Hakuna unanyakuo,it is a fake doctrine from the devil himself,msipotoshe watu.Ni lazima Watakatifu wapitie mateso ili imani yao ipimwe,Biblia inaonyesha hili wazi.This heresy is designed to slowdown the righteous seeking the Lord Jesus and therefore become lukewarm.
Anayedai kuna unyakuo,either he or she is an agent of the Devil or is not a true follower of Jesus Christ. Nakuchallenge unipe andiko lolote linalo onyesha kwamba unyakuo upo,I assure you,there is none.Ni viandiko vilivyopindishwa pindishwa tu ili kujaribu kuonyesha kwamba concept hiyo ni kweli,lakini sio.
Fuata link ifuatayo uone ukweli wa Kibiblia,achana na udanganyifu wa Shetani.