Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
Yes kama maisha yako hayana nidhamu...KATAA NDOA...itakunyima "uhuru" unaodhani kuwa ni uhuru

Nidhamu ndio uhuru halisi...kuepuka anasa na starehe kupita kiasi,kuepuka uchafu ngono,uasherati ,uzinzi na yanayoambatana nayo...na kuwa mwaminifu kwa jamii yako

Haya yakifungwa na kumcha Mungu ndio yanajenga jamii ya watu wanaopenda NDOA na kuliona kama jambo la kheri kutoka kwa mwenyezi Mungu

Kupanga ni kuchagua ...katika yote mawili mwisho wake unafahamika
 
niliombwa nauli na mke wa mtu kwa madai mme wake anamzingua nikampa ahadi ya kumpa mwisho wa mwezi

kabla sijampa akakosana na shoga ake ndio ananisanua kwamba ile fedha ya nauli aliyo niomba ni kweli anataka arudi kwao ila lengo n kuachana na mme wake maana kapata bwana mpya anataka kumuoa ko kamwambia arudi kwao kwanza

yule mke wa mtu alipo kumbushia hilo suala nili m~mind hadi kesho hana stori na mimi
Ndoa ni ya watu serious...huyo ukimfuatilia utakuta ameachika tena
 
Nilikuwa na rafiki yangu tulieshibana sana na alinifaa Sana kwenye shida na raha......siku moja alipata changamoto ya kiafya akalazimika kulazwa karibia wiki mbili......mke wake ambaye ni shemeji yangu akaanza kunionyeshea kama dalili kunihitaji kimapenzi....nilijifanya nampotezea mpaka mwenyewe akaniambia live....nilishtuka sana baada ya hapo nikamtazama Shem kwa jicho la tofauti sana......

Lile jambo baina yangu mimi na yeye lilishindikana....lakini baadae alikuja kufumaniwa na mumewe akifanya mapenzi na mwanaume mwingine ndani kwake...... alikuja kujionea baada ya masiku mengi ya kupokea taarifa kutoka kwa waungwana kuwa mkeo si mtulivu......
Hongera kuwa mstaarabu...huyo dada hafai kwa ndoa na hawezi kuoshi kama mke
 
Siamini kama kweli binadamu waliumbwa ili kuja kuoana bali kuzaana tu. Ukweli ni kwamba mwanaume akishalala na mwanamke ile hamu ya kumtaka tena huyo mwanamke inapungua kwa asilimia 80 au hata 90, na ndiyo maana wanaume hatutulii, si kosa letu ndivyo tulivyo umbwa. Kwenu wanaume ebu jiulizeni hii kitu, hivi baada ya kutomba mwanamke uliyekuwa unamfukuzia, ni nini tena unataka kutoka kwake au huyo mwanamke ana faida gani tena kwako? Mwanamke hana thamani tena baada ya kutombwa na ndiyo maana nashindwa kuelewa wanaume wenzangu unakwenda kumuhonga mwanamke hela ya kazi gani wakati hana thamani yeyote kwako?
Jitahidi sana katika kutetea dhambi usiseme tumeumbwa hivyo. Ukisema tumeumbwa hivyo moja kwa moja unamkosoa Mungu aliyetoa amri usizini. Kwahiyo mtu akiua aseme tumeumbwa kuua ? Au ukiiba useme tumeumbiwa kuiba? Matukio unayofanya yapo under control yako usipende kusema tumeumbwa hivyo
 

Attachments

  • 20231010_202633.jpg
    20231010_202633.jpg
    24.4 KB · Views: 1
Ndoa inahitaji kujitoa sana....sacrifice......
Tatizo kila mtu huingia huko akifikiri sasa anaenda kula raha/kumaliza matatizo yake yote, bila kujua anaenda kukutana na matatizo tofauti na yale aliyo yazoea na hivyo anatakiwa ajipange kupambana nayo.

Fikiria unaoa/olewa na mkaka/mdada wa watu amesoma na anamisimamo yake kama ya Vasco Dagama halafu wewe ndiye unatakiwa ukaishi naye halafu utegemee mteremko eti kwa sababu ana vihela?
Kuna hitajika sacrifice kubwa na usipo sacrifice ndio hapo michepuko ina anza.....

Kama unajijua wewe sio mtu wa kujishusha/kusacrifice au unamisimamo kama ya Faru John, jitafakari kabla ya kuingia kwenye taasisi ya Ndoa kwani hutadumu huko........
 
Wakuu,
Mimi sijaoa ila kuna tukio ambalo nimelifanya mwenyewe kwa mtu aliyeko ktk taasisi ya ndoa linalonifanya kuogopa kufanyiwa endapo na mimi nitaingia ktk taasisi hii. Kuna dada mtaani kwetu ananizidi umri 2yrs, ameolewa moja kati ya mikoa ya pwani ya bahari ya hindi kusini ,mume wake ana cheo kikubwa TANESCO, mwaka jana mkewe huyo alikuja kusalimia kwa wazazi wake ni mtoto wa mchungaji ktk kanisa la kilokole, alipokuja, ikawa nyumbani kwao hakuna umeme wana solar tu, hivyo simu kubwa kujaa ni kipengele, akawa naniletea simu yake kuchaji, badae tukazoeana na nikamtongoza akakubali, ikawa kama mke wangu nikimhitaji anakuja,nafanya ninavyotaka mimi,na ikafikia hatua akaninunulia simu kubwa, akawa ananiambia siri za chumbani za mumewe(sitazisema hapa) na kumkandia mabaya sana,ilifikia hatua nikataka nimtoroshe twende kusikojulikana ili tuendelee kufurahi,ila akipga cm mumewe,ataambiwa maneno ya mahaba mpaka mimi naona wivu. badae akarudi kwao. siiamini tena taasisi hii ya ndoa.
Daah ni masikitiko kwa kweli.
Ni bora unaogopa, maana wewe karma lazima itakugonga, mkeo naye atakua analiwa akienda kwao 😂 😂
 
Daah ni masikitiko kwa kweli.
Ni bora unaogopa, maana wewe karma lazima itakugonga, mkeo naye atakua analiwa akienda kwao
hahahahaha! kwa Yesu yote yanawezekana nimetube na maisha yanaendelea na mwaka huu nitafunga ndoa kibishi!
 
Baada ya chuo, kabla ya kupata kibarua,,, kuna pahala nilikuwa nafanya biashara flan.,, kwa nature ya ile biashara wateja wakuu ni wanawake , wanaume pia japo sio sana,,, ! ! Wake za watu ndo usiseme, mtu anakutongoza direct, au anachukua namba yako ya simu, Salam zisizoisha, mara nimekumiss mara awe na wivu na ww,,,yani ujinga ujinga,,, niliruka viunzi sana, nikaja nasa kwa dada mmoja mmewe mhandisi, anasafiri sana mikoan,,, nilichepuka nae mara 2, nikajutia sana nikaacha huku yeye hataki, ulitokea ugomvi mkubwa sana ,,, Sitosahau,,,, sijawahi kutaman kutoka tena na mke wa mtu, ikitokea nmeonesha interest kwa mdada nikagundua kaolewa najikataa mapema sana ,,,
 
Wakuu,
Mimi sijaoa ila kuna tukio ambalo nimelifanya mwenyewe kwa mtu aliyeko ktk taasisi ya ndoa linalonifanya kuogopa kufanyiwa endapo na mimi nitaingia ktk taasisi hii. Kuna dada mtaani kwetu ananizidi umri 2yrs, ameolewa moja kati ya mikoa ya pwani ya bahari ya hindi kusini ,mume wake ana cheo kikubwa TANESCO, mwaka jana mkewe huyo alikuja kusalimia kwa wazazi wake ni mtoto wa mchungaji ktk kanisa la kilokole, alipokuja, ikawa nyumbani kwao hakuna umeme wana solar tu, hivyo simu kubwa kujaa ni kipengele, akawa naniletea simu yake kuchaji, badae tukazoeana na nikamtongoza akakubali, ikawa kama mke wangu nikimhitaji anakuja,nafanya ninavyotaka mimi,na ikafikia hatua akaninunulia simu kubwa, akawa ananiambia siri za chumbani za mumewe(sitazisema hapa) na kumkandia mabaya sana,ilifikia hatua nikataka nimtoroshe twende kusikojulikana ili tuendelee kufurahi,ila akipga cm mumewe,ataambiwa maneno ya mahaba mpaka mimi naona wivu. badae akarudi kwao. siiamini tena taasisi hii ya ndoa.
Futa kuhusu taasisi na habari za familia yake Fanya editing kidogo
 
Ndoa inahitaji kujitoa sana....sacrifice......
Tatizo kila mtu huingia huko akifikiri sasa anaenda kula raha/kumaliza matatizo yake yote, bila kujua anaenda kukutana na matatizo tofauti na yale aliyo yazoea na hivyo anatakiwa ajipange kupambana nayo.

Fikiria unaoa/olewa na mkaka/mdada wa watu amesoma na anamisimamo yake kama ya Vasco Dagama halafu wewe ndiye unatakiwa ukaishi naye halafu utegemee mteremko eti kwa sababu ana vihela?
Kuna hitajika sacrifice kubwa na usipo sacrifice ndio hapo michepuko ina anza.....

Kama unajijua wewe sio mtu wa kujishusha/kusacrifice epuka kuoa/kuolewa na wanaume /wanawake wenye madegree kwani wengi wao wanamisimamo kama ya Faru John hivyo utaiona ndoa chungu!
Theresa49 sio wote wenye madegree tupo na mambo ya faru John wengine ukituudhi tunanunua mkaa gunia mbili kabisa😅
 
Baada ya chuo, kabla ya kupata kibarua,,, kuna pahala nilikuwa nafanya biashara flan.,, kwa nature ya ile biashara wateja wakuu ni wanawake , wanaume pia japo sio sana,,, ! ! Wake za watu ndo usiseme, mtu anakutongoza direct, au anachukua namba yako ya simu, Salam zisizoisha, mara nimekumiss mara awe na wivu na ww,,,yani ujinga ujinga,,, niliruka viunzi sana, nikaja nasa kwa dada mmoja mmewe mhandisi, anasafiri sana mikoan,,, nilichepuka nae mara 2, nikajutia sana nikaacha huku yeye hataki, ulitokea ugomvi mkubwa sana ,,, Sitosahau,,,, sijawahi kutaman kutoka tena na mke wa mtu, ikitokea nmeonesha interest kwa mdada nikagundua kaolewa najikataa mapema sana ,,,
Wewe Ndio nilikua na kutafuta kijana mdogo mimi ndo huyo muhandisi sio kwamba alikuwa anakupenda sana Ila nyota yako tumeichukua Ila tupate kandarasi nyingi na siku si nyingi utapata bonge la busha(😅jokes mkuu)
 
Hilo ntalifanyia kazi

Kuna dada mmoja mnyamwezi aseeh yule nilimpenda for sure, ukiachilia mbali haiba aliyo nayo ya kike ana tabia njema, alikuwa anazungumza kwa ukarimu aseeh yule binti alikuwa kalelewa hasa!
Ikawaje Sasa mkuu?
 
Wakuu,
Mimi sijaoa ila kuna tukio ambalo nimelifanya mwenyewe kwa mtu aliyeko ktk taasisi ya ndoa linalonifanya kuogopa kufanyiwa endapo na mimi nitaingia ktk taasisi hii. Kuna dada mtaani kwetu ananizidi umri 2yrs, ameolewa moja kati ya mikoa ya pwani ya bahari ya hindi kusini ,mume wake ana cheo kikubwa TANESCO, mwaka jana mkewe huyo alikuja kusalimia kwa wazazi wake ni mtoto wa mchungaji ktk kanisa la kilokole, alipokuja, ikawa nyumbani kwao hakuna umeme wana solar tu, hivyo simu kubwa kujaa ni kipengele, akawa naniletea simu yake kuchaji, badae tukazoeana na nikamtongoza akakubali, ikawa kama mke wangu nikimhitaji anakuja,nafanya ninavyotaka mimi,na ikafikia hatua akaninunulia simu kubwa, akawa ananiambia siri za chumbani za mumewe(sitazisema hapa) na kumkandia mabaya sana,ilifikia hatua nikataka nimtoroshe twende kusikojulikana ili tuendelee kufurahi,ila akipga cm mumewe,ataambiwa maneno ya mahaba mpaka mimi naona wivu. badae akarudi kwao. siiamini tena taasisi hii ya ndoa.
Nyie mnafanyaje mpaka wake za watu wanawapatia mbususu
 
Back
Top Bottom