Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Naomba unitajie ni dhambi ipi niliyotenda ama kufanya? Unadanganya kwa kusema Mungu katuambia tusidhini, ni lini Mungu alisema hivyo? Usipende kuamini vitabu vya dini vile si vitabu vya Mungu, vimetungwa na binadamu kama vile wewe na mimi, usipotoke. Hizi dini ufanya watu kuwa wajinga tu, never believe in them. Mfano angalia uliyoandika hapo juu as dhambi, hivi unajuwa mitume wote walikuwa wauaji na wazinzi? Kwanini walikuwa hivyo wakati Mungu aliwakataza?
Nifundishe kuzini jaman
 
Niliona message ya Mke akimwamwambia mchepuko wake hana hamu na mume wake wakifanya anaona kama anambaka na inabidi awaze yupo na mchepuko wake ili stimu zipande. Vijana kagueni simu za wake zenu muondoe kupe mapema kabla haijamia moyoni.

Nyingine nilidate na mke wa mtu unknowingly...yule mwanmke nilipogundua ni mke wa mtu nikamuuliza kwann unacheat akaniambia yangu inafit vizuri kwake ya mumewe ina pwaya nikagundua shida jamaa alioa mwanamke ambae alishaonja tofauti tofauti...haridhishwi nae. Nilisitisha yale mahusiano baada ya kumla mara mbili.
Itakuwa una mashine tamu inakoboa vzr
 
Kumbe na wewe anakudislike, I thought ni mimi tu yani anakuja kwenye nyuzi zangu napata notification ya dislike kama 20 hivi. WHY?
Huyo anafanya mchezo tu kwa sababu kuna uzi fulani nilicomment kama mara 3 hivi aka-dislike nikashangaa. Niliporudi kuangalia nikakuta ame-dislike comments zote kwenye ule uzi!!!!😃😃😃
 
Kataa Ndoa niko hapa na nilioa mara moja kutimiza wajibu.
Kuna mshikaji mmoja alikua mtu wa bwii sana pale maskani tumepanga.
Alikua na demu wake toka Kigoma(mnyaru)demu chombo haswa black beauty kiuno kama dondola.
Huyo demu alizama gheto mara kibao na kanga moko nimtafune
Nilikataa,
yaani niliona uchafu tu, alafu pia kumuonea huruma mshkaji na ulevi wake
Aisee yule mtoto akawa anagongwa na masela mpaka basi, kuna siku jamaa kafumania kabisa gheto kwake kashika panga nikamtoa asiue.
Sijui waliishia wapi wale maana walihama pale home.
 
Mimi nilikuwa na mahusiano na binti mmoja lakini bahati dini zilikuwa tofauti baada ya miaka kadhaa ya kudate naye.....kwao akatokea mchumba akamuoa lakini.... aliniambia kuwa pamoja kuwa nimeolewa lakini huu UCHI ni mali yako......na mtoto wa kwanza nitazaa na wewe......

Yale maneno yalinitafakarisha sana kuhusu ndoa....nilimuonea huruma sana mwanaume mwenzangu....yule mwanamke kila akinitafuta namzungusha tu....mpaka akakata tamaa akanipotezea.....
Mara nyingi hawapo strong enough kuhandle rejection, vipi haikuleta chuki kati yenu?
 
Mjomba alifia gesti Dodoma akiwa na mchepuko ambaye ni mwanafunzi wa chuo. Huyu baba alikua mtu maarufu kwenye siasa na alivyofariki, ilitangazwa kwamba alifia njiani wakati akikimbizwa hospitali kwa mshtuko wa moyo. Ukweli ni kwamba alifia lodge, msichana aliyekua naye akampigia simu uncle wetu mkubwa wakaja wakamtoa lodge haraka kwa kisingizio amezimia na wanamuwahisha hospitali. Uncle alikua ametoka kuoa miezi kadhaa tu kabla hili tukio lililosababisha umauti wake kutokea.

Kushuhudia hilo jambo ndani ya familia na namna lilivyotokea hasa hasa fact ya kwamba baadhi ya ndugu ambao nao wako kwenye ndoa walikua wanajua uncle ana mchepuko, iliniwia ugumu sana kuamini kwamba uaminifu ndani ya taasisi ya ndoa bado upo.

Mliopo single, timu kataa ndoa au wenye mahusiano, njooni mtushirikishe na nyie mliyojionea.

View attachment 3237184
La Aziz ki
 
Mjomba alifia gesti Dodoma akiwa na mchepuko ambaye ni mwanafunzi wa chuo. Huyu baba alikua mtu maarufu kwenye siasa na alivyofariki, ilitangazwa kwamba alifia njiani wakati akikimbizwa hospitali kwa mshtuko wa moyo. Ukweli ni kwamba alifia lodge, msichana aliyekua naye akampigia simu uncle wetu mkubwa wakaja wakamtoa lodge haraka kwa kisingizio amezimia na wanamuwahisha hospitali. Uncle alikua ametoka kuoa miezi kadhaa tu kabla hili tukio lililosababisha umauti wake kutokea.

Kushuhudia hilo jambo ndani ya familia na namna lilivyotokea hasa hasa fact ya kwamba baadhi ya ndugu ambao nao wako kwenye ndoa walikua wanajua uncle ana mchepuko, iliniwia ugumu sana kuamini kwamba uaminifu ndani ya taasisi ya ndoa bado upo.

Mliopo single, timu kataa ndoa au wenye mahusiano, njooni mtushirikishe na nyie mliyojionea.

bro
Bro wangu anafunga ndoa jmosi, jpili anafumania mkewe akiliwa na best man wake! Mkulya kidogo atenganishe mtu kiwiliwili! anko akaokoa jahazi!
Nyingine, Bro kaoa vzr tu, ana mawe yake, ndinga, mjengo safi,mke anahudumiwa vzr tu,
Kumbe kuna kijana jobless, form four, bishoo kiasi,anamchanganya Shem kwa unyunyu anaopiga,Dogo Kala mzigo,! Nilikuwa bado Dogo kipindi hicho, nipo college, nikasema wanawake ni nyoko kabisa,
20yrs later, bro ameishastaafu, yupo kwenye 60s, watoto wapo chuo, ndoa inaendelea, yule bishoo, aliingia jeshi, sasa hv atakuwa, na familia,
Kugongewa ni balaa, utqumia kama haujawahi, kulifikiria
 
Kataa Ndoa niko hapa na nilioa mara moja kutimiza wajibu.
Kuna mshikaji mmoja alikua mtu wa bwii sana pale maskani tumepanga.
Alikua na demu wake toka Kigoma(mnyaru)demu chombo haswa black beauty kiuno kama dondola.
Huyo demu alizama gheto mara kibao na kanga moko nimtafune
Nilikataa,
yaani niliona uchafu tu, alafu pia kumuonea huruma mshkaji na ulevi wake
Aisee yule mtoto akawa anagongwa na masela mpaka basi, kuna siku jamaa kafumania kabisa gheto kwake kashika panga nikamtoa asiue.
Sijui waliishia wapi wale maana walihama pale homeH
Hahaha umesema demu alikuwa na kiuno je tako lilikuwepo!?
 
Mimi nilikuwa na mahusiano na binti mmoja lakini bahati dini zilikuwa tofauti baada ya miaka kadhaa ya kudate naye.....kwao akatokea mchumba akamuoa lakini.... aliniambia kuwa pamoja kuwa nimeolewa lakini huu UCHI ni mali yako......na mtoto wa kwanza nitazaa na wewe......

Yale maneno yalinitafakarisha sana kuhusu ndoa....nilimuonea huruma sana mwanaume mwenzangu....yule mwanamke kila akinitafuta namzungusha tu....mpaka akakata tamaa akanipotezea.....
Duh! Aisee 🤔
 
Mkuu visa ni vingi Sana hiki kimoja kiko kabisa kwenye familia yangu, hii NI kama karma fulani hivi! Baba yangu mkubwa alichepuka na mke wa jirani Yake kabisa na mwisho wa siku Yule mwanamke akashika mimba na akazaa mtoto ila ndo hivyo mumewe alimbakiwa na maisha yaliendelea. Sasa Yule mtoto ambae for now ni Kaka yangu kadri alivyokuwa anakua akazidi kufanana na mshua mpaka ikaja kujulikana kwamba huyo mtoto ni wa Fulani na mshua alipoulizwa na baba Yake ( babu yangu) akakiri kwamba ni kweli ila hajui cha kufanya maana atavuruga NDOA Yake na ya jirani Yake ila bahati mbaya kabla sekeseke halijapamba Moto mshua akafariki ghafla hivyo ni kama Ile ishu ikapoa. Badae mume wa Yule mama akashtuka na akambana mkewe mpaka akasema ukweli hivyo Jambo likawa lizo wazi kabisa kwa watu wote. Babu yangu akawaita Baba zangu waliobaki akiwemo Baba yangu akawambia inabidi wafanye utaratibu wamnunue Yule mtoto ( hapo alikuwa tayari mkubwa kama miaka 15 hivi) ila kabla hawajaliweka Sawa babu yangu nae akafariki hivyo mchakato ukakwama tena mpaka badae mtoto alipofikisha miaka 18 ndo alichukuliwa rasmi akaja kwenye familia yetu kama Kaka yetu and yes tunafanana maana sisi kwetu wengi wetu tunafanana. Mama Yake mzazi aliendelea kuishi na mumewe pamoja na yote alisamehewa ila sasa😆😆😆😆karma is a bitch Kaka yangu huyuhuyu baada ya kufika umri wa kuoa alijilipua alioa mwanamke ambae ni single mama japo alionywa Sana maana huyu binti alikuwa anajulikana ila alishupaza shingo akaoa hivyohivyo ( HISIA ZILIZIDI AKILI) na alimuoa Yule dada mtoto wake akiwa mdogo Sana jamaa akalea mpaka Dogo akakua basi wakapata na wao mtoto wao wa Kwanza ila kabla hajakua vizuri wakapata mtoto mwingine tena (walibebanisha watoto) ajabu huyu mtoto alipokua akawa anafanana Sana na first born wa yule dada aliyetoka nae kwao. Baadhi ya ndugu walianza minong'ono ila Mzee wangu alikemea vikali na akasema asije kusikia mtu anaongea chochote. Akazaliwa mtoto mwingine wa 3 sasa 😃😃😃😃nyie watoto wa kuiba wanafanana na wezi balaa nae akaja kufanana copyright na wale wengine wawili kwahiyo mtoto pekee aliyekuwa tofauti ni Yule waliyempata wa Kwanza kwenye ndoa yao. Sasa sekeseke likaja hivi juzi shangazi Yake na huyu shemeji yangu walikosana walipokuwa kwenye sherehe huko kwao na walitoleana maneno machafu Sana(familia ya huyu shemeji yangu Wana uswahili Fulani hivyo kutoleana maneno machafu kwao ni kawaida) si shangazi mtu akaropoka kwamba huyu shemeji ashukuru kapata mume asiye na makuu kwa umalaya wake kamzalia watoto wote wawili nje ya ndoa ila mume haelewi analea tu na huyu akiendelea kujifanya mjuaji atamsema baba halisi wa wale watoto mbele ya hadhara maana anamjua😆😆😆shemeji akawa mpole bwana na akamuomba aunt Yake asiendelee kuongea ila sasa tayari Wana familia na watu wengine waliokuwepo pale walishasikia, aunt alikasirika kupita kiasi mpaka akaropoka baba halisi wa wale watoto🥺🥺🥺ni ndugu kabisa wa yule shemeji (uncle wake)aisee ikawa balaa na maneno yakafika kwetu. Bro hakumuuliza chochote zaidi alimchukua Yule mtoto wake halisi akamhamisha shule akampeleka kwa shangazi yetu (PWANI) na yeye akasepa na nguo zake tu akamwacha mwanamke pale walipokuwa wanaishi mpaka Leo, hajawahi kuongea na yeyote kuhusu hili sakata ila alimwambia tu Mzee kwamba huenda dhambi ya mama yangu na Baba yangu inanitafuna hivyo nahitaji utulivu niweze kutubu . Mpaka Leo yupo huko kanda ya ziwa na ni bachelor mpaka sasa
Indeed KARMA is a bitch
 
Nilikuwa na rafiki yangu tulieshibana sana na alinifaa Sana kwenye shida na raha......siku moja alipata changamoto ya kiafya akalazimika kulazwa karibia wiki mbili......mke wake ambaye ni shemeji yangu akaanza kunionyeshea kama dalili kunihitaji kimapenzi....nilijifanya nampotezea mpaka mwenyewe akaniambia live....nilishtuka sana baada ya hapo nikamtazama Shem kwa jicho la tofauti sana......

Lile jambo baina yangu mimi na yeye lilishindikana....lakini baadae alikuja kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na mwanaume mwingine ndani kwake...... alikuja kujionea baada ya masiku mengi ya kupokea taarifa kutoka kwa waungwana kuwa mkeo si mtulivu......
Ooh sad
 
Back
Top Bottom