Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Duh!.. uliingia kwenye mahusiano na mke wa mtu nini ?Bora nimpende mama yangu aliyenizaa,
Kama hujawahi kupigwa na tukio na hawa wanawake unatamani uoe usiombee, mm nimenyanyua mikono nitaua bure kisa mwanamke mara ya kwanza nashika meseji za jamaa wako kwenye mahusiano na mke wangu nikasamehe na kuivunja laini nikapotezea tukasajili laini nyingine tumeenda weee kama mwaka kuja kushika simu nakutana na tukio na huyo huyo jamaa na namba nilikuwa nayo wapo kwenye mahusiano mazito nikaona nisije nikaua bora nimpisha huyu mwanamke achague anapopapenda. Toka hiyo siku miezi na saa hivi sijawahi ona simu wala cha nn na tuna mtoto mmoja nikipiga simu hapokei nimsalimie mtoto,aise ogopa sana kiumbe kinachoitwa mwanamke