Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu bwilando, nditu na suma mkuuMwakaleli βοΈπ‘οΈποΈβπ¦οΈππππ₯π½π₯¬ππ₯π₯
Sio kweli hakuna halmashauri ya wilaya yenye historia ya kuizidi Moshi Vijijini kwa ufaulu wa wanafunzi pamoja na kubanwa kwingi.Miaka yote ya nyuma, wilaya ya Rungwe ndiyo ilikuwa inaongoza kufaulisha zaidi wanafunzi nchini Tanzania. Inasemekana watu fulani wakawa hawafurahii kabisa.
Take this to the bank.
Mbavu sna To YeyeU speak English I speak Nyakyusa...,,ikyindii.,isopoo...,,Tukuyuuuu
Labda kule kwenye nyanya na milima ya majabali hata juzi nilikuwa hukoUmeshafika Ukanda wa Dabaga kule Kilolo. Ile nayo ni Paradise nyingine.
π₯΄π€£π€£M
Mbavu sna To Yeye
Hatari ogopaaaaaBusokelo Kuna pahala nilipita nikaona Maji yanapandisha mlima nikabakia tuli
Marangu, na maeneo ya milimani Moshi ni habari nyingine maji mengi na safi tena matamu sana, waterfalls za kutosha, kijani kibichi na hali ya hewa nzuri ndio maana ni sehemu ambayo wamisionari walifika kwa wingi zaidi ya sehemu nyingine yoyote hapa TanganyikaHivi kule kilimanjaro marangu upajua kweli
π₯΄π€£
Tanzania nzuri jamaniMarangu, na maeneo ya milimani Moshi ni habari nyingine maji mengi na safi tena matamu sana, waterfalls za kutosha, kijani kibichi na hali ya hewa nzuri ndio maana ni sehemu ambayo wamisionari walifika kwa wingi zaidi ya sehemu nyingine yoyote hapa Tanganyika
Hakika mkuuNilifika tukuyu nikapelekwa rabbit farm na mwenyeji wangu.What an experience,kwa kweli ni mahali pazuri sana pa kuishi kama una chanzo cha Mapato au mwajiriwa.
Tanzania nchi yetu nzuri jamaniSingida penye lile ziwa panitwa Basutu, (Basotu) kama sijakosea, waziri wa Utalii mstaafu Nyalandu ndiko alikowajengea wazazi wake makazi ya kustaafia, pazuri sana.
Basouti liko katesh, pale Ni ziwa SingidaniSingida penye lile ziwa panitwa Basutu, (Basotu) kama sijakosea, waziri wa Utalii mstaafu Nyalandu ndiko alikowajengea wazazi wake makazi ya kustaafia, pazuri sana.
Lushoto ni next levelMada safi shukraani mtoa mada ila Tia nyama zaidi, maana Nami nilibahatika kufika Lushoto last December yooooo it knick my socks out, Tukuyu nilifika huko miaka mingi iliyopita,kwenye michezo ya vyuo vya ualimu kanda ya nyanda za juu,kwa sasa utanifanya mkuu nifanye detour kule, ahsante sana
Hivi eenhe, Kwahiyo ni manyara, nilikua nadhani ni ngimu ambayo iko Singida.Basouti liko katesh, pale Ni ziwa Singidani
Nimecheka English yako, Tena we si ukoo Karibu na Tukuyu wewe?π₯΄π€£π€£
Lushoto ni next level
Hiyo Ni katesh mkuu, kweli singida pakame halafu upepo Kama woteHivi eenhe, Kwahiyo ni manyara, nilikua nadhani ni ngimu ambayo iko Singida.
Singidani na kindai sioni kama kuna mazingira mazuriβ¦.
Ohh asante, now nimefahamu.Hiyo Ni katesh mkuu, kweli singida pakame halafu upepo Kama wote