Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Unaonekana mdau dizain umetokana na kizazi flani chenye maadili amazing sana maana kwenu even you kwenye maisha yako na umri wako huu unaoweza bado ku-type mitandaoni umesha-experience kila baya lihusulo muunganiko wa jamii.

Sometimes hudhani ni kama unatunga kuchangamsha genge
JF ya sasa ni hovyo sana kwa sababu imevamiwa na watu wanaokuja na story za kutunga hasa kwa vitu mabavyo wanajua vina wachangiaji. Halafu watu wa aiana hii wakishatunga thread nzima unakuta wanajaribu ku-jibizana kwa kila post. Hli aliloandika kama unatumia akili utaona kabisa kuwa ni tukio la kutunga. Sijui huwa wanapata faida gani kutunga mambo na ku post kila siku. Kweli kila mtu na kipaji chake.
 
Ikawaje Sasa mkuu?
Aaah tulivyo maliza chuo akawa yupo kwao Tabata, mm nipo sinza nikaja kuhangaika kutafuta mishe nikawa busy,

Akaja kusafiri karudi mwaka jana, still tunaongea na kukumbuka a good memories we shared,

Hata Jana nime m dedicate a good memo and she accepted it, and next days to come we will share another memory and having a good enjoyment!

Ila binti yule ni binadamu ana mapungufu yake lakini kalelewa vyema anajua kuongea na mwanaume, hafoki, anaringa juu ya haiba ya kike na shepu aliyonayo hasa anavyo cat walk, lkn Hana makuu !
 
Niliona message ya Mke akimwamwambia mchepuko wake hana hamu na mume wake wakifanya anaona kama anambaka na inabidi awaze yupo na mchepuko wake ili stimu zipande. Vijana kagueni simu za wake zenu muondoe kupe mapema kabla haijamia moyoni.

Nyingine nilidate na mke wa mtu unknowingly...yule mwanmke nilipogundua ni mke wa mtu nikamuuliza kwann unacheat akaniambia yangu inafit vizuri kwake ya mumewe ina pwaya nikagundua shida jamaa alioa mwanamke ambae alishaonja tofauti tofauti...haridhishwi nae. Nilisitisha yale mahusiano baada ya kumla mara mbili.
Na wewe uliamini? Umeshasikia ule usemi maarufu hotelini wa ''bwege kaja pakua wali wa jana'' ambapo mshamba akiingilia hotelini anauziwa wali wa jana? Basi chunga sana mwanamke akitaka kula fedha zako. Atakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili ujione ni wewe tu mwenye uwezo wa kumfurahisha. Wewe utaambiwa hivyo kumbe akienda kwa mwingine anakuponda hivyo hivyo. Mwanamke anajua ili kumteka mwanaume vizuri ni kujifanya ana enjoy sana ku sex naye.
 
Na wewe uliamini? Umeshasikia ule usemi maarufu hotelini wa ''bwege kaja pakua wali wa jana'' ambapo mshamba akiingilia hotelini anauziwa wali wa jana? Basi chunga sana mwanamke akitaka kula fedha zako. Atakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili ujione ni wewe tu. Wewe utaambiwa hivyo kumbe akienda kwa mwingine anakuponda hivyo hivyo. Mwanamke anajua ili kumteka mwanaume vizuri ni kujifanya ana enjoy sana ku sex naye.
Sawa japo sikumpa kitu...tulikutana kwenye mambo ya safari, mambo yakaisha hivyo.
 
Huu uzi nina usoma masaa hayo na niko safarini kikazi ila nilitoa maelekezo kitambo sana na anajua kuwa kuwa mimi kwenye kosa la namna hiyo sitoi hata kadi moja ya njano,ni kuzama ndani ya mfuko wa bukta tu na kumuonesha kadi nyekundu na hata kwenye kadi silazimiki kuandika chochote.
Nipo nae hapa tunasoma comment yako tunacheka sana
 
Hujakomaa...kuna zaidi kwa mwanamke na mwanamume...ni zaidi ya kukutana kimwili

Kama ni kijana sawa...lakini kama ulikuwa una amini hili...yaani ufuska...umalaya na mambo machafu,asilani hutakaa na huwezi mambo ya ndoa...subiri kuona wenzako tukizeeka hali tukifurahia matunda na furaha nzuri ya ndoa

Kupanga ni kuchagua
Wewe oa tu hujakatazwa, tutakusaidia majukumu ya kiroho ukiishiwa nguvu za kiume.
 
Jitahidi sana katika kutetea dhambi usiseme tumeumbwa hivyo. Ukisema tumeumbwa hivyo moja kwa moja unamkosoa Mungu aliyetoa amri usizini. Kwahiyo mtu akiua aseme tumeumbwa kuua ? Au ukiiba useme tumeumbiwa kuiba? Matukio unayofanya yapo under control yako usipende kusema tumeumbwa hivyo
Naomba unitajie ni dhambi ipi niliyotenda ama kufanya? Unadanganya kwa kusema Mungu katuambia tusidhini, ni lini Mungu alisema hivyo? Usipende kuamini vitabu vya dini vile si vitabu vya Mungu, vimetungwa na binadamu kama vile wewe na mimi, usipotoke. Hizi dini ufanya watu kuwa wajinga tu, never believe in them. Mfano angalia uliyoandika hapo juu as dhambi, hivi unajuwa mitume wote walikuwa wauaji na wazinzi? Kwanini walikuwa hivyo wakati Mungu aliwakataza?
 
Mjomba alifia gesti Dodoma akiwa na mchepuko ambaye ni mwanafunzi wa chuo. Huyu baba alikua mtu maarufu kwenye siasa na alivyofariki, ilitangazwa kwamba alifia njiani wakati akikimbizwa hospitali kwa mshtuko wa moyo. Ukweli ni kwamba alifia lodge, msichana aliyekua naye akampigia simu uncle wetu mkubwa wakaja wakamtoa lodge haraka kwa kisingizio amezimia na wanamuwahisha hospitali. Uncle alikua ametoka kuoa miezi kadhaa tu kabla hili tukio lililosababisha umauti wake kutokea.

Kushuhudia hilo jambo ndani ya familia na namna lilivyotokea hasa hasa fact ya kwamba baadhi ya ndugu ambao nao wako kwenye ndoa walikua wanajua uncle ana mchepuko, iliniwia ugumu sana kuamini kwamba uaminifu ndani ya taasisi ya ndoa bado upo.

Mliopo single, timu kataa ndoa au wenye mahusiano, njooni mtushirikishe na nyie mliyojionea.

View attachment 3237184
Dogo janja jaman ana dyudyu imeshiba tamu balaa, sitaki maswali mengi nalala asbh kazn
 
Back
Top Bottom