Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Mwakaleli β„οΈπŸŒ‘οΈπŸžοΈβ˜”πŸŒ¦οΈπŸ‚πŸ”πŸŒπŸ₯•πŸŒ½πŸ₯¬πŸ“πŸ₯‘πŸ₯œ
 
Miaka yote ya nyuma, wilaya ya Rungwe ndiyo ilikuwa inaongoza kufaulisha zaidi wanafunzi nchini Tanzania. Inasemekana watu fulani wakawa hawafurahii kabisa.

Take this to the bank.
Sio kweli hakuna halmashauri ya wilaya yenye historia ya kuizidi Moshi Vijijini kwa ufaulu wa wanafunzi pamoja na kubanwa kwingi.
 
Nilifika tukuyu nikapelekwa rabbit farm na mwenyeji wangu.What an experience,kwa kweli ni mahali pazuri sana pa kuishi kama una chanzo cha Mapato au mwajiriwa.
 
U
πŸ₯΄πŸ€£

Tanzania nzuri jamani
 
Lushoto ni next level
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…