Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Any way Allah amsamehe ndugu yetu....katka mafundisho ya dini ya kiislamu tunafundushwa ya kwamba...

''...yeyote muislamu atakae kufa akipigania Mali yake/haki basi amekufa shahidi..."

Na katika kulipiza kisasi ni kitu ambacho kinaruhusiwa Ila kusamehe ni bora zaidi...

Ndugu Hamza alikuwa anajaribu kutetea Mali/haki yake na bila shaka alikuwa tayari kufa uku akihakikusha kuna watu anaondoka nao hasa hao polisi...

Wengi huwaita waislamu ni magaidi Ila ukweli ni kwamba waislamu hawapendi dhulma wapo tayari wafe wakitetea haki/Mali yao.....na ni watu wa visasi ni kama wa wakurya (vita ni vita mura) omba sana usiingie Kwenye anga zao.

Polisi uku mtaani wapigaji wa Dili vibaya...
Wal kiswasi hakkii
 
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...

sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632View attachment 1908633
View attachment 1908637
View attachment 1908644
Dhuluma, dhuluma dhuluma kila mahali. Rais dhuluma kwenye miamala/tozo, Mwigulu dhuluma kwenye tozo/miamala, Majaji/mahakimu dhuluma kwenye hukumu, dhuluma kupokea maagizo toka juu, Ndungulile dhuluma kwenye vifurushi, polisi dhuluma kwenye madini, wananchi. Tume ya uchaguzi dhuluma kwenye kura, DED dhuluma kwenye mabati, tenda, kura, viwanja vy wananchi, serikali za mitaa/vitongoji dhuluma kwenye rushwa za usafi etc etc kila mahali dhulma, majibu ndiyo hayo na yanakuja mengi siku za usoni
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632View attachment 1908633
View attachment 1908637
View attachment 1908644
Sema gaidi Hamza siyo bwana hamza tafadhali
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632View attachment 1908633
View attachment 1908637
View attachment 1908644

Jeshi la polisi limeoza. CCM ni genge la majambazi. Taifa lipo rehani.
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kuna kidogo kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
We hata kuchanganua mambo uwezi
Marehemu kazulumiwa mzigo wake na polisi katika mpishano huo wa kauli polisi pia hawakujua kama jamaa ana bastola alivyoona wamemzingua akatoa kwaju akawawasha bila wao kutarajia jambo hilo
Wala kujiandaa kupambana ni kama jambo la gafla kwa hao askari hawakuamini walichokiona
Imagine upo kwenye harakati zako raia wakuharibie siku kiasi hicho kilichotokea ni kuvurugika akili baada ya hilo tukio na madhara yake ndiyo hayo



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632View attachment 1908633
View attachment 1908637
View attachment 1908644
Aisee, ingekuwa ni mtuwa ACT au CUF, mbutananga, chama kingefutwa
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632View attachment 1908633
View attachment 1908637
View attachment 1908644
Haki ikipotea taifa huangamia. Mama Samia acha kuupiga uswahili mwingi, huna nchi au nchi imekushinda. Wewe ni Amiri Jeshi Mkuu usiyekuwa na Jeshi la polisi. Hili Jeshi chini ya Sirro ni la vibaka.
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632View attachment 1908633
View attachment 1908637
View attachment 1908644
Bado naamini huyu Hamza alidhulumiwa, twawajuwa polisi wetu na tabia zao, kubambikiana kesi, kunyima watu haki zao, kutesa, kujiona juu ya sheria, kama kweli uchunguzi utafanyika kwa makini natumaini tutajuwa ukweli...
 
Iko duniani kote, nashkuru Mungu sasaivi watu watakua wanapata na wanajua nn maana ya ugaidi, usifikiri wale wote wanakwenda magereza ya guantanamo na magerereza mengine kuwa ni magaidi kuna story ndefu behind mpaka mtu anaitwa jina baya la ugaidi wakati sio gaidi
 
Sasa ni dhahiri , story inaanza kufulumbuka.
Kumbe kuna polisi walimnyang'anya huyu kijana Hamza dhahabu yake aliyokuwa akienda kuuza Masaki.

Kwamba huyu Hamza alikuwa anawalenga polisi tu, inaelezeaa ukweli kuwa alikuwa na kisasi juu ya polisi.
Haya Kamanda Siro jitathmini sasa.
 
Sasa ni dhahiri , story inaanza kugulumbuka.
Kumbe kuna polisi walimnyang'anya huyu kijana Hamza dhahabu yake aliyokuwa akienda kuuza Masaki.

Kwamba huyu Hamza alikuwa anawalenga polisi tu, insingeza ukweli kuwa alukuwa na kisasi juu ya polisi.
Haya Kamanda Siro jitathmini sasa.
Lete taarifa kamili acha kuparaza
 
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...

sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Nafkri huishi hii nchi au kama unaishi basi unakuja na kuondoka, maana kinachofanyika hii nchi watu wanaoyofanyiwa ni zaidi ya unyama, kuna watu wamepitia mengi sana kwa mali zao kuchukuliwa na wana kila kitu, kuna jamaa kataifishiwa gunia zake za sukari mamia ya tani alaf jamaa anakila documents yaani nyaraka zote anasema huku analalamika kwa uchungu kuwa sijawahi kuvunja sheria yyte, IVI WW UNAIJUA HII NCHI KWELI
 
Acheni kudhulumu watu na kuwataka wafanyeje mnavyotaka ninyi hata kuwachagulia uelekeo wa kuchukua.

Unacheza na beat sasa,sio muda mrefu utasem alidhurumiwa uchaguzi[emoji16][emoji16]
 
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...

sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Kwani Mboe ni gaidi kweli kwa akili zako kama wanavyosema??
Hivi wale mashekhe waliokaa ndani ya gereza miaka 9 walikutwa na kesi ya ugauidi???

Ndio ujue kuwa hawa askari wanafanya mambo ya ajabu sana na dhulma
 
Back
Top Bottom