Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #41
Hizo sio adhabu hapo kuna fidia na faini hizo ni haki kwa waathirika wa ajali. Serikali pia ni mwaathirika namba moja wa ajali, abiria pamoja na watembea kwa miguu bila kusahau wamiliki wa vyombo vya usafiri wote ni waathirika wa ajali.Umeongelea adhabu kubwa kubwq, lakini unajua hizi ajali nyingi zinatokea kwenye barqbara zipi? Mbona barabara ya dodoma arusha hazitokei hizo ajali? Barabatra hii ya dom arusha ni pana kiasi hata gari 3 zinapishana, na haina mashimo, licha ya uzembe wa baadhi ya madereva barabara zeru kwa kiasi kikubwa zinachangia ajali"
Mauchawi sometimes hawa wanene wana majambo yao dunia ina upande wa pili ambao sio poaAjali za mwaka huu zimetisha. December pekee kwa haraka zaidi ya 100 wamekufa kwenye barabara ya Dar-Arsh-Tarakea. Something must be done.
Hivi unajua kwanini faini huwa ni realistic na sio kuweka namba ambayo haina uhalisia ? Ni kwam,ba ukiweka vitu ambavyo havilipiki basi havitalipwa au watu kuhonga kidogo ili kupindisha haki..., Pia kumbuka haya mambo yanakuwa na Bima kwahio mwisho wa siku mmiliki yupo covered ila ukileta ubanaji mkubwa katika sekta ambayo UMMA umeshindwa kutoa huduma mwisho wa siku hizo sekta zitakufa.....Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.
Hizo hela zote ulizotaja serikali ilitakiwa izitumie kupanua miundombinu ya barabara na madaraja ili kuwapa wasafiri highway lanes zisizoingiliana. Walau njia 4 ambazo zimetenganishwa na zege katikati. Mbili za kwenda na mbili za kurudi kisha ungeshangaa rate ya ajali ambavyo zingepungua kwa kasi. Maboresho yanahitajika sababau watumiaji barabara wameongezeka ila serikali ime relax na plan zile zile za kikoloni.Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.
Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.
Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.
Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.
Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.
1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.
Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.
2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.
3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.
4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.
2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali
Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia
1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.
2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.
3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.
3. Faini ya Kupata Ajali
Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:
Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).
4. Mfumo wa Bima ya Lazima
Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:
1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.
2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.
5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali
Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:
1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.
2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.
3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.
6. Faida za Mfumo Huu
1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji: Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.
2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.
3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.
Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Mimi niko pale pale, miundombinu ndio shida. Barabara nyembamba halafu mnapishana bila barrier ndio shida. Mtu ana overtake bila kuona mbele kukitokea kuna gari ghafla kinaumana baaam!!! Head on Head collision. Hii ndio hufanya 90% za ajali.Hili pendekezo ni zuri sana na kwa kweli kwa kiasi kikubwa binafsi naamini linaweza kupunguza ajali hasa zinazotokana na uzembe zikabaki za kawaida
Kila ajali ikitokea huwa nawaza kitu kama hiki. Pengine ajali zinakuwa nyingi kwasababu hakuna uwajibikaji wa moja kwa moja kwa wamiliki na madereva.
Abiria akipata ajali kinachofuata ni kupewa pole ya mdomo tu kana kwamba amejisababishia yeye hata pale ambapo jeshi la polisi linasema ajali imesababishwa na uzembe
Ni muhimu pale ajali inapothibitika kuwa imesababishwa na uzembe wahusika wawajibike kwa kufidia abiria.
Huo itakuwa alternate approach but not the precise one.Bado adhabu aina ya faini siyo suluhisho.
SULUHISHO NI
CONTROL OF TRAFFIC LANES BY ELECTRONIC SENSORS,
Gari zote zisajiliwe electronically using specific road lane sensing technology, ambapo Kila road user (driver) akiingia kwenye gari yeyote atapaswa kuifix driving licence yake kwenyde slot maalumu ya gari anayoitumia.
Wakati wa kutumia Barabara au lanes zake,signs usage zitaku-cross check, ukifanya makosa, zitaku-bill penalty, ukizidisha certain billing mark, utapunguziwa validity of your licence, na pia kadri unavotumia vizuri ikuongezee very little credit marks.
Na pia iweze kukufutia (block) licence Yako.
Hiyo itawapunguzia majukumu traffic hata masaa au maeneo ambayo hawapo.
Inaonekana ni mfumo wa gharama, lakini hata maisha ya watu kupotea plus mishahara na usalama wa traffic ni gharama sana.
Huo itakuwa alternate approach but not the precise one.
Ni sawa na shule ikiwa haifaulishi ukaamua kuibomoa badala ya kubadilisha Management na walimu. Au timu ikiwa na wachezaji wabovu kisha wewe unafukuza kocha wa timu ukitegemea mabadiliko badala ya kusajili upya.
Inawezekana pia. Kwenye huo ulimwengu mtu akimzidi mwenzie kete anampuliza chap.Mauchawi
Mauchawi sometimes hawa wanene wana majambo yao dunia ina upande wa pili ambao sio poa
Mkuu wewe ndiwe ungetakiwa utuletee uzi maana wazo lako ni bora kuliko la mleta uziBado adhabu aina ya faini siyo suluhisho.
SULUHISHO NI
CONTROL OF TRAFFIC LANES BY ELECTRONIC SENSORS,
Gari zote zisajiliwe electronically using specific road lane sensing technology, ambapo Kila road user (driver) akiingia kwenye gari yeyote atapaswa kuifix driving licence yake kwenyde slot maalumu ya gari anayoitumia.
Wakati wa kutumia Barabara au lanes zake,signs usage zitaku-cross check, ukifanya makosa, zitaku-bill penalty, ukizidisha certain billing mark, utapunguziwa validity of your licence, na pia kadri unavotumia vizuri ikuongezee very little credit marks.
Na pia iweze kukufutia (block) licence Yako.
Hiyo itawapunguzia majukumu traffic hata masaa au maeneo ambayo hawapo.
Inaonekana ni mfumo wa gharama, lakini hata maisha ya watu kupotea plus mishahara na usalama wa traffic ni gharama sana.
highways kama dar iringaHabari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.
Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.
Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.
Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.
Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.
1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.
Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.
2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.
3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.
4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.
2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali
Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia
1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.
2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.
3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.
3. Faini ya Kupata Ajali
Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:
Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).
4. Mfumo wa Bima ya Lazima
Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:
1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.
2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.
5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali
Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:
1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.
2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.
3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.
6. Faida za Mfumo Huu
1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji: Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.
2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.
3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.
Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Mapendekezo yako hayana uhalisia na hayatekelezeki!Habari za jioni ndugu na marafiki,
Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani.
Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu.
Lakini kabla ya yote nimeona kwanza nilete pendekezo hili hapa jukwaani ili tuone jinsi ambavyo linaweza kufaa au kutofaa.
Kwanza kabisa naomba kuwasilisha kwamba ajali za barabarani huwa hazitokei kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya uzembe, kutokufuata sheria, na ukosefu wa tahadhari. Vyombo vya usafiri kama magari, mabasi, bodaboda, bajaji, na malori vinaweza kufananishwa na zana hatari kama visu, mapanga, au bunduki. Vyote vinahitaji uangalifu mkubwa ili visisababishe madhara.
Ili kumaliza ajali hizi, naomba kupendekeza mfumo huu madhubuti wa uwajibikaji unaolenga kuhakikisha kila mmiliki wa chombo cha usafiri anawajibika kwa matendo yake, huku akifuata sheria za usalama kwa umakini wa hali ya juu.
1. Uwajibikaji wa Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri
Mmiliki wa chombo cha usafiri alipaswa kubeba jukumu moja kwa moja kwa ajali yoyote inayosababishwa na chombo chake.
Aina za Uwajibikaji
1). Kwa mtu aliye gongwa na chombo
Mwathirika angelipwa fidia kulingana na viwango vilivyoainishwa (vifo, ulemavu wa kudumu, au majeraha).
Mmiliki wa chombo angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kusababisha ajali hiyo.
2). Kwa vyombo vilivyogongana
Kila mmiliki wa chombo angelipa fidia kwa abiria wake.
Kila mmiliki angelipa faini ya TZS milioni 50 kwa kushiriki katika ajali hiyo.
3). Kwa chombo kilichogonga kingine kikiwa kimesimama
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na kwa mwathirika wa chombo kilichokuwa kimesimama.
Pia atalipa faini ya TZS milioni 50 kwa uzembe wake.
4). Kwa chombo kilichogonga kingine kwa nyuma kikiwa kwenye mwendo
Mmiliki wa chombo kilichogonga angelipa fidia kwa abiria wake na waathirika wa chombo kingine kilichoharibika.
Faini ya TZS milioni 50 ingelipwa na mwenye chombo kilichogonga.
2. Viwango vya Fidia kwa Waathirika wa Ajali
Ninapendekeza viwango vifuatavyo vya fidia
1). Kwa Vifo: Familia ya aliyefariki ingepokea fidia ya TZS milioni 250 hadi 500.
2). Kwa Ulemavu wa Kudumu: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 150 hadi 200, kulingana na athari za ulemavu wake kwa maisha ya baadaye.
3). Kwa Majeraha ya Kawaida: Mwathirika angepokea fidia ya TZS milioni 50 hadi 100, kutegemea gharama za matibabu na muda wa kupona.
3. Faini ya Kupata Ajali
Kwa kuwa ajali husababisha madhara makubwa kwa jamii na miundombinu:
Faini ya Lazima: Kila anayepata ajali angelipa TZS milioni 50, bila kujali hali ya ajali (iwe imeua au la, chombo kimeharibika au la).
4. Mfumo wa Bima ya Lazima
Ili kuhakikisha fidia na faini zinalipwa ipasavyo:
1). Kila mmiliki wa chombo angetakiwa kuwa na bima ya dhima kubwa inayoweza kufidia madhara makubwa ya kifedha.
2). Wamiliki wasio na bima inayokidhi viwango wangetozwa faini kubwa au magari yao kufungiwa.
5. Hatua za Nyongeza za Kuzuia Ajali
Ili mfumo huu ufanye kazi kwa ufanisi, hatua zifuatazo zingepaswa kuzingatiwa:
1). Ukaguzi wa Magari: Serikali ingefanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa vyombo vyote vya usafiri kuhakikisha vinakidhi viwango vya usalama.
2). Elimu ya Usalama Barabarani: Madereva na wamiliki wa vyombo vya usafiri wangeelimishwa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za usalama barabarani.
3). Adhabu Kali kwa Wakiukaji: Madereva na wamiliki wanaopatikana na hatia ya uzembe wanhepatiwa adhabu kali kama kufungiwa leseni au kifungo cha muda.
6. Faida za Mfumo Huu
1). Kuongeza Nidhamu na Uwajibikaji: Wamiliki wa vyombo vya usafiri wangehakikisha vyombo vyao ni salama, na madereva wangekuwa makini zaidi barabarani.
2). Kupunguza Ajali kwa 100%: Kwa gharama kubwa ya fidia na faini, ajali zingepungua kwa kiwango kikubwa.
3). Kuimarisha Usalama wa Jamii: Barabara zingekuwa salama kwa kila mtumiaji wa barabara.
Kwa kutumia mfumo huu, tungepelekea kuondoka kwa uzembe barabarani, huku tukihakikisha kila anayehusika anawajibika kwa matendo yake. Tungeanza kutekeleza mfumo huu, hakika ajali za barabarani zingekuwa historia ndani ya muda mfupi!
Eeh wanafikiri ku impose heavy fines and penalties ndio suluhu. Watazalisha mianya mipya ya rushwa tu. Hamna mtu atafanya ujinga wa kulipa laki na nusu ilihali kuna option ya kuhonga elfu 20 akaenda zake na safari.Ushauri wa kupanua na kuboresha miundombinu ndo suluhisho.
Hiyo mbinu ya kuwakamua watu pesa ni mbinu ya kijima hata Magufuli alijaribu ikamletea matokeo hasi .
Maana kuna ajari ambazo zinatokana na barabara (miundombinu)