Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
[emoji16][emoji16]Yesu nae alisema haijui hiyo siku, anaeijua ni Mungu tu. Sasa nyie mnaopiga ramli humu ina maana mnajua kuliko Yesu?
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Yesu nae alisema haijui hiyo siku, anaeijua ni Mungu tu. Sasa nyie mnaopiga ramli humu ina maana mnajua kuliko Yesu?
Mwaka gani? Mkuu, tukifika 2033 ni bahati. Hiki kitu kiko karibu mno.Mwaka 3000 hauwezi kufika na pengine hata 2100 unaweza usifike.
Imeandikwa pia wapo ambao hawatakufa maana watanyakuliwa siku ya unyakuo.Watanyakuliwa...watapotea..Ina maana hawatakufa?! ..na imeandikwa kila nafsi itaonja mauti!
Ofcourse ni karibu sana, possibility kubwa iko mwaka 2048 ila margin of error ni plus or minus 20 years.Mwaka gani? Mkuu, tukifika 2033 ni bahati. Hiki kitu kiko karibu mno.
Sababu ya kutokea hilo ni nini ?Na Mimi nina suala langu wanasema ipo siku umeme utakatika ghafla na internet duniani kote je ni kweli na nini kitasababisha power ku off ghafla
Aaaah wapi !.....maisha duniani bado yapo sana tuOfcourse ni karibu sana, possibility kubwa iko mwaka 2048 ila margin of error ni plus or minus 20 years.
Unaweza kuthibitisha hili ?Mwaka 3000 hauwezi kufika na pengine hata 2100 unaweza usifike.
Baada ya unyakuo, possibly between 2028 mpaka 2068, kutakuwa na miaka 7 kisha baada ya hapo kutakuwa na miaka 1000 ya utawala wa Yesu Kristo hapa duniani na kisha kuna kipindi kitakachofuata ambacho hakijatajwa kitakuwa cha muda gani. Baada ya hapo maisha ya duniani yataisha.Unaweza kuthibitisha hili ?
Hiyo miaka uliyotaja ya unyakua umetumia vigezo gani mpaka ukaitaja hiyo na sio mingine ?Baada ya unyakuo, possibly between 2028 mpaka 2068, kutakuwa na miaka 7 kisha baada ya hapo kutakuwa na miaka 1000 ya utawala wa Yesu Kristo hapa duniani na kisha kuna kipindi kitakachofuata ambacho hakijatajwa kitakuwa cha muda gani. Baada ya hapo maisha ya duniani yataisha.
Kwahiyo upo sahihi, bado kuna miaka kadhaa ya maisha ya duniani kuwepo.
Yesu alisema taifa la Israel likichipuka basi kizazi hicho hakitapita kabla unyakuo haujatokea (Mathayo 24). Israel ilichipuka mwaka 1948. Miaka 100 later ni 2048. Kizazi kimoja ni miaka mia.Hiyo miaka uliyotaja ya unyakua umetumia vigezo gani mpaka ukaitaja hiyo na sio mingine ?
Kwa baadhi ya watu wanaamini hii Israel ya sasa yaani hawa Ashkenazi Jews hawana uhusiano wowote na wale wa kwenye maandiko ya biblia, kwani hawa ni wazungu kutoka Ulaya ila wale wa kale hawakuwa na asili hiyo kutoka Ulaya magharibi.Yesu alisema taifa la Israel likichipuka basi kizazi hicho hakitapita kabla unyakuo haujatokea (Mathayo 24). Israel ilichipuka mwaka 1948. Miaka 100 later ni 2048. Kizazi kimoja ni miaka mia.
Sasa ukiangalia struggles za kuanzisha taifa la Israel zilianza karibu miaka 20 kabla ya 1948 na settlement ilitokea miaka 20 later (mwaka 1968 baada ya six days war ya mwaka 1967).
Ndio maana tunaweka margin of error ya miaka ishirini kwenye ile 2048.
Kama hawa sio wayahudi basi muda utakuwa bado sana mpaka hao wayahudi wenyewe wafufuke huko walipofia.Kwa baadhi ya watu wanaamini hii Israel ya sasa yaani hawa Ashkenazi Jews hawana uhusiano wowote na wale wa kwenye maandiko ya biblia, kwani hawa ni wazungu kutoka Ulaya ila wale wa kale hawakuwa na asili hiyo kutoka Ulaya magharibi.
Mathanzua
Teh, mchungaji anaweza kubakiWatu wengi waliopo makanisani wataachwa, siku hizi wanawaza hela tu.
Wengi tu wataachwa.Teh, mchungaji anaweza kubaki
E M P ikifyatuka umeme unakata eaaasyHahahahah movie zinakuchanganya
Anyway kwa kuwa tuko jukwaa takatifu tuendelee kuheshima hoja
Na Mimi nina suala langu wanasema ipo siku umeme utakatika ghafla na internet duniani kote je ni kweli na nini kitasababisha power ku off ghafla
Ipo siku mtatuelewa tu! Endeleeni na kejeli zenu.Walokole once again, walokole hawajawahi kuwa timamu akilini
Itakuwa jambo jema, angalau uhai wa watu utunzwe. Lakini kubwa zaidi ni kuwa tayari kuondoka katika unyakuo.Wajanja kuepuka hizo ajari za vyombo na mitambo, tunakuletea AI, in the next 10 to 20 year, kuendesha chombo itakuwa historia na ni mapenzi ya mtu tu kama Leo kuendesha mkokoteni wa farasi au punda.
Hapana, ni tukio la unyakuo.Unazungumzia mwisho wa dunia au?