama yangu na Baba yangu inanitafuna hivyo nahitaji utulivu niweze kutubu . Mpaka Leo yupo huko kanda ya ziwa na ni bachelor mpaka sasa
Hahaha q
 
Mkuu visa ni vingi Sana hiki kimoja kiko kabisa kwenye familia yangu, hii NI kama karma fulani hivi! Baba yangu mkubwa alichepuka na mke wa jirani Yake kabisa na mwisho wa siku Yule mwanamke akashika mimba na akazaa mtoto ila ndo hivyo mumewe alimbakiwa na maisha yaliendelea. Sasa Yule mtoto ambae for now ni Kaka yangu kadri alivyokuwa anakua akazidi kufanana na mshua mpaka ikaja kujulikana kwamba huyo mtoto ni wa Fulani na mshua alipoulizwa na baba Yake ( babu yangu) akakiri kwamba ni kweli ila hajui cha kufanya maana atavuruga NDOA Yake na ya jirani Yake ila bahati mbaya kabla sekeseke halijapamba Moto mshua akafariki ghafla hivyo ni kama Ile ishu ikapoa. Badae mume wa Yule mama akashtuka na akambana mkewe mpaka akasema ukweli hivyo Jambo likawa lizo wazi kabisa kwa watu wote. Babu yangu akawaita Baba zangu waliobaki akiwemo Baba yangu akawambia inabidi wafanye utaratibu wamnunue Yule mtoto ( hapo alikuwa tayari mkubwa kama miaka 15 hivi) ila kabla hawajaliweka Sawa babu yangu nae akafariki hivyo mchakato ukakwama tena mpaka badae mtoto alipofikisha miaka 18 ndo alichukuliwa rasmi akaja kwenye familia yetu kama Kaka yetu and yes tunafanana maana sisi kwetu wengi wetu tunafanana. Mama Yake mzazi aliendelea kuishi na mumewe pamoja na yote alisamehewa ila sasa😆😆😆😆karma is a bitch Kaka yangu huyuhuyu baada ya kufika umri wa kuoa alijilipua alioa mwanamke ambae ni single mama japo alionywa Sana maana huyu binti alikuwa anajulikana ila alishupaza shingo akaoa hivyohivyo ( HISIA ZILIZIDI AKILI) na alimuoa Yule dada mtoto wake akiwa mdogo Sana jamaa akalea mpaka Dogo akakua basi wakapata na wao mtoto wao wa Kwanza ila kabla hajakua vizuri wakapata mtoto mwingine tena (walibebanisha watoto) ajabu huyu mtoto alipokua akawa anafanana Sana na first born wa yule dada aliyetoka nae kwao. Baadhi ya ndugu walianza minong'ono ila Mzee wangu alikemea vikali na akasema asije kusikia mtu anaongea chochote. Akazaliwa mtoto mwingine wa 3 sasa 😃😃😃😃nyie watoto wa kuiba wanafanana na wezi balaa nae akaja kufanana copyright na wale wengine wawili kwahiyo mtoto pekee aliyekuwa tofauti ni Yule waliyempata wa Kwanza kwenye ndoa yao. Sasa sekeseke likaja hivi juzi shangazi Yake na huyu shemeji yangu walikosana walipokuwa kwenye sherehe huko kwao na walitoleana maneno machafu Sana(familia ya huyu shemeji yangu Wana uswahili Fulani hivyo kutoleana maneno machafu kwao ni kawaida) si shangazi mtu akaropoka kwamba huyu shemeji ashukuru kapata mume asiye na makuu kwa umalaya wake kamzalia watoto wote wawili nje ya ndoa ila mume haelewi analea tu na huyu akiendelea kujifanya mjuaji atamsema baba halisi wa wale watoto mbele ya hadhara maana anamjua😆😆😆shemeji akawa mpole bwana na akamuomba aunt Yake asiendelee kuongea ila sasa tayari Wana familia na watu wengine waliokuwepo pale walishasikia, aunt alikasirika kupita kiasi mpaka akaropoka baba halisi wa wale watoto🥺🥺🥺ni ndugu kabisa wa yule shemeji (uncle wake)aisee ikawa balaa na maneno yakafika kwetu. Bro hakumuuliza chochote zaidi alimchukua Yule mtoto wake halisi akamhamisha shule akampeleka kwa shangazi yetu (PWANI) na yeye akasepa na nguo zake tu akamwacha mwanamke pale walipokuwa wanaishi mpaka Leo, hajawahi kuongea na yeyote kuhusu hili sakata ila alimwambia tu Mzee kwamba huenda dhambi ya mama yangu na Baba yangu inanitafuna hivyo nahitaji utulivu niweze kutubu . Mpaka Leo yupo huko kanda ya ziwa na ni bachelor mpaka sasa
Umenifanya nifikirie kitu fulani mara mbili!

Karma is real
 
Back
Top Bottom