Mawakili hawalipwi na funds za kutoka EU? Hebu kwanza tuelezane. Tujue kama David McAllister na CDU & EPP wana habari za mchango huuKwani wanaoitwa wafanyakazi wa kujitolea kwenye taasisi mbalimbali hawana chochote wanachopata? Acha nongwa, ukiweza changia ukishindwa lala mbele. Usifanye watu wakaanza kuhoji afya yako ya akili.
Wanaukumbi,
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Una elewa maana ya support?Wanaukumbi,
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Bora UFEMawakili hawalipwi na funds za kutoka EU? Hebu kwanza tuelezane. Tujue kama David McAllister na CDU & EPP wana habari za mchango huu
Kwakua wewe ndio secretary wakeMbowe hana taarifa kabisa juu ya hili..
Achana nalo nili-pumba-vu lenyew na familia yakeAcha wivu wewe dada.
Sisi ndiyo tumeamua kuwachangia kwa ridhaa yetu.
Wewe inakuhusu nini wao kuchangishana? Au Urio kawavuruga?Wanaukumbi,
Chadema mlituambia kuna jopo la mawakili zaidi ya 200 wa kujitolea kwenye kesi ya Mbowe, kulikoni tena leo mnataka pesa za mawakili ebu tuache huu upigaji naamini kabisa Mbowe, hana hizi taarifa ndiyo maana hamataki Mbowe, atoke jela kumbe mnapiga pesa, weekend taenda gerezani kumpa Mbowe hizi taarifa za mchongo wa kesi yake.
View attachment 2104749
Mambo yenyewe hayamhusuMimi nakushauri kama unazo na ungetaka kuchangia Kama wanavyoomba, changa. Kama huna kama mimi let it go. Unahangaika na mambo mengi mno.
Wakilipwa na EU tatizo liko wapi!?Mawakili hawalipwi na funds za kutoka EU? Hebu kwanza tuelezane. Tujue kama David McAllister na CDU & EPP wana habari za mchango huu
Ndio maana nikasema anunuliwe nyumba nyingine Dubai akapumzike huko Mara atakapotoka nje! Lazima apate palace mpya bhana,madhali wachangiaji wapo na wanapenda kuchanga that's no problem.Mbowe atatoka hivi karibuni lipo wazi hilo mimi kuhoji ndiyo na roho mbaya?
Wewe kama mwanasheria umewahi kumsaidia Nani kisheria,wapi umewahi kujitoa Kwa kutumia taaluma yako ya sheria Kwa MTU/watu wasiojua sheria?Mbowe hana taarifa kabisa juu ya hili..
Sasa ungehoji ni kwa nini Serikali inapoteza muda na scarce resources kuchongea watu kesi badala ya jinsi gani hawa watu wanajihami kutokana na hizo njama.Mbowe atatoka hivi karibuni lipo wazi hilo mimi kuhoji ndiyo na roho mbaya?