Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Hapana, sijaandika hilo. Mungu anakuona unavyofanya maamuzi sasa hivi na anakuona leo utakavyofanya maamuzi miaka 10 ijayo. Sasa ni uamuzi wako mwenyewe, aidha utafute uongozi wake ili ufanye maamuzi sahihi au ufanye unavyojisikia wewe na kuvuna matokeo yake.Mkuu kwa kifupi ni kwamba, kutokana na maelezo yako, wewe kama uliumbwa kwenda motoni, utaenda motoni! No amount of prayers will save you. Mungu yeye alishachagua watu wake kabla hata hajawaumba, na wewe kama sio mmoja wao, imekula kwako.
Dogo hebu achana na hizi story,ukowap hebu njoo kwanza uniliwaze na hizi mvuaYesu alifufuka siku ya 3 tena masaa yalikua hayajatimia
Miaka buku ni sawa na siku 1 mbinguni
Kabla ya mwaka 3000 haujafika unyakuo utakua tayari
Mungu atupe mwisho mwema!
2 Peter 3:8
Kwa sababu atakuta vibaka wameshakomba kila kitu.Aliyepo shambani asirudi kuchukua vilivyomo nyumbani
Lakini kumbuka Mungu habadilishi mawazo..Hapana, sijaandika hilo. Mungu anakuona unavyofanya maamuzi sasa hivi na anakuona leo utakavyofanya maamuzi miaka 10 ijayo. Sasa ni uamuzi wako mwenyewe, aidha utafute uongozi wake ili ufanye maamuzi sahihi au ufanye unavyojisikia wewe na kuvuna matokeo yake.
Vipo vingi sana, AI, 3D printing na internet kwa ujumla inaenda kufanikisha aina nyingi sana za unabii ambao ulionekana hautaweza kutimia kipindi unatolewa.Hakuna kitu chochote kipya kilichotokea siku za karibuni ambacho hakijawahi kutokea huko nyuma
Soma post namba 10
Mathayo 24:36
We only have 24 years left to reach that 100. So that event will take place any time soon.. Get ready y'all!!!Ile siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.
Sidhani kama umeelewa nilichoandikaKwani wewe huwazi hela? Bando unaloChat hapa umepiga mzinga mahali?Unanikumbusha Ile story ya Sabato masalia waliotaka kwenda kuhubiri marekani bila passport, visa wala pesa wakaishia Segerea ." Pesa ni suluhisho la mambo yote" , Mhubiri 10:19. Kutafuta pesa kwa njia halali haituzuii kuingia mbinguniπ€
Hakuna anayefahamu siku wala saa lakini Yesu Kristo alitaja dalili zitakazokuwepo. Unaweza kuzisoma kwenye mathayo sura ya 24 kwenye biblia takatifu.
πππππVipo vingi sana, AI, 3D printing na internet kwa ujumla inaenda kufanikisha aina nyingi sana za unabii ambao ulionekana hautaweza kutimia kipindi unatolewa.
Mfano wale manabii wawili watakaokuja halafu wauawe na biblia inasema miili yao itaachwa hapo huku dunia nzima ikiiangalia. Huu unaweza kutimia kwa TV na internet.
Mfumo wa kununua na kuuza utakaosababisha yeyote asiyekuwa na chapa/chip ya mpinga kristo kushindwa kupata mahitaji leo hii tunakaribia sana level hiyo kwa payment cards na online transactions..
Nk
Mkuu mahali unapokosea ni kuamini kwamba Mungu amekupangia hatima ya maisha. Hii sio sahihi. Wewe ndio unaamua hatma yako iweje.Lakini kumbuka Mungu habadilishi mawazo..
Usimpotoshe binti wa watu. Mungu amsaidie ashinde majaribu yako.Dogo hebu achana na hizi story,ukowap hebu njoo kwanza uniliwaze na hizi mvua
Siku wala saa haijulikani lakini tuliambiwa dalili zake na ndo tuko nazo Siku hizi.. Ndio maana tukaambiwa tukeshe (meaning to be alerted or on alert that the event will happen when we least expect it to...)Naujua huo mstari...
Mathayo 24
36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
Lakini mwandishi wa mada namna alivyoandika ni kama kaona dalili kadha wa kadha, hivyo kaamua kutusanua lakini katusanua nusu nusu. Hivyo nikawowa kumuuliza nilivyouliza
Vipo vingi sana, AI, 3D printing na internet kwa ujumla inaenda kufanikisha aina nyingi sana za unabii ambao ulionekana hautaweza kutimia kipindi unatolewa.Naujua huo mstari...
Mathayo 24
36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
Lakini mwandishi wa mada namna alivyoandika ni kama kaona dalili kadha wa kadha, hivyo kaamua kutusanua lakini katusanua nusu nusu. Hivyo nikawowa kumuuliza nilivyouliza
Aisee, hivi shida ni sukari na umeme tu mpaka mnachanganyikiwa kiasi hiki!?Ile siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.