ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,935
Sisi wengine hatuna haja ya kujikomba Kwa mtu usiponichukulia WA muhimu kwako Mimi wala sijali naangalia familia yangu na watoto wakwe kwangu ni watu wa mbali kabisa mtu ana uzao wake wabebe Mambo Yao nyie ndyo mnapewa viwanja na wakwe alafu mnakimbilia kujenga siku mnagombana na mkeo unafukuzwa kama mbwaa wakwe siyo ndugu zako ata kama umeowa kwao wele ni wapita njia kama wapita njia wengine tu alafu mnama angalia familia yako achana na mbwembwe za wachaga washamba mm ni mchaga pure lea wazee wako watu wa pembeni wasikutishe na mbwbwe za mwezi wa 12Shaur Lako Ndio Nakueleza Sasa.....
Mkono Mtupu Haulambwi. Njoo Uchaggani Uone. Huna Hela Kaa Pembeni. We unadhani wachagga wanavyo komaa mjini kutafuta hela ukajua ni bahati mbaya....
Mchagga Usipokua na Hela Sisi Kwetu Unaonekana Failure / Hujapevuka Bado. So Kaa Kwa Kitulia.
Mwamba anajipanga kudandia roli arudi town ina maana hata nauli hana.WANAWAKE MSIPENDE KUTUTENGA HATA KUTOKA NA KUKOSA HELA HUWA INATUUMA SANA TUNATESEKA KI SAIKOLOGYMkuu jitolee kuhudumia msiba Hata vitafunwa au mboga. Utaona utakavyo pewa kipaumbele na wazee mpaka wakina mama wa jikoni
Kweli mkuu,hili nimeligundua hivi majuzi,ukweni ukiwa huna hela wanakuita mbanizi,mbinafsi,sikuhizi hueleweki,umepunguza upendo,tofauti nakwenu wanakuelewa kabisa Kua mwanetu sahiz maji yamezidi unga,kiufupi ukweni tenda kadiri ya unavyoweza Tu usitende kuwafirqhisha in such away Kua ukikosa utaeleweka,siku ukikosa utagundua Kua hata kujielezea Napo unaona tabu,Toka Lin mtu unaweza heshima Kwa wakwe unaakili kweli we weka heshima kwenu toka Lin mtu akaeshimika ugenini utapewa heshima ya muda Tu pesa zikikata utaisoma namba ndugu zako watakuelewa kuwa huna ela Ila si wakwe wasaidie wakwe Ila Kwa kiasii hauko pale kumfirahisha mtu
Nimecheka pekeyangu kwasauti yajuu Hadi watu wamenisikia loh yaani!!!!!Kama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
AlichemkaKama kulikuwa na ulazima wa kwenda basi angefika usiku wa msiba alafu kesho yake wanazika.
Sio mwanaume unaenda siku tatu kabla huku ukijua hutapika, huna pesa za kuendeshwa shughuli. Hapo unachokitafuta na migogoro isiyo na maana.
Fika siku ya mazishi au siku moja kabla ya mazishi. Ondoka Asubuhi baada ya kuzika.
Ukimaliza kuzika ondoka na usiage. Hapo lazima kuna mtu amekuwa binadamu zaidi yako. Jiangalie vyema huyo mpe fundisho ondoka na usimtafute tena. Kabila gani na una miaka mingapi na je huyo ni mkeo wa ndoa ama ndondo kapu.
Usiache mrejesho keshoKwema wazee?
Tuko ukweni huku msibani, wife kafiwa na babu yake.ila hapa msibani pameshanishinda na natamani kurudi zangu kwangu,yani wife ni kama hanijui vile,hajui nimekula au sijala,toka nije hii siku ya tatu sijaoga wala kubadilisha nguo,hajui nalala wapi na yeye ananiangalia tu..ila cha ajabu kuna majamaa naona wanaitana binamu anawahudumia vizuri hadi naona wivu,sema ndiyo hivyo siwezi kuhoji kwa sasa.
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.