Tukitumia mfumo huu, hakika tutamaliza ajali za barabarani kwa Siku moja Tu

Tukitumia mfumo huu, hakika tutamaliza ajali za barabarani kwa Siku moja Tu

Ajali za barabarani zinaepukika kwa asilimia 98%,Wala sipo kucomment utani hapa,hebu tujikumbishe mabasi yale ya zamani ya TRC maarufu kama rerue,madereva wake waliwekewa ukomo wa speed ya kuyaendwsha mabasi hayo ilikuwa ni km80/kwa saa,na ukifuatilia mabasi hayo hayakusababisha ajali.
Pendekezo langu hapa,inabidi tubadili mfumo wa maisha vyombo vyote vya usafiri visafiri kwa speed ya km60/kwa saa,tukianza miaka miwili ya kwanza tutapata shida sana sababu hatukuzoea,baada ya mda huo wa miaka miwili tutaanza kuzoea,hii pia itabadilisha mifumo mingi ya maisha sababu mtu anaesafiri kwenda Arusha atatumia siku tatu njiani lakini ajali zitakuwa hazipo.
 
Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.

Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.

Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.

Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.

Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.

1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.

Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.

2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.

3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.

4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.

2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali

Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia

1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.

2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.

3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.


3. Faini ya Kupata Ajali

Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:

Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).


4. Mfumo wa Bima ya Lazima

Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:

1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.

2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.


5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali

Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:

1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.

2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.

3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.


6. Faida za Mfumo Huu

1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji:
Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.

2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.

3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.

Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Hayo yote yapo......Kimsingi udereva ni taaluma,,,,sasa watu wamevamia,,,,,mtu anaendesha gari toka nyumbani kwenda ofisini na kurudi nyumbani...tayari anajiona yeye ni dereva,,,,,,,anakurupuka ati anataka kwenda Moshi kuonyesha gari lake,,,,,,anafika pale Korogwe anapata msosi anashiba......anaendelea na safari....shibe inawalevya ndani ya gari watu wanaanza kusinzia.....na dereva nae anasinzia......sasa hapo tufanyaje???
 
Meneja wa makampuni hongera kwa uchambuzi huu, ila uchambuzi huu ungekuwa mzuri zaidi kama tungebainisha vyanzo vya ajali hapa nchini. Kwani chanzo kikuu cha ajali ni nini?
Tukishakibaini hiki ni rahisi kukishughulikia. Je, ni uchakavu wa miundombinu ya barabara?, je, ni uchakavu wa vyombo vya moto?, je, ni rushwa barabarani?, je, ni ulevi wa baadhi ya madereva wanapoendesha?, je, ni blood thirsty ya baadhi ya watumiaji wa barabara?, je, ni ushirikina? Je, ni bodaboda wasifuata sheria? Au je, ni watumiaji wengine wa barabara ambao si wangaangalifu ndio wanawasababishia madereva mfano wafugaji wanaopitisha mifugo bila tają dharm?
Jambo hili linahitaji utafiti zaidi ili lifahamike vinginevyo linaacha majonzi mazito kwa familia na kupoteza nguvukazi ya taifa.
Wasalaam
CHANZO KIKUU.....NI MAKOSA YA KIBINADAMU.......
 
Hujazunguka Tanzania nzima au kusafiria Sana ukaona Hali za barabara zetu zilivyo!!.

Barabara Kwa sehemu kubwa hazikidhi vigezo ukilinganisha na Maendeleo ya Sasa katika sekta ya usafirishaji na Uchumi.

Maboresho makubwa yanahitajika barabara ni mbovu, na Zipo chini ya Viwango.
AISEEE
Ati barabara nini????
Wewe enzi ya shimo kuanzia kibao cha PEPSI Dodoma kuelekea Mikoa ya Magharibi ulikuwepo?......au wakati wa kupiga shimo kwenda Mtwara.........na njia ya Moshi kabla ya KAPICO??? hii nchi unaijua tulikotoa wewe....au kuanzia TUnduma kuitafuta Sumbawanga........lami unaikuta Laela unadhani ushafika ......kumbe bado kuna shimo za kutosha.......
TAFADHALI KAA KIMYA.....HESHIMU NCHI YANGU TAFAADHAL
 
Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.

Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.

Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.

Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.

Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.

1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.

Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.

2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.

3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.

4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.

2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali

Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia

1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.

2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.

3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.


3. Faini ya Kupata Ajali

Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:

Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).


4. Mfumo wa Bima ya Lazima

Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:

1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.

2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.


5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali

Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:

1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.

2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.

3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.


6. Faida za Mfumo Huu

1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji:
Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.

2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.

3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.

Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Ulishawahi kumiliki chombo chochote cha moto (ukiondoa sufuria na jiko)
 
Chanzo cha ajali zote ni umaskini wa nchi na wàtu wake.
1. Nchi maskini barabara nyembamba na tena zina mashimo mashimo
2. Umaskini wa kipato - madereva na wamiliki wanataka kufanya safari 4 wakati ki uhakisia ni safari 2 kwa sehemu husika.
3. Umaskini aka njaa ya askari wa usalama barabarani - ukimpa 10,000 ushamaliza soo unakimbiza utakavyo.
4. Umaskini wa kifikra, mtu anaona barabara si rafiki anatakiwa aende 60kmh yeye anapiga 120kmh.

Ajali haziwezi kuisha.
 
Namna ajali zinavyotokea na namna serikali inavyoshughulika unaweza dhani serikali inanufaika na hizi ajali.
 
Solution ni moja tu, barabara za mkoani zitanuliwe alafu ziwe double road, zitengwe katikati ili pale gari unapoovertake nyingine kusiwe na uwezekano wa kukutana na inayokuja.. wala inapoacha njia isiweze kukutana na inayokuja .

Ajali nyingi husababishwa na
1. Overtake za kizembe
2.Gari kuacha njia na kugongana na nyingine
3.Kufeli break
 
Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.

Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.

Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.

Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.

Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.

1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.

Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.

2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.

3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.

4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.

2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali

Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia

1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.

2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.

3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.


3. Faini ya Kupata Ajali

Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:

Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).


4. Mfumo wa Bima ya Lazima

Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:

1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.

2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.


5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali

Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:

1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.

2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.

3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.


6. Faida za Mfumo Huu

1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji:
Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.

2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.

3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.

Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Nafikiri .umeongea point kumbe ubwabwa,, umejiuliza mambo yafuatayo?????

1. Kwanini ajali nyingi zipo nchi zinazoendelea???

2.Je umejiuliza mfumo wa utoaje lesen kwa nchi zinazoendelea kama zinakidhi matakwa ya kimataifa??

3. Je umejiuliza kama leseni zetu unaweza kutumia nchi zilizoendelea na kwanini???

4.Mamlaka zinazohusika utoaji lessen zinatoa kutokana na ujuzi aliosomea kweli au inaangaliwa faranca??? Na je wasimamizi barabarani wanasimamia kweli sheria au kuna mifumo inafanyika kuhusu ukusanyaji fedha kwa madereva huku nchi zinazoendelea???

4.Umewahi ongea na madereva wa malori wanaotembea kutoka nchi moja hadi nyingine jinsi wanavyotembea na fedha kama benk ndogo kwa wasimamizi barabarani???

SOLUTION ZA AJARI

1. Upanuzi wa miundombinu hasa barabara

2.Faini ifutwe ili kuondoa rushwa barabarani, njia pekee gari mbovu kuindoa barabarani. Unafikiri faini kwa magari mabovu inasaidia nn wakati ubovu bado unaendelea.

3.Wasimamizi wa barabara iwe chini ya wizara ya usafishaji ambao watalaamu wao ndio wanaosomea moja kwa moja chuo.

4. Udereva ufundishwe na chuo cha usafishaji badala ya veta , na mitihani ya vitendo ifanyike kwa pamoja kama ilivyokuwa wizara ya elimu mitihani yao.

4.kuhusu suala la rushwa nimeliongelea kwa kutoa faini lkn pia ikigundulika gali bovu na lipo barabaran wafuatiliwe wasimamizi wote waliopo barabarani njia iliyopita hiyo gari.
 
Serikali iboreshe miundombinu ya barabara
Apart of that lakini kutokua na uzoefu wa kutosha wa kuendesha na muda wa kuanzq safari wengi ni wale wapo ofisin 24/7anaendeshwa au qnajiendesha short route zenye mafoleni leo unakalia gari long route high way umahir zero umebeba familia jamani tum9unguzieni mungu mizigo lengn hv hawa ndugu zetu hawawez kufika moshing kwa mabasi ya abiria wakapumzisha gari
 
Hayo yote yapo......Kimsingi udereva ni taaluma,,,,sasa watu wamevamia,,,,,mtu anaendesha gari toka nyumbani kwenda ofisini na kurudi nyumbani...tayari anajiona yeye ni dereva,,,,,,,anakurupuka ati anataka kwenda Moshi kuonyesha gari lake,,,,,,anafika pale Korogwe anapata msosi anashiba......anaendelea na safari....shibe inawalevya ndani ya gari watu wanaanza kusinzia.....na dereva nae anasinzia......sasa hapo tufanyaje???
Hiii sikuona kama ulishaindika kongole nimepita kwa mawazo yako I solute u sina la kuongezq
 
Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.

Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.

Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.

Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.

Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.

1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.

Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.

2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.

3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.

4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.

2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali

Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia

1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.

2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.

3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.


3. Faini ya Kupata Ajali

Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:

Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).


4. Mfumo wa Bima ya Lazima

Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:

1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.

2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.


5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali

Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:

1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.

2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.

3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.


6. Faida za Mfumo Huu

1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji:
Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.

2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.

3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.

Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Umekula?
 
Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.

Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.

Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.

Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.

Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.

1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.

Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.

2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.

3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.

4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.

2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali

Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia

1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.

2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.

3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.


3. Faini ya Kupata Ajali

Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:

Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).


4. Mfumo wa Bima ya Lazima

Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:

1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.

2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.


5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali

Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:

1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.

2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.

3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.


6. Faida za Mfumo Huu

1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji:
Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.

2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.

3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.

Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Umeongelea adhabu kubwa kubwq, lakini unajua hizi ajali nyingi zinatokea kwenye barqbara zipi? Mbona barabara ya dodoma arusha hazitokei hizo ajali? Barabatra hii ya dom arusha ni pana kiasi hata gari 3 zinapishana, na haina mashimo, licha ya uzembe wa baadhi ya madereva barabara zeru kwa kiasi kikubwa zinachangia ajali"
 
Watu 100? Acha uongo
Hujaangalia taarifa ya habari? jana pekee 20 wamekufa Tanga na Tarakea. Kuna private na special hire zinachina kimya kimya bila kuripotiwa. Acha majeruhi wanaofia mahospital. Hali ni mbaya mkuu.
 
Back
Top Bottom