Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tusubiri taarifa rasmi ya polisi.

Hizo story za mitaani hazitujengi kama taifa bali zinatuparaganisha!
 
Tusubiri taarifa rasmi ya polisi.

Hizo story za mitaani hazitujengi kama taifa bali zinatuparaganisha!
Taarifa ya mapolice huku wao wenyewe ni wazulumaji wa haki za raia usitegemee jipya Hamza katufundisha jambo muhimu alichoshwa na rushwa na dhuluma za hawa mapolisi wasio na nidhamu. Mbona wajeda wetu huwa Wana nidhamu sana, ila jeshi letu la police ni uovu na kuonea tu raia, sasa wameshaanza kuzalisha kina Hamza wengi.
Hili jeshi linahitaji big reformation bila hivo kina Hamza waanze tu kuwanyoosha raia tumechoshwa na tabia zao chafu
 
Nasikia baada ya kuipekua Maiti ya Hamza wakamkuta na na Kitabu cha Ilani ya ccm
 
Hizo story za mitaani hazitujengi kama taifa bali zinatuparaganisha!
Jeshi la Polisi lilishatuparaganisha kwa kuitumikia CCM badala ya kutumikia wananchi kabla sisi stori za mtaani hazijatuparaganisha.

Jeshi la polisi haliaminiki na halina moral authority ya kuchunguza uhalifu tena kwa sababu limekiuka miiko yake ya kazi ya kutumikia wananchi na sasa linakitumikia chama.

Shame to you unaeliamini jeshi ambalo lenyewe halijiamini tena.
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.

View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644
MAREHMU NI EXPERT WA KUTUMIA SILAHA AISEE
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kidogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Kwani hapo salenda aliua mbuzi au ni polisi pia
 
Kuna hali ya hatari sana ipo Tanzania ila viongozi hawaoni!!!
Ili mradi watoto wa viongozi wanapewa teuz kama udc,ubunge,udas nk hawaoni ukosefu mkubwa wa ajira ambao ni hatari kwa usalama wa nchi!!!
JuZi wizara ya Afrika mashariki walitoa nafasi 49!! Wakaomba watu 20,000!!! Hii ni hatari kubwa sana!!!
Kuna madai mapya kutoka kenya na somali na mizambuque kuwa watanzania wengi vijana ndio wanajihisisha na ugaid!!!
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.

View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644
Kabisa, vyombo vya dolla visipojirekebisha na kutoa haki basi wajiandae na hizi revenge!
Hamza ni kama ameshaonyesha njia na vijana wengi walijifunza ile show ya Hamza. Aidha waiumize vichwa ile precise shooting ya Hamza versus rondom shooting za unskilled police. In short ni kwamba vijana wengi walishapatiwa mafunzo ya kijeshi JKT plus UVCCM.
 
Back
Top Bottom