Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe

Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe

Nkuulize kwanza swali... ububu ni ugonjwa wa mdomo na ulimi au ni ugonjwa wa akili?
Yani ili mtu aongee inaanzia kwenye ubongo. Kuna mishipa/seli flani zilizoko kwenye ubongo zinaunganisha ubongo na mdomo zinazokufanya ww uongee na hizo zikidhurika hata kama mdomo haujaguswa huwezi kuongea...na macho nq maskio ni hivyo hivyo.
 
Mimi nakumbuka miaka ya nyuma nimemaliza kidato cha sita, nimetoka kwenye mishe zangu usiku saa tisa, halafu napita eneo la makaburini. Ghafla kwa mbali nikawa nasikia harufu ya moshi wa sigara mchanganyiko na bangi, kucheki naona kundi la watu wanapuliza wamekaa juu ya makaburi. Kipindi hicho watu walikuwa wanapigwa sana na nondo, na wiki kadhaa nyuma kuna jirani yetu aliuawawa. Kurudi nilikotoka njia ni ndefu mno, na kwenda mbele lazima yale manjemba yangenifanya kitu mbaya.

Ile akili sijui hata ilitoka wapi, sijui ni mihadarati. Nilichofanya ni kuvua nguo zote na kuzishika kwa nyuma halafu nikaanza kuelekea usawa wao, niko uchi wa mnyama. Uzuri kulikuwa na mbalamwezi. Jamaa walivyoniona wakaanza kuuliza kwa mbali, wee nani. Mimi kimya nasonga mbele tu, ile kunisogelea na marungu yao na kuniona vizuri kuwa niko uchi, jamaa walipigwa na ganzi. Kilichofuata ni kutukana na kuanza kukimbia vibaya mno kila mtu njia yake.

Kila nikikumbuka huwa najionea sana huruma na kuwaza endapo kama yale manjemba yasingekimbia.
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.......
😁😁😁😁 brother ulijiongeza
 
Sitokuja kusahau wezi waliokuja kutuibia mbuzi wakachinga na kuchuma mbuzi zizi zima yaani wale wapuuzi walituachia ngozi na vichwa tu.
Tulikuja kuamshwa saa5 asubuhi na majirani
Hayo mambo wanayo watani zangu wagogo kuna jamaa alikua na ng,ombe wa maziwa walikuja walipulizia sijui nn walilaaa km wamekufa jamaaa wakamchuna ng,ombe na wakaacha utumbo tu na na ngozi.
 
Mimi nakumbuka miaka ya nyuma nimemaliza kidato cha sita, nimetoka kwenye mishe zangu usiku saa tisa, halafu napita eneo la makaburini. Ghafla kwa mbali nikawa nasikia harufu ya moshi wa sigara mchanganyiko na bangi, kucheki naona kundi la watu wanapuliza wamekaa juu ya makaburi. Kipindi hicho watu walikuwa wanapigwa sana na nondo, na wiki kadhaa nyuma kuna jirani yetu aliuawawa. Kurudi nilikotoka njia ni ndefu mno, na kwenda mbele lazima yale manjemba yangenifanya kitu mbaya.

Ile akili sijui hata ilitoka wapi, sijui ni mihadarati. Nilichofanya ni kuvua nguo zote na kuzishika kwa nyuma halafu nikaanza kuelekea usawa wao, niko uchi wa mnyama. Uzuri kulikuwa na mbalamwezi. Jamaa walivyoniona wakaanza kuuliza kwa mbali, wee nani. Mimi kimya nasonga mbele tu, ile kunisogelea na marungu yao na kuniona vizuri kuwa niko uchi, jamaa walipigwa na ganzi. Kilichofuata ni kutukana na kuanza kukimbia vibaya mno kila mtu njia yake.

Kila nikikumbuka huwa najionea sana huruma na kuwaza endapo kama yale manjemba yasingekimbia.
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.......
Nmecheka Sanaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yani ili mtu aongee inaanzia kwenye ubongo. Kuna mishipa/seli flani zilizoko kwenye ubongo zinaunganisha ubongo na mdomo zinazokufanya ww uongee na hizo zikidhurika hata kama mdomo haujaguswa huwezi kuongea...na macho nq maskio ni hivyo hivyo.
Thankyou
 
Yani ili mtu aongee inaanzia kwenye ubongo. Kuna mishipa/seli flani zilizoko kwenye ubongo zinaunganisha ubongo na mdomo zinazokufanya ww uongee na hizo zikidhurika hata kama mdomo haujaguswa huwezi kuongea...na macho nq maskio ni hivyo hivyo.
Mishipa ya fahamu ,kivipi ili mtu asikie ianzie kwa ubongo ,Kwan anaesikia kwanz ni sikio ?
 
Mishipa ya fahamu ,kivipi ili mtu asikie ianzie kwa ubongo ,Kwan anaesikia kwanz ni sikio ?
Broca's_area_-_lateral_view.png
 
Mi ile wanaruka fence kumbe niko macho, nikaandaa mguu wa kuku, ile wanabomoa tu mlango na fatuma yao nikaanza kuwatembezea za kichwa tu, mi nikaimba nao za kichwa tu.
hahahaaaa
 
Back
Top Bottom