Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Kwenda kituoni anaendaje na pistol mkuu? Alianzisha hapo ili apate silaha za kwenda huko unaposema!!!! Wewe ndo hakimu alafu unashidwa kuconect ilo tukio mkuu? Ilikuwa lazima aanzie hapo uko unaposema ndo alikuwa anakwenda wakamuwahi!!! All in all kachukua sheria mkononi kwaiyo amepata anacho staili.... Lakini kama na wao police walizulumu ndo wajifunze sio kila mtu anazulumiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.

wanasema wale aliowaua na kuchukua bunduki ndo alikuwa nao so wlipoanza kumzingua hili wamdhurumu ndo na yeye akajihami kwa kutoa pisto baada ya kuwaua akawa kama kapata wenge ajui afanye nn
 
N
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tete
Nyie waongo. Mnabumba bumba hadith. Mlikuwepo wakati anatokea baharini kuwafuata polisi?
Mbona hamna hofu ya Mungu? Hao polisi waliomkamata kumnyang'anya dhahabu zake walikuwa wangapi? Kama alikuwa pembeni na hao polisi alipowaua kwa risasi , kwa ni ni aliendelea kunyang'nya bunduki zao na kuendelea kufyatua risasi watu wengine? Aliowajeruhi wote walikuwa wanamdhurumu?
Alikwenda kusomea nini Misri?
Wakati amerudi, akaanza kuongea habari za Jihad kila wakati, na mara anasema anawachukia watu fulani, alikuwa anafanya sawa ili wamnyang'anye madini awaue?
Huyu alikuwa amegaidishwa kule misri, na akawa neurotic akitamani kutumia elimu yake.
Inahitaji kuwa na akili punguvu, kupongeza matukio yanayoharibu amani ya nchi kama haya.

Kamanda Sirro, simulation ya Mbowe imetosha. . Kazi halisi ipo mezani kwako, sasa onyesha umahiri wako.
 
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...

sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Kuuza kwenye soko la wapi ni uamuzi wa mwenye dhahabu. Utaratibu uliopo ni kwamba kama unataka kuuza dhahabu kwenye soko ambalo lipo nje ya mkoa ulikochimba dhahabu, unatafuta kibali cha kusafirisha.

Soko la dhahabu la Dar ndiyo lenye bei nzuri zaidi kuliko soko jingine lokote la ndani ya nchi.
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanams hihika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Takbiriiii
 
N

Nyie waongo. Mnabumba bumba hadith. Mlikuwepo wakati anatokea baharini kuwafuata polisi?
Mbona hamna hofu ya Mungu? Hao polisi waliomkamata kumnyang'anya dhahabu zake walikuwa wangapi? Kama alikuwa pembeni na hao polisi alipowaua kwa risasi , kwa ni ni aliendelea kunyang'nya bunduki zao na kuendelea kufyatua risasi watu wengine? Aliowajeruhi wote walikuwa wanamdhurumu?
Alikwenda kusomea nini Misri?
Wakati amerudi, akaanza kuongea habari za Jihad kila wakati, na mara anasema anawachukia watu fulani, alikuwa anafanya sawa ili wamnyang'anye madini awaue?
Huyu alikuwa amegaidishwa kule misri, na akawa neurotic akitamani kutumia elimu yake.
Inahitaji kuwa na akili punguvu, kupongeza matukio yanayoharibu amani ya nchi kama haya.

Kamanda Sirro, simulation ya Mbowe imetosha. . Kazi halisi ipo mezani kwako, sasa onyesha umahiri wako.
Ww ulimuona alipokua anaongea jihadi, ww ulimuona alipokwenda Misri na huko Misri mlikua pamoja ukamuona alichokwenda kukifanya ??

ACHENI DHULMA ITAWAGHARIMU SANA NAKUAMBIA
 
wanasema wale aliowaua na kuchukua bunduki ndo alikuwa nao so wlipoanza kumzingua hili wamdhurumu ndo na yeye akajihami kwa kutoa pisto baada ya kuwaua akawa kama kapata wenge ajui afanye nn

Ww ulimuona alipokua anaongea jihadi, ww ulimuona alipokwenda Misri na huko Misri mlikua pamoja ukamuona alichokwenda kukifanya ??

ACHENI DHULMA ITAWAGHARIMU SANA NAKUAMBIA

Yes, ninajua. Acheni kupiga ramli
 
Kama ni kweli kadhulumiwa,kafa kishujaa akipigania Haki,haki!loo inauma sana.
 
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...

sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Makada wa ccm wameuana
 
Sema gaidi Hamza siyo bwana hamza tafadhali
Mlikuwa mnauomba ugaid sasa mmeupata kupitia kwa kada wa ccm.pichani!??
JamiiForums-1757721072.jpg
 
Kuuza kwenye soko la wapi ni uamuzi wa mwenye dhahabu. Utaratibu uliopo ni kwamba kama unataka kuuza dhahabu kwenye soko ambalo lipo nje ya mkoa ulikochimba dhahabu, unatafuta kibali cha kusafirisha.

Soko la dhahabu la Dar ndiyo lenye bei nzuri zaidi kuliko soko jingine lokote la ndani ya nchi.

Kama alipata kibali cha kusafirishia kuja kuuza Dar, polisi na kudhulumiana kunaingiaje....kama dhahabu yako iko kisheria na una makaratasi yote mnaanzaje kudhulumiana ( niko kwenye hii biashara najua kuna kitu hakiko sawa hapo)...
 
Hujui kwamba unaweza kudhulumiwa magendo yako. Ukisikia mfumo wa utoaji haki umeoza, maana yake hiyo ni rushwa iliyo kithiri, LABDA jamaa alikuwa na magendo polisi wakataka cha juu sana lakini kisheria polisi wangetakiwa kumkamata na kumfikisha sehemu husika.
Kabla ya hilo kutokea ndio Hamza akachomoa chuma akamalizana nao kisha akachukua silaha zao
 
Nadhani jiongeze kidogo yeye ni mfanyabiashara yawezekana kasafirisha kuja Dar kwenye faida kubwa zaidi na ndio kakumbana na kadhia hiyo... Pia haimaanishi polisi waliokufa ndio walio mdhulumu ila kachukulia polisi wote ni walewale na kuwauwa ni kutoa ujumbe kwa haki haipo na umeona jinsi hili swala limegusa jeshi lote la polisi

Kuna taratibu zake za kuja kuuza dhahabu kwenye soko la Dar.... mfanya biashara ya dhahabu Tanzania sio yeye peke yake wako mamia kwa maelfu na kila siku wanauza na kununua dhahabu.... polisi waliingiaje kwenye biashara yake.....why polisi na yeye.?
 
kama alipata kibali cha kusafirishia kuja kuuza dar, polisi na kudhulumiana kunaingiaje....kama dhahabu yako iko kisheria na una makaratasi yote mnaanzaje kudhulumiana ( niko kwenye hii biashara najua kuna kitu hakiko sawa hapo)...
Mkuu na vipi kuhusu wale wahindi walikuwa wanakamatwa na madini kule mwanza walikuwa hawana makaratasi?
 
Back
Top Bottom