Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
Nasiku zote ukweli unamaadui wengi kuliko rafiki....
Mmeitana tiny zenu zote mje kupotosha Lengo la Uzi huu....
HIVI KWANINI HAMKULISEMA HILI KABLA,
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....
Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...
Mara Uganda sijui.....
HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...
Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....
Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia
usingekurupuka kujibu kisichoelewekahivi hata unaelewa unachokiandika mkuu?
Wewe jamaa Muongo sana. Baba Stylz hakupata ajali kipindi cha fiesta. Ninachojua alipata ajali pale mbuyuni Oysterbay akiwa anatokea Bilicanas. Na sababu ya ajali yalikuwa mabishano yake na mpenzi wake. Mpenzi wake alikuwa anataka waende maisha club huku noorah akitaka waende nyumbani. Kilichotokea yule dada akaweka gear kwenye "P" galfa, gari walokuwa wanatumia ilikuwa auto. Wakapata ajali na akakimbizwa Muhimbili. Baada ya kuzinduka akawa anakumbuka wimbo mmoja tu wa Hawa Mademu Vipi. Akapewa mida wa kupumzika ili akili ikae sawa. Kipindi hicho alikuwa anakaa Makumbusho. Kutokana na kuumwa akahamia kule kwa Ali Maua jirani na akina Roy producer.
Kwanza umedanganya haikuwa Fiesta kipindi hicho bali ilikuwa inaitwa Straight Music Klimax full shangwe. Wadhamini waki wa sigara ya SM.
Noorah hakuwa kwenye orodha ya wasanii hata Mr Nice hakuwepo. Aliyekuwa kwenye orodha kwa upande wa bongo fleva ni Albert Mangwea ‘Cow Boy’, Joh Makini ‘Mwamba wa Kaskazini’, Mr.Blue ‘Kabaizer’ Prof Jizey na maswahiba wawili AY na Mwana FA.
KabisaJF usipoangalia, kuna siku utakuta mtu usomjua anasimulia historia yako tena kwa usahihi kabisa.,! [emoji23]
Sasa ebu eleza,alipata ajali akiwa kazini au alishatoka kazini ?Nachojua jamaa alikuwa kazin.Nakazi Yake ilikuwa kutumbuiza Jukwaa la fiesta...
Mambo mengine usipotoshe umma...
Nimeanzisha Uzi huu mmejaa kujifanya mnamjua Sandra sijui....
Alikuwa anasoma Kenya Mara ya kwanza umeandika. ...
Mara Uganda sijui.....
HaMtaki kusema ilikuwa show ya nini,wap na kwanini. ...
Mmeanza kumdharirisha alikuwa kalewa. ...katolosha mwanafunzi....
Namambo mengine ili Malik aendelee kuumia
Negative zinataka zifunike kombe mwanaharamu apiteMbona unabisha sana ?
Ukileta mada kubali positive na negative comments
Wanapandikiza UONGO kwenye vichwa vya wasiotafuta ukweli
Mkuu ebu eleza alipata ajali katika mazingira yapi,chanzo cha ajali kilikuwa nini???Negative zinataka zifunike kombe mwanaharamu apite
Negative zinataka zifunike kombe mwanaharamu apite
yani kweli wewe akili fupi [emoji23][emoji23][emoji23] unasapoti hyo msg ya juu na umeshindwa kuelewa kuwa inakupinga wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja basi nikutafsirie alichomaanisha
amemaanisha kuwa kwasababu huyo fiesta mnataka kumuuwa kwahyo kika baya mnambambikia yeye ili hata mkifanikisha kumuuwa kuwe hakuna lawama
wewe jamaa uko na akili ndogo sana kama uongo unaolazimsha watu wauamini [emoji23][emoji23][emoji23]
Negative zinataka zifunike kombe mwanaharamu apite
Mkuu muhusika kakuhadithia alipata ajali katika mazingira gani??nini kilikuwa chanzo cha ajali??Alipata ajali akiwa na nani???naomba nijibu hayo maswaliInamaana Unapingana na Muhusika...
Chanzo changu ni Muhusika wewe umehadithiwa...
MBONA hutaki kusema ilikuwa show ya nini?
Ilifanyika wap?
Msipende kuwa mawakala wa Shetani.....
jamaa alishindwa hata kuelewa kuwa alikuwa anasemwa yeye akahisi anasifiwaAh ah Babu tale bana anajibu kama vile yupo instagram tatizo kubwa la wasafi mwenye akili na mastermind amebaki kusaga tu the don ..mliobaki mnajua fitna na vijembe tu ukasahau hii ni forum ya great thinker kama huamini jiulize kwanini sheria mbaya zote bungeni zinafumuliwa humu..kajipange
Mkuu labda wewe ndo uko sahihi, tukuombe basi utoe ufafanuzi jinsi ajali ilivyotokea ili tuweze kuiunganisha na Fiesta, maana umeandika general ndo maana umewapa watu nafasi ya kujazia mambo yao.
ajali alipatia mbuyuni akiwa na private car alafu oanisha na maneno ya mleta mada ni vitu viwili tofauti kabisaSasa ebu eleza,alipata ajali akiwa kazini au alishatoka kazini ?
kama alipata ajali akiwa jukwaani kweli libidi clouds wamlipe lakini kama alipata ajali akiwa nje ya jukwaa na nje ya show hapo hapati kitu
noorah alipata ajali mbuyuni pale njia ya oysterbay akiwa na rav 4 sasa jiulize fiesta imeingiaje
Mpuuzi ashaleta Wasafi huku.....Ah ah Babu tale bana anajibu kama vile yupo instagram tatizo kubwa la wasafi mwenye akili na mastermind amebaki kusaga tu the don ..mliobaki mnajua fitna na vijembe tu ukasahau hii ni forum ya great thinker kama huamini jiulize kwanini sheria mbaya zote bungeni zinafumuliwa humu..kajipange
ExactlySIKUMBUKI KAMA AJALI YA NOORAH ILIKUWA NA UHUSIANO NA FIESTA
NOORAH hakupata ajali akiwa kazini alipata ajali akiwa na demu wake (sandra)
nakumbuka gari ilikuwa rav 4 huyo demu wa noorah alikuwa anasoma Kenya na alikuja tanzania bila kwao kujua
lengo lilikuwa kumuona bwana ake akiperfom sasa baada ya noorah kumaliza show yake wakawa wanarudi wote wamelewa na wako speed ulitokea ubishani
maana noorah alikuwa anataka kumrudisha yule demu kwao(oysterbay) na yule demu hataki kurudi kwao maana nyumban kwao walikuwa wanajua yupo shule Kenya
katika mabishano huku gari ikiwa speed yule demu aliisukuma gear kwenye parking
kama ujuavyo gari za zaman hazikuwa na sensor za kutema gear ya packin gari inapokuwa speed kali basi ilifanya tairi zote nne kufunga ghafla na gari ilibingirita mara nane (mbuyuni oysterbay)
noorah hakufunga mkanda alitupwa nje ya gari na akapata ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu alikuwa anamkumbuka huyo demu tu...
na siyo kwamba alijipeleka hospital noorah alitoka eneo la ajali akiwa hajitambui kabisa alikuja kupata fahamu akiwa hospital
alikaa sana muhimbili hadi alipokuja kupona na kuendelea na mziki pamoja na masomo (IFM)
hawa jamaa fiesta wana mapungufu yao ila sometimes mnazidisha kuwaonea