Tukumbushane visa vya kwenye Biblia ambavyo ni funzo pia kwetu

Kwenye HIV nimekuelewa mkuu
Sio HIV tu hata huku makanisani muende kwa kiasi unakuta mtu jpili anaenda, sawa hamnashida, j3 jioni yumo j4 mchana kaenda, j5 jioni kaenda, alhmisi kaenda, ijumaaa mkesha kuamkia jmosi, jmosi yenyewe mchana kaenda, na bado ukimuuliza unaamini uchawi upo anakuambia hapana! Sio dhambi hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tuone, kipi nimekishinda na kipi kimenishinda...
 
Haya chauvivu
 
Kuna yule jamaa aliwapelekea moto mabinti zake wawili anaitwa Loti. Biblia haisemi lakini atakuwa alipiga nao 3some

SOMO: Mabinti wawe makini mbele za baba yao waepuke kuvaa mavazi ya mitego
Ha ha haa,we jamaa wewe na mzabzab undeni undugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…