Tulifika Pabaya: Mwenyekiti Ulinzi na Usalama Wilaya eti ni Jambazi?

Tulifika Pabaya: Mwenyekiti Ulinzi na Usalama Wilaya eti ni Jambazi?

Yule ni zaidi ya Sabaya, ametesa watu sana , Ameua watu ukigombana nae kidogo unajikuta kwenye kiloba coco beach ,amebambikia sana watu case za drugs wanakuja kwako wanafanya search wanakuwekewa ili ufungwe

GSM na the late dr Mengi ndio walikamuliwa hela zao Mpaka Basi
Makonda na Mnyeti ndiyo hatari zaidi
 
DC kaiba simu na pesa 35,000 kwa kutumia silaha.

Armed robbery ndiyo hutumika kutuliza vibaka uswahilini, ukiwa ingia toka O'bay au Mabatini haziishi wanakupa hiyo utulie kwanza.
7baya ni lofa anaiba hadi tecno kwa bunduki. Kibaka kabisa huyu
 
CCM haiwezi kumtupa Ole Sabaya, alipelekwa Hai kuhakikisha Mbowe harudi bungeni. Amelitekeleza vyema jukumu lake.

Usishangae kuwa sasa hivi Ole Sabaya ana cell yake na chakula anakula cha nyumbani. Wewe ulisikia wapi mahabusu anamvimbia mkuu wa gereza.

Jiandaeni kumlipa Sabaya gharama za usumbufu kupitia kodi yenu.
Niliwaza kama wewe. Nadhani hii ni kiki ya kisiasa tu.

Tungoje tuone.
 
Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Ni kama unasema kundi la mama ni waongo sio? Jichunge na maoni ya hivi! au unadhani mzalendo namba moja yuu hai.
 
JPM alifanya Sana Mambo ya kihuni kwenye uteuzi, aliongoza kwenye utumishi wa umma vibaka na wahuniwahuni wengi Sana serikalini.Mambo yaliyofanywa na sabaya ni zaidi ya uhuni...

Often times he behaved like an idiot
 
Ingekua ni mpango asingemdindia Mkuu wa Gereza in fact zingevujishwa stori za anapata tabu sana.

Kumdindia means yupo kwenye denial haamini kinachotokea.
Mimi sitaamini mpaka yatimie asee. CCM sio kabisa, hawafai kuwa duniani.
 
Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.

Ya kupigwa risasi kina Lissu, kupotea kina Ben, kuuwawa kina mawazo, watu wa kwenye viroba, nk uliwahi kuyasikia?

Au ndiko unakoita kuwa mkali na kutetea wengi?
 
Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Kazi ya kukusanya kodi si ya RC. Kama kuna aliwakamata na kuwapeleka kwenye vyombo husika kwa kukwepa kodi basi upo sahihi kama alikusanya pesa kwa kisingizio kuwa anachukua kodi haupo sahihi. Ushahidi utamhukumu.
 
Yule mzee alikuwa jambazi pia,ndiyo maana akaingiza genge lake la majambazi kwenye utawala wake
Kweli..ndo alikuwa anateka matajiri kina Mo anawadhulumu pesa. Walimsomea dua mbaya wale..imemuondoa. ilibidi afe tu, watu wengi sana walimsomea dua mbaya, kuanzia ndugu ya waliouawa,waliofukuzwa kazi eti vyeti feki, waliotekwa, waliodhulumiwa uchaguzi.. ilibidi afe. Na amekufa!
 
CCM haiwezi kumtupa Ole Sabaya, alipelekwa Hai kuhakikisha Mbowe harudi bungeni. Amelitekeleza vyema jukumu lake.

Usishangae kuwa sasa hivi Ole Sabaya ana cell yake na chakula anakula cha nyumbani. Wewe ulisikia wapi mahabusu anamvimbia mkuu wa gereza.

Jiandaeni kumlipa Sabaya gharama za usumbufu kupitia kodi yenu.
Sio rahisi..unamchukulia poa sana Mama Samia. Sabaya alivyokuja Dar kuongea na clouds alitaka aende ikulu akaongee na mama..kilichomkuta ni mikausho mikali na akaambiwa mama hataki kuongea na wewe
 
Kweli..ndo alikuwa anateka matajiri kina Mo anawadhulumu pesa. Walimsomea dua mbaya wale..imemuondoa. ilibidi afe tu, watu wengi sana walimsomea dua mbaya, kuanzia ndugu ya waliouawa,waliofukuzwa kazi eti vyeti feki, waliotekwa, waliodhulumiwa uchaguzi.. ilibidi afe. Na amekufa!
Biblia inasema utavuna ulichopanda.
 
Back
Top Bottom