Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Duh kumbeAtakua mchicha mwiba huyo, anadhani Kila mtu anafagilia kijambio mpumbafu kweli huyo jamaa, huku ni jf sio Instagram wala Tiktok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kumbeAtakua mchicha mwiba huyo, anadhani Kila mtu anafagilia kijambio mpumbafu kweli huyo jamaa, huku ni jf sio Instagram wala Tiktok
haujamjua tu yule mbunge aliyekuwa anapenda kuhonga vibintiKeshatangulia mbele za haki na alikuwa mashuhuri hebu mtaje walau hata kwa jina moja usijekiwa unanogesha uzi tuu.
Hapana mkuuhaujamjua tu yule mbunge aliyekuwa anapenda kuhonga vibinti
Ngoja aje mwenye anko akutajieHapana mkuu
Siwezi kumtaja mkuu, hata kama keshatangulia bado ni mwanafamilia.Keshatangulia mbele za haki na alikuwa mashuhuri hebu mtaje walau hata kwa jina moja usijekiwa unanogesha uzi tuu.
Unakojozwa!?Siwezi kumtaja mkuu, hata kama keshatangulia bado ni mwanafamilia.
Na nina uhakika hata nikimtaja jina moja tu, utafahamu ni nani.
Mama la mama uyo Hana hata aibu mbele za watu KwelKiukweli ni tukio la kuchepuka ila kauli ya mwanandoa mmoja ndio ilinishangaza. Kuna m mama mmoja umri kama miaka 40 hv anamume lakini alikuwa na michepuko ya kutosha mtaani na mumewe Kila alipokuwa anaambiwa akawa ni kama zoba hv achukui maamuzi, sasa siku moja tuko sehemu tunakunywa na Kwa chobingo yule mother yupo na mchepuko wake wanakunywa bia. Siku hiyo mumewe sijui ndio akawa kama kazinduka baada ya kutonywa na watu akaibuka eneo la tukio. Alipofika eneo la tukio hakuleta varangati ila alimuita mke wake then akaanza kumletea ugomvi. Kauli iliyomtoka yule mama ndio iliyonishangaza. Mother kamwambia mumewe kama kukuzalia nimekuzalia watoto wanne, kama kunitomb...umeshanitomb... Sana, sasa baba imetosha hii iliyobakia hapo( yaan K yake) ni yake ya kunywea pombe na kula atakacho
Kwanini mkuu,.sikuwepo wakati anaongea ila nahisi aliongea kwa uchungu mkub
Kwanini mkuu,.sikuwepo wakati
Duh! Vibamia kazi tunayoNiliona message ya Mke akimwamwambia mchepuko wake hana hamu na mume wake wakifanya anaona kama anambaka na inabidi awaze yupo na mchepuko wake ili stimu zipande. Vijana kagueni simu za wake zenu muondoe kupe mapema kabla haijamia moyoni.
Nyingine nilidate na mke wa mtu unknowingly...yule mwanmke nilipogundua ni mke wa mtu nikamuuliza kwann unacheat akaniambia yangu inafit vizuri kwake ya mumewe ina pwaya nikagundua shida jamaa alioa mwanamke ambae alishaonja tofauti tofauti...haridhishwi nae. Nilisitisha yale mahusiano baada ya kumla mara mbili.
Aiseee kweli huyo kiboko.Kiukweli ni tukio la kuchepuka ila kauli ya mwanandoa mmoja ndio ilinishangaza. Kuna m mama mmoja umri kama miaka 40 hv anamume lakini alikuwa na michepuko ya kutosha mtaani na mumewe Kila alipokuwa anaambiwa akawa ni kama zoba hv achukui maamuzi, sasa siku moja tuko sehemu tunakunywa na Kwa chobingo yule mother yupo na mchepuko wake wanakunywa bia. Siku hiyo mumewe sijui ndio akawa kama kazinduka baada ya kutonywa na watu akaibuka eneo la tukio. Alipofika eneo la tukio hakuleta varangati ila alimuita mke wake then akaanza kumletea ugomvi. Kauli iliyomtoka yule mama ndio iliyonishangaza. Mother kamwambia mumewe kama kukuzalia nimekuzalia watoto wanne, kama kunitomb...umeshanitomb... Sana, sasa baba imetosha hii iliyobakia hapo( yaan K yake) ni yake ya kunywea pombe na kula atakacho
Hahah mzee wa "palipo na viatu vya mumewe..." nakubali sanaMdogo wangu Hizi mambo ni hatari sana. Recho alinipa experience kubwa sana. Hapa ndio maan nilifanya Toba chap chap baada ya ule ushenzi. Monetary doctor
Ndoa ni kitu kizuri sana kwa watu walio serious na maisha sio watoto au watu ambao hawajakomaaNdoa ni ukatili mkubwa sana mkuu...☹️
Tuwe makini tunapochepuka...au tulikimbie kabisa hili jambo la hovyo mkuu?Ukishasikia neno kuchepuka lazima siku moja uaibike, tuwe tu makini 😜
Hao wenye akili wanaoingia ndoani ndio hawahawa wanaokuja kulialia humu JF kwamba ndoa zao zimewashinda.Ndoa sio kwa wajinga ili udumu na ndoa lazima uwe na akili haswa sio zile za G.P.A kubwa
USSR
Hujakomaa...kuna zaidi kwa mwanamke na mwanamume...ni zaidi ya kukutana kimwiliSiamini kama kweli binadamu waliumbwa ili kuja kuoana bali kuzaana tu. Ukweli ni kwamba mwanaume akishalala na mwanamke ile hamu ya kumtaka tena huyo mwanamke inapungua kwa asilimia 80 au hata 90, na ndiyo maana wanaume hatutulii, si kosa letu ndivyo tulivyo umbwa. Kwenu wanaume ebu jiulizeni hii kitu, hivi baada ya kutomba mwanamke uliyekuwa unamfukuzia, ni nini tena unataka kutoka kwake au huyo mwanamke ana faida gani tena kwako? Mwanamke hana thamani tena baada ya kutombwa na ndiyo maana nashindwa kuelewa wanaume wenzangu unakwenda kumuhonga mwanamke hela ya kazi gani wakati hana thamani yeyote kwako?
Kabisa...maisha usipoyaendea kwa adabu,usipokuwa makini kutumia uhuru wako,lazima yawe na visa...Daaah, watu wanapitia misukosuko jamani 💔❤️🩹