Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

Nifundishe kuzini jaman
 
Itakuwa una mashine tamu inakoboa vzr
 
Kumbe na wewe anakudislike, I thought ni mimi tu yani anakuja kwenye nyuzi zangu napata notification ya dislike kama 20 hivi. WHY?
Huyo anafanya mchezo tu kwa sababu kuna uzi fulani nilicomment kama mara 3 hivi aka-dislike nikashangaa. Niliporudi kuangalia nikakuta ame-dislike comments zote kwenye ule uzi!!!!😃😃😃
 
Kataa Ndoa niko hapa na nilioa mara moja kutimiza wajibu.
Kuna mshikaji mmoja alikua mtu wa bwii sana pale maskani tumepanga.
Alikua na demu wake toka Kigoma(mnyaru)demu chombo haswa black beauty kiuno kama dondola.
Huyo demu alizama gheto mara kibao na kanga moko nimtafune
Nilikataa,
yaani niliona uchafu tu, alafu pia kumuonea huruma mshkaji na ulevi wake
Aisee yule mtoto akawa anagongwa na masela mpaka basi, kuna siku jamaa kafumania kabisa gheto kwake kashika panga nikamtoa asiue.
Sijui waliishia wapi wale maana walihama pale home.
 
Mara nyingi hawapo strong enough kuhandle rejection, vipi haikuleta chuki kati yenu?
 
La Aziz ki
 
Bro wangu anafunga ndoa jmosi, jpili anafumania mkewe akiliwa na best man wake! Mkulya kidogo atenganishe mtu kiwiliwili! anko akaokoa jahazi!
Nyingine, Bro kaoa vzr tu, ana mawe yake, ndinga, mjengo safi,mke anahudumiwa vzr tu,
Kumbe kuna kijana jobless, form four, bishoo kiasi,anamchanganya Shem kwa unyunyu anaopiga,Dogo Kala mzigo,! Nilikuwa bado Dogo kipindi hicho, nipo college, nikasema wanawake ni nyoko kabisa,
20yrs later, bro ameishastaafu, yupo kwenye 60s, watoto wapo chuo, ndoa inaendelea, yule bishoo, aliingia jeshi, sasa hv atakuwa, na familia,
Kugongewa ni balaa, utqumia kama haujawahi, kulifikiria
 
Hahaha umesema demu alikuwa na kiuno je tako lilikuwepo!?
 
Duh! Aisee 🤔
 
Indeed KARMA is a bitch
 
Ooh sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…