Kwani Mboe ni gaidi kweli kwa akili zako kama wanavyosema??
Hivi wale mashekhe waliokaa ndani ya gereza miaka 9 walikutwa na kesi ya ugauidi???
Ndio ujue kuwa hawa askari wanafanya mambo ya ajabu sana na dhulma
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...
sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Jiulize ww hilo swaligaidi ana rangi gani??
Iko duniani kote, nashkuru Mungu sasaivi watu watakua wanapata na wanajua nn maana ya ugaidi, usifikiri wale wote wanakwenda magereza ya guantanamo na magerereza mengine kuwa ni magaidi kuna story ndefu behind mpaka mtu anaitwa jina baya la ugaidi wakati sio gaidi
Sasa ni dhahiri , story inaanza kufulumbuka.
Kumbe kuna polisi walimnyang'anya huyu kijana Hamza dhahabu yake aliyokuwa akienda kuuza Masaki.
Kwamba huyu Hamza alikuwa anawalenga polisi tu, inaelezeaa ukweli kuwa alikuwa na kisasi juu ya polisi.
Haya Kamanda Siro jitathmini sasa.
Taarifa zipo kila mahali humu humu JFLete taarifa kamili acha kuparaza
Balls enough [emoji16]Yaani mtu mmoja afuate polisi wengi akapambane nao?Yaani wewe ni mmoja halafu ukatafute polisi wengi wa kupambana nao?Wewe unaona hii inamake sense?Hapo si unakuwa unatafuta kifo cha haraka sana kabla hata ya kusababisha madhara uliyokusudia?
Kuwapiga risasi vibaka au majambazi waliokuibia ni ugaidi?Sema gaidi Hamza siyo bwana hamza tafadhali
We nae huyu si gaidi wala nini haya ni matokeo ya kutokutenda haki na kudhurumu mali za watu wanyonge kawakomeshaje na bado RIP HamzaStori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.
Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?
Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?
Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Hata si kitendo cha ugaidi, sometimes ukishadhulumiwa na hauna pa kwenda sometimes akili inakuoeleka kufanya kisasiTrue! Kweli kabisa kile ni kitendo cha kigaidi lakini kuna reason behind inayo pelekea mtu kufanya kitendo hicho.
Nadhani jiongeze kidogo yeye ni mfanyabiashara yawezekana kasafirisha kuja Dar kwenye faida kubwa zaidi na ndio kakumbana na kadhia hiyo... Pia haimaanishi polisi waliokufa ndio walio mdhulumu ila kachukulia polisi wote ni walewale na kuwauwa ni kutoa ujumbe kwa haki haipo na umeona jinsi hili swala limegusa jeshi lote la polisi"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...
sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Nakuunga mkono 100% ni vibaka na bado wananchi tushachoka wala rushwa wakubwa na ngoja wakomeshwe hiyo ndiyo picha imeanza mchezo unafuataHaki ikipotea taifa huangamia. Mama Samia acha kuupiga uswahili mwingi, huna nchi au nchi imekushinda. Wewe ni Amiri Jeshi Mkuu usiyekuwa na Jeshi la polisi. Hili Jeshi chini ya Sirro ni la vibaka.
Kuna mijitu humu inaishi kwao ikishakaa kwenye makochi ya buku 2 ikijijambia ovyo haijawahi kupata changamoto zzte za life, sasa mtu kama huyo ataaminije haya mambo?? Muambie kuna watu washadhukumiwa tones za Sukari na Ngano nchi hiihiiWe nae huyu si gaidi wala nini haya ni matokeo ya kutokutenda haki na kudhurumu mali za watu wanyonge kawakomeshaje na bado RIP Hamza
Una ushahidi wa ugaidi wake?Sema gaidi Hamza siyo bwana hamza tafadhali
Itakua ulikua mkewe maana unamjua kuwa ni gaidiSema gaidi Hamza siyo bwana hamza tafadhali
Acheni kudhulumu watu, dhulma inazidisha chuki, endeleeni kuchapisha mabox ya kura fake na kuwakamata viongozi wa upinzani mutakuja kuona madhara ya dhulma huko mbeleni, huu ni mwanzo tuStori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.
Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?
Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?
Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.