Tuliambiwa Mawakili wa kesi ya Mbowe ni wa kujitolea, kulikoni tena wanataka pesa?

Kwani wanaoitwa wafanyakazi wa kujitolea kwenye taasisi mbalimbali hawana chochote wanachopata? Acha nongwa, ukiweza changia ukishindwa lala mbele. Usifanye watu wakaanza kuhoji afya yako ya akili.
Mawakili hawalipwi na funds za kutoka EU? Hebu kwanza tuelezane. Tujue kama David McAllister na CDU & EPP wana habari za mchango huu
 
Acha wivu, aliyekwambia mtu anaejitolea hapaswi kuwa supported ni nani?
Watanzania mnashipaza sana shingo zenu bila kufikiri kwa kina
 

Maana unawalisha watoto Na wake zako wewe?
 
Una elewa maana ya support?
 
Unashangaa nini?

Kumbuka mwanzo waliahidi hawatopeleka wakili yeyote kumtetea!

Hujazizoea nyumbu?
 
Una elewa maana ya support?
Sikia wewe Bavicha watu wanatakiwa kutuma pesa za mawakili wakati mwanzo tuliambiwa hataki pesa wanajitolewa kuna jopo la wanasheria zaidi ya 300.
 
Huu mchango ni bora ukamsaidia DJ kwenye kupata apartment nyingine DUBAI,it cost arounds $75,000-$100,000.
 
Wewe inakuhusu nini wao kuchangishana? Au Urio kawavuruga?
 
Mawakili hawalipwi na funds za kutoka EU? Hebu kwanza tuelezane. Tujue kama David McAllister na CDU & EPP wana habari za mchango huu
Wakilipwa na EU tatizo liko wapi!?

Si kujua kama Ritz una roho mbaya pia zaidi ya ule ushabiki wako.
 
Wakilipwa na EU tatizo liko wapi!?

Si kujua kama Ritz una roho mbaya pia zaidi ya ule ushabiki wako.
Mbowe atatoka hivi karibuni lipo wazi hilo mimi kuhoji ndiyo na roho mbaya?
 
Mbowe atatoka hivi karibuni lipo wazi hilo mimi kuhoji ndiyo na roho mbaya?
Ndio maana nikasema anunuliwe nyumba nyingine Dubai akapumzike huko Mara atakapotoka nje! Lazima apate palace mpya bhana,madhali wachangiaji wapo na wanapenda kuchanga that's no problem.
 
Mbowe hana taarifa kabisa juu ya hili..
Wewe kama mwanasheria umewahi kumsaidia Nani kisheria,wapi umewahi kujitoa Kwa kutumia taaluma yako ya sheria Kwa MTU/watu wasiojua sheria?
Lini Ulisimama mahakamani kutoa msaada WA sheria au ndiyo vile vyeti Tu vimekaa kabatini basiiiii
 
Mbowe atatoka hivi karibuni lipo wazi hilo mimi kuhoji ndiyo na roho mbaya?
Sasa ungehoji ni kwa nini Serikali inapoteza muda na scarce resources kuchongea watu kesi badala ya jinsi gani hawa watu wanajihami kutokana na hizo njama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…