Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Tukutane hapa ambao ndoa zao zimekufa ila tumebaki kulea tu watoto

Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke
Duh!.. uliingia kwenye mahusiano na mke wa mtu nini ?
 
Ndoa sio nyepesi, acheni ujinga wa kukimbia wajibu.

Mnadhani sisi wazee tuliishi bila changamoto na mama zenu?, jibu ni HAPANA ila tulikabiliana na yote mwisho tukavuka.

Acheni kuishi nyie vijana maisha ya maigizo ndipo mtaziweza ndoa, mkihendekeza maisha ya uanaharakati yaani baba ndevu, mama ndevu sijui na mtoto ndevu matokeo yake ndio hayo.

Ishini maisha halisia ya kiAfrika, hakika ndoa zitadumu, vinginevyo mtaishia kulia lia kila siku.
Ahsante Sana kwa muongozo wako mkuu
 
Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke
FEAR WOMEN
 
Kuna mwanangu wale waliokuzwa seminary ila ndio wakachemka,alioa kama miaka mitano iliyopita, mwana kipindi tupo chuo alikuwa ni mtu wa ibada na uzuri alikuwa kichwa darasani.

Sasa juzi kati tukawa tunapiga story, akawa ananiambia husijaribu kuoa mke kisa tu anahela au kazi nzuri, nikamuuliza sababu ni nini?

Mwana akawa anabaki anasonya huku,hukua akisindikiza na "wee acha tu mwanangu ".Hakutaka kuniambia ila anayo yapitia na mke wake nahisi ni magumu sana na ukizingatia wanafanya kazi mikoa tofauti.
LONG DISTANCE HAIJAWAHI KUIACHA NDOA SALAMA
 
You nailed
Ndoa sio nyepesi, acheni ujinga wa kukimbia wajibu.

Mnadhani sisi wazee tuliishi bila changamoto na mama zenu?, jibu ni HAPANA ila tulikabiliana na yote mwisho tukavuka.

Acheni kuishi nyie vijana maisha ya maigizo ndipo mtaziweza ndoa, mkihendekeza maisha ya uanaharakati yaani baba ndevu, mama ndevu sijui na mtoto ndevu matokeo yake ndio hayo.

Ishini maisha halisia ya kiAfrika, hakika ndoa zitadumu, vinginevyo mtaishia kulia lia kila siku.
You nailed it.....
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Pengine ulikosea kuoa, tupo kwenye ndoa na maisha ni ya furaha, changamoto zipo lakini tunakaa tunaelewana tunatatua changamoto

Kama upo kwenye ndoa halafu imebaki kulea watoti tu basi kuna shida kubwa mahali
 
Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Ndoa zinachangia sana wanaume kufa mapema! Hii hali ya kufa na tai shingoni inatuletea kupanda kwa sukari, presha n.k!

Mbaya zaidi wanawake ni walewale na tabia ni zilezile! Huo mchepuko ukiuweka ndani, utamkumbuka uliyemuacha awali!

Huyo ni chaguo lako!!!!!!!
 
Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke
Daah jamaa kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna assignment uliiruka au uliifanya kwa emotions. Unaonekana ulitumia nguvu sana kuforce upendo kabla ukadhani mbeleni mambo yatabadilika anyway don't regret life is full of mistakes na wahanga wakubwa wa mahusiano ni wanaume Wapole au waliojitunza sana kwenye makuzi wanakua easily trapped na wanawake vichomi wanaotamani sherehe ya ndoa wala sio mambo ya ndoani.
 
Honestly Taasisi ya ndoa Kama imefika mwisho wengi tumebaki kulea watoto tu katika ndoa zetu.

Maneno tunayotamkiana ni zaidi ya Vita.

Guyz things are not easy. Kukaa alone ni Bora Sana kwa zama hizi.
Kama huna imani ,utatamani kuishi unavyowaza ila kama unaamini uwepo wa Mungu familia ni sehemu ya baraka na mafanikio yako katika yote uyafanyayo🤔.
 
Kuna mwanangu wale waliokuzwa seminary ila ndio wakachemka,alioa kama miaka mitano iliyopita, mwana kipindi tupo chuo alikuwa ni mtu wa ibada na uzuri alikuwa kichwa darasani.

Sasa juzi kati tukawa tunapiga story, akawa ananiambia husijaribu kuoa mke kisa tu anahela au kazi nzuri, nikamuuliza sababu ni nini?

Mwana akawa anabaki anasonya huku,hukua akisindikiza na "wee acha tu mwanangu ".Hakutaka kuniambia ila anayo yapitia na mke wake nahisi ni magumu sana na ukizingatia wanafanya kazi mikoa tofauti.
Hili suala nashangaa sasa mke na mume kufanya kazi mikoa tofauti... ukija kweny uhalisia hakuna ndoa hapa na kama wanatak ndoa basi mke amfuate mumewe.

Wanawake wa sasa hawawezi kuacha kazi kisa mume.
 
kitu napenda ni mwanaume asimame kama mwanaume, yani akiniambia jambo kwa sauti ya mamlaka natii bila shuruti, mwanaume aniongoze despite ninampita vitu vingapi still nitataka awe kiongozi kwangu sasa mwanaume unashindwaje na ndoa yako? au ndio kina nyinyi mnaopenda matako makubwa mnaoa kichwa kichwa? take time msome mwanamke unayetaka kuingia naye ndoani, msikurupuke heri uchelewe kuoa uoe mtu sahihi kuliko uwahi kuoa kwa mihemko ndoa sio rahisi na ndoa sio kwa kila mtu.
Aaahaaaa
 
Back
Top Bottom