makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Mungu akusaidie sana mkuu
Umesema kwa hisia sana 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akusaidie sana mkuu
kuna tukio ulifanya? huwa wanasema muosha huoshwaUmenifanya nifikirie kitu fulani mara mbili!
Karma is real
Kuna Uzi fulani wa Aziz ki ame dislike comment yangu nikasema usikute ndo Raha yake ... Acha ajipe rahamkuu Django Doer Kuna shida gani na hayo madislike yako, kama haujapenda au haujafurah mimi kukoment si unakausha tu
anazingua hujapenda unakausha tu unanya mengine hayo madislike yanaumiza machoKuna Uzi fulani wa Aziz ki ame dislike comment yangu nikasema usikute ndo Raha yake ... Acha ajipe raha
Hapana mkuu! Nimewaza tu mara mbili! Na kujaribu kuunganisha matukio fulani!kuna tukio ulifanya? huwa wanasema muosha huoshwa
inahitaji ujasiri kuchomeka anapomwagia wenzio huku unajua kabisa, akikwambia usipige mume wangu yupo unajua tu hapa lazima mzigo uliwe inauma hata kama atakuoooza ooh nimemnyima nimekuwekea wewe, yaani amnyime aliyemtolea mahari ambaye wakati anaolewa aliambia marufuku kulala na chupi, halafu anakupa moyo oo yule nimnyima huwa muda mwingine hao wanajisifu kula wake za watu nawaona mazuzu tuHapana mkuu! Nimewaza tu mara mbili! Na kujaribu kuunganisha matukio fulani!
By the way ... Mimi sio tu naogopa mke wa mtu ila napata kinyaa!
Dots nimezionganisha kwa baba yangu mdogo ni humo humo
sabuni ziendeleeNawasalimu kwa jina la
KATAA NDOA
Kumbe na wewe anakudislike, I thought ni mimi tu yani anakuja kwenye nyuzi zangu napata notification ya dislike kama 20 hivi. WHY?mkuu Django Doer Kuna shida gani na hayo madislike yako, kama haujapenda au haujafurah mimi kukoment si unakausha tu
atakuwa na shida kiakiliKumbe na wewe anakudislike, I thought ni mimi tu yani anakuja kwenye nyuzi zangu napata notification ya dislike kama 20 hivi. WHY?
haha huyu namjua katoroka milembe alichanganyikiwa baada ya kumfumania mtu wake ananyonyeshwa dyudyu mpotezeeKumbe na wewe anakudislike, I thought ni mimi tu yank anakuja kwenye nyuzi zangu napata notification ya dislike kama 20 hivi. WHY?
Yaani hii kitu inafikirisha sanaUmenifanya nifikirie kitu fulani mara mbili!
Karma is real
Kweli kabisa mkuu! Inahitaji mtu mwenye roho ngumu sana au mwenye tamaaa sanaaaaaaaaa kumla mke wa mtu!inahitaji ujasiri kuchomeka anapomwagia wenzio huku unajua kabisa, akikwambia usipige mume wangu yupo unajua tu hapa lazima mzigo uliwe inauma hata kama atakuoooza ooh nimemnyima nimekuwekea wewe, yaani amnyime aliyemtolea mahari ambaye wakati anaolewa aliambia marufuku kulala na chupi, halafu anakupa moyo oo yule nimnyima huwa muda mwingine hao wanajisifu kula wake za watu nawaona mazuzu tu
Chama kiendeleeNawasalimu kwa jina la
KATAA NDOA
Nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣 basi acha tumsamehe tu!haha huyu namjua katoroka milembe alichanganyikiwa baada ya kumfumania mtu wake ananyonyeshwa dyudyu mpotezee
Najijua yaani mm hata demu sitaki tuzinguane na ikitokea ni hapo hapo urafiki unaisha yaaniMungu akusaidie sana mkuu
Umesema kwa hisia sana 😂
Mwambie Mimi pia kanipa dislike sijapendezwa na hicho kitu! Kabisa Django Doermkuu Django Doer Kuna shida gani na hayo madislike yako, kama haujapenda au haujafurah mimi kukoment si unakausha tu