Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea

Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea

Unyakuo wa kwenda wapi? Si inapaswa kuwa kila jicho litamuona?
Unyakuo utatokea miaka saba kabla ya tukio la kila jicho kumuona. Taifa la Israel litapewa fursa ya mwisho (wiki ya 50 katika unabii wa Daniel maana tayari walikamilisha majuma 49, juma/wiki moja ni miaka saba kinabii).

Kanisa linanyakuliwa na kuepushwa na mapigo ya miaka mitatu na nusu ya pili ndani ya ile miaka saba kama Nuhu alivyoepushwa na gharika. Miaka mitatu na nusu ya kwanza itakuwa amani huku mpinga kristo akitawala.
 
Uislamu lazima ukue. Hawa ndio watajikusanya kutaka kupigana na Israel kwenye Armageddon halafu Yesu Kristo atashuka na kuwaangamiza.

Hata kwenye vita ya Gog na Magog waislamu ndio watakuwa mstari wa mbele lakini Yesu Kristo atawachukua na kuwatupa katika ziwa la moto.
Soma Bible vizuri uelewe .
Kila nabii na mtume kabla na baada ya YESU alipongwa na wengine KUUAWA NA WAISRAELI.
Biblia inadai hata Yesu alisulubiwa na Waisraeli.
Na mpk leo Waisraeli hawamtambui Yesu kuwa nj Nabii au Mtume.
Na kwenye vita hii wamepiga makanisa makongwe kabisa pale Bethlehem . Sehemu ambayo Wakristo duniani huenda kufanya Ziara sehemu ambayo wanadai Yesu alizaliwa.

Cha kushangaza baadhi ya Wakristo bado wanadhani Waisraeli ndugu zao.
 
Wacha wee... 😄😄 hii muvi itakua kali balaa..

Kwamba maadui wakishajikusanya Yesu atashuka kama Chuck Norris na kuangamiza maadui 😄😄😄😄😄
Mkuu wewe leta masikhara hapa ila huko endelea kujiweka tayari, unyakuo unakuja.
 
Soma Bible vizuri uelewe .
Kila nabii na mtume kabla na baada ya YESU alipongwa na wengine KUUAWA NA WAISRAELI.
Biblia inadai hata Yesu alisulubiwa na Waisraeli.
Na mpk leo Waisraeli hawamtambui Yesu kuwa nj Nabii au Mtume.
Na kwenye vita hii wamepiga makanisa makongwe kabisa pale Bethlehem . Sehemu ambayo Wakristo duniani huenda kufanya Ziara sehemu ambayo wanadai Yesu alizaliwa.

Cha kushangaza baadhi ya Wakristo bado wanadhani Waisraeli ndugu zao.
Tunajua. Taifa la Israel litapewa fursa ya mwisho (wiki ya 50 katika unabii wa Daniel maana tayari walikamilisha majuma 49, juma/wiki moja ni miaka saba kinabii).

Israel watamkubali Yesu Kristo baada ya kupotoka kwa kumwamini mpinga kristo kama ndio masihi wa kweli.
 
images.jpeg-1.jpg
download.jpeg-3.jpg
download.jpeg-2.jpg
download.jpeg-1.jpg
 
Tunajua. Taifa la Israel litapewa fursa ya mwisho (wiki ya 50 katika unabii wa Daniel maana tayari walikamilisha majuma 49, juma/wiki moja ni miaka saba kinabii).

Israel watamkubali Yesu Kristo baada ya kupotoka kwa kumwamini mpinga kristo kama ndio masihi wa kweli.
Teh teh teh
Watamkubali baada ya kuua wafuasi wa Yesu mamilioni?

Hii ndio shida ya wakristo.
Siku zote mnadanganywa kuwa Pepo ya Mungu ni kama hayo makanisa yenu yaani mkisema tu "tumekupokea yesu" tayari nyie mtakaa meza moja na mitume wa Mungu mle bata

We uchinje mitume, unyonge watoto , ulawiti watu kisha useme maneno tu aaaa mambo yooote machafu unampa Yesu ayabebe.

We kweli hata akili yako inakubali?
 
Hilo liko wazi.
Uislam umeanza kusambaa kwa kasi sana huko huko ulikoanzia ugalatia.
Leo USA wanasilimu zaidi ya wakristo milion kila mwaka.
CNN inasema elf 30.
🤣

Sisi hatuna haraka.
Tunasubiri tu kuona Picha kamili
Good kabisa. Lakini ipe credit biblia japo kwako ni kitabu cha Shetan maana huu mchoro umekuwepo kwenye Bible hata kabla ya Muhammad hajazaliwa.
😛
 
Good kabisa. Lakini ipe credit biblia japo kwako ni kitabu cha Shetan maana huu mchoro umekuwepo kwenye Bible hata kabla ya Muhammad hajazaliwa.
😛
Mimi sijaita biblia kitabu cha shetani . Na nimesoma Bible school miaka 4.
Ndani ya biblia kuna maneno ya Mungu na maneno ya watu.
Na hilo Bible scholars wote wanalifahamu.
Wewe kwa sababu ni wale wasoma biblia weekend mpk weekend utaona hii ni km kashfa kwako.
 
Mkuu dunia hii sio makazi yadumuyo, hapa tunapita. Mali na furaha za dunia zisitusahaulishe hilo.
Kwa hilo upo sahihi kabisa.

Ila kwamba kuna siku Yesu atashuka kama Arnold Schwarzennegger akiwa na mitambo yake tayari kuwateketeza maadui hilo kwangu ni ngumu kumeza..😄
 
Daah.. mi sijui huwa mnawezaje kuamini hizo stori ilhali nyie ni mainjinia😄
We unashangaa hili?
We hujaona Maprofesa wa chuo kikuu siku ya jumapili wanapigia goti sanamu la mzungu wakiliomba msaada na hali wanajua asilimia 100% kuwa limetengenezwa na mtu na likapakwa rangi?

Shetani wacha aitwe Shetani.
 
Mimi sijaita biblia kitabu cha shetani . Na nimesoma Bible school miaka 4.
Ndani ya biblia kuna maneno ya Mungu na maneno ya watu.
Na hilo Bible scholars wote wanalifahamu.
Wewe kwa sababu ni wale wasoma biblia weekend mpk weekend utaona hii ni km kashfa kwako.
Nimesema Kwako, sijasema umeitaja.
Rudia kunisoma vizuri.
Then umeacha swali langu la msingi ukanyofoa kipande kinachokidhia matamanio yako.
Ni kwa uwezo upi waandishi wa biblia waliliona ili hata kabla mtume hajazaliwa?.
Wape akina Poa maua yao kwa uwezo wa kutabiri japo likatokea kwa ukamilifu wake. 😂😂
 
Nimesema Kwako, sijasema umeitaja.
Rudia kunisoma vizuri.
Then umeacha swali langu la msingi ukanyofoa kipande kinachokidhia matamanio yako.
Ni kwa uwezo upi waandishi wa biblia waliliona ili hata kabla mtume hajazaliwa?.
Wape akina Poa maua yao kwa uwezo wa kutabiri japo likatokea kwa ukamilifu wake. 😂😂
Hakuna sehemu yyt katika biblia imetabiri kuwa UISLAMU utatawala dunia.
Hilo hakuna.
Km umeliona weka mstari hapa tujadili.
 
Hahahahah movie zinakuchanganya




Anyway kwa kuwa tuko jukwaa takatifu tuendelee kuheshima hoja



Na Mimi nina suala langu wanasema ipo siku umeme utakatika ghafla na internet duniani kote je ni kweli na nini kitasababisha power ku off ghafla
S
 
Back
Top Bottom