Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea

Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea

Kwa hiyo uzi wako umelenga tu kutukumbusha dalili hizi?

Mathayo 24
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
AI, 3D printing na internet kwa ujumla inaenda kufanikisha aina nyingi sana za unabii ambao ulionekana hautaweza kutimia kipindi unatolewa.

Mfano wale manabii wawili watakaokuja halafu wauawe na biblia inasema miili yao itaachwa hapo huku dunia nzima ikiiangalia. Huu unaweza kutimia kwa TV na internet.

Mfumo wa kununua na kuuza utakaosababisha yeyote asiyekuwa na chapa/chip ya mpinga kristo kushindwa kupata mahitaji leo hii tunakaribia sana level hiyo kwa payment cards na online transactions
 
We only have 24 years left to reach that 100. So that event will take place any time soon.. Get ready y'all!!!

Mimi nadhani kila mtu na aishi maisha yake. Kama wewe ni kati ya wale wateule, hakika utaingia kwenye utukufu kwa njia yoyote ile. Ila kama wewe sio mmoja wao, hata upambane vipi mzee hutasogea hata getini tu pale..

Refer yule jambazi aliesulubiwa na Yesu, yeye maisha yake yote kaishi kama jambazi akiwa hana hili wala lile, ila kwavile alikuwamo kwenye "list", dakika ya mwisho kabisa mwana kapenya uzimani na kuwaacha mitume wa Yesu waliokaa nae mda wote waking'aa sharubu pale.
 
Mkuu mm ntalia na kusaga meno nimeshakubaliana na hali kwenda peponi ni ngumu sana
Tatizo watu wanachukulia kwenda peponi kama kwenda hapo mjini.. wakati tukisoma maandiko Mungu tayari ana watu wake kwa idadi kamili watakaiongia mbinguni..!

Ndio maana nasema kila mtu aishi maisha yake, mwisho wa siku huwezi kubadilisha chochote maana Mungu anajua wewe ni wa motoni..
 
Mimi nadhani kila mtu na aishi maisha yake. Kama wewe ni kati ya wale wateule, hakika utaingia kwenye utukufu kwa njia yoyote ile. Ila kama wewe sio mmoja wao, hata upambane vipi mzee hutasogea hata getini tu pale..

Refer yule jambazi aliesulubiwa na Yesu, yeye maisha yake yote kaishi kama jambazi akiwa hana hili wala lile, ila kwavile alikuwamo kwenye "list", dakika ya mwisho kabisa mwana kapenya uzimani na kuwaacha mitume wa Yesu waliokaa nae mda wote waking'aa sharubu pale.
Yule jambazi alifanya uamuzi binafsi. Kwanini unaamini kupangiwa? Fanya maamuzi sahihi kabla wakati haujafika.
 
Vipo vingi sana, AI, 3D printing na internet kwa ujumla inaenda kufanikisha aina nyingi sana za unabii ambao ulionekana hautaweza kutimia kipindi unatolewa.

Mfano wale manabii wawili watakaokuja halafu wauawe na biblia inasema miili yao itaachwa hapo huku dunia nzima ikiiangalia. Huu unaweza kutimia kwa TV na internet.

Mfumo wa kununua na kuuza utakaosababisha yeyote asiyekuwa na chapa/chip ya mpinga kristo kushindwa kupata mahitaji leo hii tunakaribia sana level hiyo kwa payment cards na online transactions

Nk
Technophobia is an overwhelming fear of technology. People with technophobia may fear computers, cell phones or the powers of artificial intelligence. It is most common in older adults and people who are generally anxious about the future.
 
Tatizo watu wanachukulia kwenda peponi kama kwenda hapo mjini.. wakati tukisoma maandiko Mungu tayari ana watu wake kwa idadi kamili watakaiongia mbinguni..!

Ndio maana nasema kila mtu aishi maisha yake, mwisho wa siku huwezi kubadilisha chochote maana Mungu anajua wewe ni wa motoni..
Mm niende church nsiende/ niokoke nsiokoke, nibatizwe nisibatizwe haya maisha nayoishi Mungu aliyajua tangu nikiwe kwenye betri za baba! Mi naiishi script yangu
 
Tatizo watu wanachukulia kwenda peponi kama kwenda hapo mjini.. wakati tukisoma maandiko Mungu tayari ana watu wake kwa idadi kamili watakaiongia mbinguni..!

Ndio maana nasema kila mtu aishi maisha yake, mwisho wa siku huwezi kubadilisha chochote maana Mungu anajua wewe ni wa motoni..
Ndugu yangu sidhani kama umepata waalimu sahihi wakufundishe neno la Mungu. Tafuta mafundisho ya Dr Myles Munroe na Kenneth Hagin angalau kwa kuanzia upate theology iliyo sahihi.
 
Technophobia is an overwhelming fear of technology. People with technophobia may fear computers, cell phones or the powers of artificial intelligence. It is most common in older adults and people who are generally anxious about the future.
I'm actually an IT engineer. I don't fear technology but I'm leveraging it's enormous power. Technology will facilitate the fulfillment of prophecies.
 
Mm niende church nsiende/ niokoke nsiokoke, nibatizwe nisibatizwe haya maisha nayoishi Mungu aliyajua tangu nikiwe kwenye betri za baba! Mi naiishi script yangu
Sio kweli mkuu, kila kitu unakipata kulingana na uchaguzi wako. Script unaandika mwenyewe.
 
Yule jambazi alifanya uamuzi binafsi. Kwanini unaamini kupangiwa? Fanya maamuzi sahihi kabla wakati haujafika.
Mkuu hivi unajua kwamba, kama yule jambazi wa kwanza asingemkebehi Yesu, yule jambazi wa pili bado angeenda motoni? 😄
Hivi vitu vimepangwa mzee.. we unadhani katika majambazi wote waliokuwepo nchini ni kwanini wale wawili ndio walitolewa siku ile wasulubiwe pale, kwa wakati mmoja? Coincidence?

Ndugu yangu maamuzi yalishafanyika zamani, we tulia tusubirie matokeo😄😄
Wa kwenda wataenda, wa kubaki watabaki.
 
I'm actually an IT engineer. I don't fear technology but I'm leveraging it's enormous power. Technology will facilitate the fulfillment of prophecies.
Hongera bwana engineer. Umesahau "people who are generally anxious about the future." Wewe ndio unaangukia hapo
 
Mkuu hivi unajua kwamba, kama yule jambazi wa kwanza asingemkebehi Yesu, yule jambazi wa pili bado angeenda motoni? 😄
Hivi vitu vimepangwa mzee.. we unadhani katika majambazi wote waliokuwepo nchini ni kwanini wale wawili ndio walitolewa siku ile wasulubiwe pale, kwa wakati mmoja? Coincidence?

Ndugu yangu maamuzi yalishafanyika zamani, we tulia tusubirie matokeo😄😄
Wa kwenda wataenda, wa kubaki watabaki.
Hapana, kila mmoja pale alifanya maamuzi yake kwa jinsi alivyoona majibu ya Yesu Kristo kwa wale walinzi na waliomsulubu. Kila mtu alipima moyoni mwake.
 
Back
Top Bottom